Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop

Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop

Category: Set books

Set books

Showing all 23 results

  • Rated 0 out of 5

    Artist of the Floating World – Setbook (Longhorn) by Kazuo Ishiguro

    Original price was: KSh533.00.Current price is: KSh480.00.

    1948: Japan is rebuilding her cities after the calamity; of WWII, her people putting defeat behind them and looking to the future. The celebrated painter Masuji Ono fills his days attending to his garden, his house repairs, his two grown daughters and his erandson, and his evenings drinking with old associates in quiet lantern-lit bars. His should be a tranquil retirement. But as his memories continually return to the past to life and a career deeply touched by the rise of Japanese militarism — a dark shadow begins to grow over his serenity.

    ISBN: 9789966643667

    Add to cart
  • Rated 0 out of 5

    Bembea ya Maisha – Set Book by Timothy M Arege

    Original price was: KSh516.00.Current price is: KSh465.00.

    Bembea ya Maisha ni hadithi kuhusu Yona na mkewe Sara pamoja na Bunju na mkewe Neema. Wahusika hawa wanajikuta katika vuta n’kuvute inayochochewa na mitazamo ya kitamaduni, uhalisia wa mambo pamoja na matamanio ya wahusika binafsi. Baina yao kuna mitikiso inayotishia familia, ndoa na mahusiano ya kijamii. Kuna shutma, shaka, tuhuma na mivutano. Lakini pia kuna hongera, imani, ushirikiano, upendo, kutanabahi na mshikamano. Katika huu mseto wa mambo ipo sauti imara ya Sara inayosikika ikihimiza na kuzindua. Sauti inayoiona kila hali mfano wa bembea.

    ISBN: 9789966194534

    Add to cart
  • Rated 0 out of 5

    Common Mistakes in English by T. J Fitikides

    Original price was: KSh711.00.Current price is: KSh640.00.

    Common Mistakes in English takes more than 550 examples of typical errors (for example, words that are often confused, misused, or used with the wrong preposition) and offers a correct version and explanation that will help students avoid making the same mistakes themselves. An invaluable book for students who are keen to ‘get it right’ every time.

    ISBN: 9780582344587

    Add to cart
  • Rated 0 out of 5

    Father of Nations (Setbook) by Paul B.Vitta

    Original price was: KSh627.00.Current price is: KSh565.00.

    The very best of the world’s best have discovered a way to develop Africa: Way Omega. Now Africa’s heads of state are at a summit to approve it as their common development strategy. If they do, it promises Africa will start developing immediately. Unknown to the summit are several aggrieved conspirators who are plotting to defeat Way Omega and replace it with a rival strategy: Path Alpha. Their path, they say, is the only way to develop Africa. Should the summit still approve Way Omega, or should it turn around and approve Path Alpha instead? Fathers of Nations is a satire on contemporary African politics.

    ISBN: 9780195749618

    Add to cart
  • Rated 0 out of 5

    Football Fan 3l by Muitungu

    Original price was: KSh278.00.Current price is: KSh250.00.

    The NPPE Reading Scheme forms an important part of the New Progressive Primary English (NPPE) course. There are twelve storybooks for each class specially written to emphasize specific language skills learnt in the main course. Here is a reading scheme that offers the modern child an excellent mix of graded stories all packed with many exciting things. Now the child has fun that’s built to last.

    ISBN: 9780195734287

    Add to cart
  • Rated 0 out of 5

    Mapambazuko ya Machweo na Hadithi – Set Book

    Original price was: KSh544.00.Current price is: KSh490.00.
  • Rated 0 out of 5

    Mapambazuko ya Machweo na Hadithi – Set Book

    Original price was: KSh544.00.Current price is: KSh490.00.

    Mapambazuko ya Machweo na Hadithi nyingine ni mkusanyiko wa hadithi fupi wa kipekee kwani umewashirikisha waandishi wenye tajriba pevu katika fani ya uandishi na kuwapa nafasi waandishi wachanga katika tasnia ya uandishi wa kifasihi. Waandishi waliochangia katika mkusanyiko huu wameonyesha ubunifu mkubwa kwa kusawiri uhalisia wa maisha katika mazingira yao tofauti.

    Suala la uhalisia wa maisha na mwingiliano wake na fasihi haliwezi kupuuzwa kwani fasihi ni kioo cha jamii.

    Mkusanyiko huu una hadithi zenye maudhui mbalimbali na zinazosheheni migogoro itakayowafikirisha wasomoji. Hali kadhalika, huu ni mkusanyiko wa kwanza wa hadithi fupi kuwahi kuchapishwa ulio na idadi karibu sawa ya waandishi wa kike na wa kiume.

    ISBN:9789914987195

    Add to cart
  • Rated 0 out of 5

    Moran Pearls: President’s Son by Koranteng

    Original price was: KSh550.00.Current price is: KSh495.00.

    ‘Now that you are the President’s son, you are left with only one thing.’

    ‘What is it?’

    ‘The guts and aplomb that go into the President’s son!’

