Sale
35-Mbona-Hivi

Mbona Hivi?

0 customer reviews

Original price was: KSh 650.00.Current price is: KSh 595.00.

Compare
Category:
Mbona Hivi?
Original price was: KSh 650.00.Current price is: KSh 595.00.

Ni vipi mtoto mdogo kama Sandra anafahamu maneno kama hayo? Tena maneno ambayo si ya Kiswahili, si ya Kiingereza, si ya lugha za kigeni au za kiasili. Yanatoka wapi? Ni nani waasisi wake? Mzee Jarida alijiuliza baada ya kumsikia mjukuu wake akizungumza. Maswali hayo yalipita akilini mwake haraka na kukaribisha fikra nyingi.

‘Mbona Hivi?’ ni riwaya ambayo imeandikwa kwa lugha yenye mvuto na upekee. Inaangazia masuala yanayoathiri vijana na kuibua mjadala – mjadala wa kujadiliwa leo, kesho na hata siku za usoni – kuhusu mustakabali wa lugha ya Kiswahili katika jamii.

Reviews

0
0 customer reviews
5
0
4
0
3
0
2
0
1
0

There are no reviews yet.

Be the first to review “Mbona Hivi?”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Let's chat

Your Cart

Select at least 2 products
to compare

Your Cart

Your Cart is Empty

Start Shopping
Continue Shopping