Kamusi kuu ya Kiswahili by Longhorn
KSh1,933.00 Original price was: KSh1,933.00.KSh1,740.00Current price is: KSh1,740.00.
kamusi kuu ya kiswahili
ISBN: 9789987020980
Related products
-
Rated 0 out of 5
Good News Bible by Bible society
KSh1,100.00Original price was: KSh1,100.00.KSh990.00Current price is: KSh990.00.Add to cartFor over twenty-five years the Good News Bible has been the most popular, truly easy-to-read Bible, offering a trustworthy translation based on the best original Greek and Hebrew sources. Ideal for the individual reader and used in thousands of schools and churches.
ISBN: 9789966481658
-
Rated 0 out of 5
Kamusi Teule ya Kiswahili by Ahmed E Ndalu, Hamisi Babausa, Suleiman A Mirika
KSh1,444.00Original price was: KSh1,444.00.KSh1,300.00Current price is: KSh1,300.00.Add to cartKAMUSI TEULE ya Kiswahili – Kilele cha Lugha
“Ni zao la utafiti wa kina uliofanywa na waandishi na wanaleksikogrofiawenye tajriba kubwa.
Kamusi hii imetungwa kwa utaalamu mkuu na kwa kuzingatia msomajilengwa.”
Kamusi hii ina;
Maneno ya jumla zaidi ya 320, 000Vidahizo na vibadala zaidi ya 35, 000Picha za kuvutia msomajiEtimolojia ya vidahizoNgeli za manenoWingi wa manenovidahizo vya taaluma mbalimbaliIstilahi za ushairiIstilahi za fasihi andishi
ISBN: 2010127000576
-
Rated 0 out of 5
Kamusi ya Shule za Msingi by Kiango
KSh1,244.00Original price was: KSh1,244.00.KSh1,120.00Current price is: KSh1,120.00.Add to cartKamusi ya Shule za Msingi
imetungwa kwa ustadi na wataana wataalamu wa Kiswahili imefanyiwa utafiti wa hali ya juu ina maneno yaliyoteuliwa na kukadiriwa inarahisisha utambuzi na matumizi ya ngeli za nomino ni kifaa bora kwa kila mwanafunzi wa shule a msingi
ISBN: 9780195733068
-
Rated 0 out of 5
Kamusi ya Karne ya 21 by Longhorn
KSh1,555.56Original price was: KSh1,555.56.KSh1,400.00Current price is: KSh1,400.00.Add to cartKamusi ya Karne ya 21(Toleo la 4) ni kamusi ya Kiswahili yenye uketo zaidi katika karne hii. Imetungwa kwa ustadi wa hali ya juu na wanaleksikografia wenye utaalamu na uzoefu wa uundaji wa kamusi. Ni kamusi inayojivunia upekee unaodhihirisha jinsi lugha ya Kiswahili inavyokwenda na wakati kwa kupanuka katika matumizi yake katika pembe zote za dunia. Toleo hili limeongezwa vidahizovipya zaidi ya 2500 ambavyo vinaashiria maendeleo mapya katika lugha ya Kiswahili. Kamusi hii inaonyesha ukuaji wa Kiswahili na matumizi yake katika nyanja zote za Siasa, Sayansi, Teknolojia ya kidijitali, mitandao ya kijamii, ubadilishanaji wa fedha na bidhaa kupitia kwa mifumo ya kimtandao miongoni mwa mengine.
ISBN: 9789987020973
-
Rated 0 out of 5
Kamusi ya Tashbihi, Vitendawili, Milio
KSh927.00Original price was: KSh927.00.KSh835.00Current price is: KSh835.00.
Reviews
There are no reviews yet.