    The two rogues would like to reap where they have not sown.

    Will Tabi impersonate the President’s son? Will the sugarcoated words be enough to get them to the land of milk and honey?

    ISBN: 9789966630254

    Add to cart
  • Rated 0 out of 5

    Mshale wa Matumaini Grade 7 (Access) by John Habwe

    Original price was: KSh444.00.Current price is: KSh400.00.

    Zingo na mama yake wanakimbilia ughaibuni kufuatia mzozo wa kikabila katika nchi yao. Huko ughaibuni wanakabiliwa na matatizo mengi. Zingo anafanya bidii kuyakabili licha ya umri wake mdogo. Hata hivyo, kinachomstaajabisha na kumhuzunisha ni kuhusishwa na baba yake ambaye anatuhumiwa kuwa mhalifu wa kivita. Zingo anabaguliwa na wenzake lakini anapiga moyo konde na kuendelea na masomo yake ambayo sasa yanampa matumaini ya kuyageuza maisha yake ya karaha kuwa ya furaha. Hii ni hadithi ya huzuni inayofunua makovu ya mizozo ya kijamii hasa mizozo hiyo inavyoathiri vijana wadogo.

    ISBN: 9789914729931

    Add to cart
  • Rated 0 out of 5

    Mwongozo wa Bembea ya Maisha (Climax)

    Original price was: KSh555.00.Current price is: KSh500.00.

    Mwongozo huu wa tamthilia ya Bembea unajumulisha vijitabu vitatu.

    1.Mwongozo wenyewe wa Tamthilia ya Bembea.

    2. Ushauri kwa mwanafunzi kuhusu jinsi ya kujibu ya kiswahili ya KCSE.

    3. Mifano ya Maswali na majibu mwafaka

    ISBN: 9782199766806

    Add to cart
  • Rated 0 out of 5

    Mwongozo wa Mapambazuko ya Machweo(Climax)

    Original price was: KSh555.00.Current price is: KSh500.00.

    Vitabu Hivi Vimeandikwa na Waalimu Waliobobea katika kufunza na kutahini mtihani wa kitaifa wa Fasihi KCSE.

    Mwongozo wa Mapambazuko ya Machweo na hadithi nyingine Una kusudia Kuwasaidia wanafunzi kuvelewa mkusanyiko huu wa hadithi fupi ili kuwatayarisha katika mtihani wa kitaifa K.C.S.E.

    ISBN: 9782326756892

    Add to cart
  • Rated 0 out of 5

    Mwongozo wa Nguu za Jadi (Climax) by Clara Momanyi

    Original price was: KSh511.00.Current price is: KSh460.00.

    Mwongozo huu wa RIWAYA YA NGUU ZA JADI UNAJUMULISHA VIJITABU VITATU VIKIWEMO:

    1. Mwongozo wenyewe wa Nguu Za Jadi.

    2. Ushauri kwa mwanafunzi kuhusu Jinsi ya kujibu Maswali ya Kiswahili ya KCSE.

    3. Mifano ya Maswali na Majibu Mwafaka.

    Vitabu Hivi Vimeandikwa na Waalimu Waliobobea katika kufunza na kutahi-ni mtihani wa kitaifa wa Fasihi KCSE.

    ISBN: 9782123456865

    Add to cart
  • Rated 0 out of 5

    Mwongozo ya Mapambazuko ya Machweo (Globalink) by Globalink

    Original price was: KSh544.00.Current price is: KSh490.00.
  • Rated 0 out of 5

    Nguu za jadi by CLARA MOMANYI

    Original price was: KSh766.00.Current price is: KSh690.00.
  • Rated 0 out of 5

    Parliament of Owls – Set Book by Adipo Sidang’

    Original price was: KSh567.00.Current price is: KSh510.00.

    Adipo Sidang’ is a Kenyan award-winning poet and playwright. His Young Adult novella, A Boy Named Koko, won the 2017 Burt Award for African Young Adult Literature (Kenya). It was also shortlisted for the Burt Award for African Young Adult Literature (Africa) the same year, and the Jomo Kenyatta Prize for Literature in 2019. Sidang’ is passionate about art, its policy and governance setting. He has previously taught Philosophy in Kenyan universities.

    Parliament of Owls, his first collection of poems, was published in 2016 by Native Intelligence under the Contact Zones Nairobi Series. He later adapted the title poem into a stage play, which was performed in Kenya in 2017 by his theatre group, Agora Theatre. The play is now published as Parliament of Owls: A Play.

    ISBN: 9789966566409

    Add to cart
  • Rated 0 out of 5

    Shades of Life by Pasomi Mucha

    Original price was: KSh733.00.Current price is: KSh660.00.

