Study Guide a Silent Song and other stories (Climax)
KSh555.00 Original price was: KSh555.00.KSh500.00Current price is: KSh500.00.
An Episodic Approach guide book to A silent Song and Other Stories by Spotlight Publishers Ltd and edited by Godwin Siundu.
ISBN: 9784443456853
Related products
-
Rated 0 out of 5
Shani katika njia panda by Story Moja
KSh500.00Original price was: KSh500.00.KSh450.00Current price is: KSh450.00.Add to cartShani anakumbwa na furaha ya kupindukia rafiki yake, Jaki, anapomchagua kuandamana naye hadi Afrika Kusini.
Mjomba wa Jaki anajitolea kugharamia ziara hiyo. Hata hivyo, mamake Shani anashuku nia ya Mjomba kumpeleka mwanawe
Afrika Kusini. Mama anajaribu kumshawishi Shani kupuuza pendekezo hilo kwa kumwekea vikwazo. Shani aliye na hamu kuu
kwenda ughaibuni anakwea vikwazo vyote hadi mzazi wake anamkubalia kwenda Afrika Kusini. Mbona Mama Shani anashuku
ukarimu wa Mjomba? Soma hadithi ufumbue fumbo.ISBN: 9789966066800
-
Rated 0 out of 5
Storymoja Giza la Muda by Storymoja
KSh533.00Original price was: KSh533.00.KSh480.00Current price is: KSh480.00.Add to cartNana anahudhuria sherehe ya kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwa rafiki yake wa chanda na pete, Judi. Huko, anakutana na mwigizaji maarufu ambaye ameigiza kama mhusika mkuu katika kipindi cha runinga kinachowalenga vijana. Papo hapo, Nana anapiga urafiki na mvulana huyo maarufu; urafiki ambao unaishia kuwa majuto.
Giza la Muda ni hadithi inayoangazia changamoto mbalimbali zinazowakabili vijana katika jamii na jinsi ya kukabiliana nazo. Changamoto hizo ni kama vile ushawishi wa marika na mimba za mapema.
ISBN: 9789966623638
-
Rated 0 out of 5
Shades of Life by Pasomi Mucha
KSh733.00Original price was: KSh733.00.KSh660.00Current price is: KSh660.00.Add to cartShellsea Kego has had everything going for her. She has known nothing less than a Royal upbringing. Fancy schools, expensive holidays and all that vast wealth can buy have been the summary of the life of this young girl. Snobbish and with a keen sense of class, she mingles with the high and mighty, in whose league her rich mother luxuriates. Her fairy-tale kind of life comes tumbling down like a pack of cards when her mother drives her to what strikes her as a godforsaken ghost of a school in the middle of nowhere. “You can’t leave me in this terrible place! I cannot survive this! I will be miserable and end up failing!” Shellsea protests. “It’s for your own good.” her mother insists, as if to rub salt into her wound.
ISBN: 9780195736106
-
Rated 0 out of 5
Common Mistakes in English by T. J Fitikides
KSh711.00Original price was: KSh711.00.KSh640.00Current price is: KSh640.00.Add to cartCommon Mistakes in English takes more than 550 examples of typical errors (for example, words that are often confused, misused, or used with the wrong preposition) and offers a correct version and explanation that will help students avoid making the same mistakes themselves. An invaluable book for students who are keen to ‘get it right’ every time.
ISBN: 9780582344587
-
Rated 0 out of 5
Mwongozo wa Nguu za Jadi (Climax) by Clara Momanyi
KSh511.00Original price was: KSh511.00.KSh460.00Current price is: KSh460.00.Add to cart
Mwongozo huu wa RIWAYA YA NGUU ZA JADI UNAJUMULISHA VIJITABU VITATU VIKIWEMO:
1. Mwongozo wenyewe wa Nguu Za Jadi.
2. Ushauri kwa mwanafunzi kuhusu Jinsi ya kujibu Maswali ya Kiswahili ya KCSE.
3. Mifano ya Maswali na Majibu Mwafaka.
Vitabu Hivi Vimeandikwa na Waalimu Waliobobea katika kufunza na kutahi-ni mtihani wa kitaifa wa Fasihi KCSE.
ISBN: 9782123456865
Reviews
There are no reviews yet.