Tubadilishe Jina
Rated 0 out of 5
0 customer reviews
KSh 650.00 Original price was: KSh 650.00.KSh 610.00Current price is: KSh 610.00.
Category: Storybooks

Tubadilishe Jina
Ni vipi mtoto mdogo kama Sandra anafahamu maneno kama hayo? Tena maneno ambayo si ya Kiswahili, si ya Kiingereza, si ya lugha za kigeni au za kiasili. Yanatoka wapi? Ni nani waasisi wake? Mzee Jarida alijiuliza baada ya kumsikia mjukuu wake akizungumza. Maswali hayo yalipita akilini mwake haraka na kukaribisha fikra nyingi.
‘Mbona Hivi?’ ni riwaya ambayo imeandikwa kwa lugha yenye mvuto na upekee. Inaangazia masuala yanayoathiri vijana na kuibua mjadala – mjadala wa kujadiliwa leo, kesho na hata siku za usoni – kuhusu mustakabali wa lugha ya Kiswahili katika jamii.
Reviews
0
Rated 0 out of 5
0 customer reviews
5
0
4
0
3
0
2
0
1
0
Be the first to review “Tubadilishe Jina” Cancel reply
Related Products
The Bike Thief by Queenex
Rated 0 out of 5
(0)
The Lost Phone and Other Stories Grade 3a
Rated 0 out of 5
(0)
Hug from the President and other stories by Kariuki
Rated 0 out of 5
(0)
Queenex The Billy Goat and Other Stories 2B by Rebecca Nandwa
Rated 0 out of 5
(0)
Joy Kids Bible
Rated 0 out of 5
(0)
Baraka and the Bully by Queenex
Rated 0 out of 5
(0)
Queenex Sudi the Drummer and other Stories 2C by Rebecca Nandwa
Rated 0 out of 5
(0)
Bella the Butterfly Girl by Rebecca Nandwa
Rated 0 out of 5
(0)
Queenex: The Big Gift and Other Stories Grade 1a by Queenex
Rated 0 out of 5
(0)
A Rainy Day by Anne Maline
Rated 0 out of 5
(0)
Queenex the Fat Cat by Kazungu
Rated 0 out of 5
(0)
ATIENO SKIPS TO THE CITY EAEP
Rated 0 out of 5
(0)
Ali Baba and Other Stories
Rated 0 out of 5
(0)
What a Fright and Other Stories
Rated 0 out of 5
(0)
Saving Our Teacher by Queenex
Rated 0 out of 5
(0)
Fool’s Express by Okoth
Rated 0 out of 5
(0)
The Mouse Trap and Other Stories by Queenex
Rated 0 out of 5
(0)
The Net Trap and Other Stories Grade 1d
Rated 0 out of 5
(0)

There are no reviews yet.