    Shellsea Kego has had everything going for her. She has known nothing less than a Royal upbringing. Fancy schools, expensive holidays and all that vast wealth can buy have been the summary of the life of this young girl. Snobbish and with a keen sense of class, she mingles with the high and mighty, in whose league her rich mother luxuriates. Her fairy-tale kind of life comes tumbling down like a pack of cards when her mother drives her to what strikes her as a godforsaken ghost of a school in the middle of nowhere. “You can’t leave me in this terrible place! I cannot survive this! I will be miserable and end up failing!” Shellsea protests. “It’s for your own good.” her mother insists, as if to rub salt into her wound.

    ISBN: 9780195736106

    Add to cart
  • Rated 0 out of 5

    Shani katika njia panda by Story Moja

    Original price was: KSh500.00.Current price is: KSh450.00.

    Shani anakumbwa na furaha ya kupindukia rafiki yake, Jaki, anapomchagua kuandamana naye hadi Afrika Kusini.
    Mjomba wa Jaki anajitolea kugharamia ziara hiyo. Hata hivyo, mamake Shani anashuku nia ya Mjomba kumpeleka mwanawe
    Afrika Kusini. Mama anajaribu kumshawishi Shani kupuuza pendekezo hilo kwa kumwekea vikwazo. Shani aliye na hamu kuu
    kwenda ughaibuni anakwea vikwazo vyote hadi mzazi wake anamkubalia kwenda Afrika Kusini. Mbona Mama Shani anashuku
    ukarimu wa Mjomba? Soma hadithi ufumbue fumbo.

    ISBN: 9789966066800

    Add to cart
  • Rated 0 out of 5

    Silent song and other stories (spotlight) by Edited by Godwin Siundu

    Original price was: KSh722.00.Current price is: KSh650.00.

    A Silent Song and other Stories is a unique collection of short stories from various societies across the world. They have been carefully selected to represent various generations of writers from diverse backgrounds.

    The stories are meticulously sought and packaged to provoke interest in young Kenyan readers and help them encounter in-depth literary experiences. A wide range of techniques, settings and themes that are relevant to the contemporary issues affecting Kenyans have been addressed in the collection. These will expose the students to a rich diversity of perspectives that will result in appreciating the uniqueness of cultures across the globe.

    ISBN: 9789966572813

    Add to cart
  • Rated 0 out of 5

    Storymoja Giza la Muda by Storymoja

    Original price was: KSh533.00.Current price is: KSh480.00.

    Nana anahudhuria sherehe ya kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwa rafiki yake wa chanda na pete, Judi. Huko, anakutana na mwigizaji maarufu ambaye ameigiza kama mhusika mkuu katika kipindi cha runinga kinachowalenga vijana. Papo hapo, Nana anapiga urafiki na mvulana huyo maarufu; urafiki ambao unaishia kuwa majuto.

    Giza la Muda ni hadithi inayoangazia changamoto mbalimbali zinazowakabili vijana katika jamii na jinsi ya kukabiliana nazo. Changamoto hizo ni kama vile ushawishi wa marika na mimba za mapema.

    ISBN: 9789966623638

    Add to cart
  • Rated 0 out of 5

    Study Guide a Silent Song and other stories (Climax)

    Original price was: KSh555.00.Current price is: KSh500.00.

    An Episodic Approach guide book to A silent Song and Other Stories by Spotlight Publishers Ltd and edited by Godwin Siundu.

    ISBN: 9784443456853

    Add to cart
  • Rated 0 out of 5

    Study Guide to Fathers of Nations (Climax) by Climax

    Original price was: KSh583.00.Current price is: KSh525.00.

    Written by teachers of Long Standing Experience in both teaching and marking KCSE. This guide provides 3 booklets under one cover:

    -A comprehensive episodic approach guide to Fathers of Nations.

    -K.C.S.E English Exams Tips Booklet; through the eye of an Examiner.

    -Answered K.C.S.E Model Questions Booklet.

    ISBN: 9780098256800

    Add to cart
  • Rated 0 out of 5

    Study Guide to the Samaritan (climax) by John Lara

    Original price was: KSh633.00.Current price is: KSh570.00.

    An Episodic Approach guide book to THE SAMARITAN play by JOHN LARA.

    Written by teachers of long standing Experience in both teaching and Marking K.C.S.E, this guide book provides 3 booklets under one cover:

    1.A COMPREHENSIVE EPISODIC APPROACH GUIDE TO AN ARTIST OF THE FLOATING WORLD BY KAZUO ISHIGURO.

    2.KCSE ENGLISH EXAMS TIPS BOOKLET; THROUGH THE EYE OF AN EXAMINER,

    3.ANSWERED KCSE MODEL QUESTIONS BOOKLET

    ISBN:9781145956803

    Add to cart
  • Rated 0 out of 5

    The Samaritan-Setbook by John Lara

    Original price was: KSh522.00.Current price is: KSh470.00.

    The Samaritan tells the story of two students in maracas municipality who develop a mobile App called The Samaritan-an online platform for whistleblowing as well as sharing ideas and information enhancing public welfare.Soon,the App is flooded with damning information about the unparalleled corruption,malfeasance,and political capture perpetrated by Maracas municipal leader.

    ISBN: 9789966657534

    Add to cart

Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop
Call Us