Storymoja Know More Art and Craft Grade 5 by Storymoja
KSh577.00 Original price was: KSh577.00.KSh520.00Current price is: KSh520.00.
Know More Art and Craft Learner’s Book for Grade 5 is written in conformity to the new competency-based curriculum design to assist learners carry out various interactive learning activities.
The book provides learners with opportunities to develop core competencies, values, skills and attitudes.
ISBN: 9789966623812
Related products
-
Rated 0 out of 5
KLB Visionary Kiswahili Mwanafunzi Grade 5 (Approved) by WANDERA
KSh466.00Original price was: KSh466.00.KSh420.00Current price is: KSh420.00.Add to cartKLB Visionary Kiswahili Gredi ya Tano (Kitabu cha Mwanafunzi) kimechapishwa kwa kusudi la kuendelea kuimarisha uwezo wa mwanafunzi katika lugha ya Kiswahili kupitia Sarufi na stadi za lugha; Kusikiliza, kuzungumza, Kusoma na kuandika.
• Kitabu hiki kimechapishwa kwa kuzingatia mtaala mpya wa kiumilisi kutoka Taasisi ya Ukuzaji Mitaala
Nchini Kenya (KICD) wa mwaka wa 2019 wa masomo ya shule za msingi, gredi ya tano.
• Mwanafunzi amepewa nafasi ya kutosha ya kutambua na kujifunza mambo mapya ili kukuza uwezo
wake wa kukabili mambo katika maisha.
• Mazoezi ainati, mifano na picha zimetumika kwa nia ya kulenga mazingira ya mwanafunzi na usasa ili
kumrahisishia ujifunzaji.
• Masuala mtambuko na ya kijinsia yamejumuishwa kitabuni ili kukuza mwanafunzi anayewajibikia mabadiliko maishani.
• Kitabu hiki kimekuza upekee wa kutumia shajara na kazi mradi katika sehemu ya mwisho ya kila mada. Shajara na kazi mradi zimekusudiwa kumsaidia mwanafunzi kutumia ujuzi wa mambo aliyogundua au kujifunza kutokana na mada husika ili kubuni kitu kipya au kutatua suala fulani katika maisha ya kila siku.ISBN: 9789966656704
-
Rated 0 out of 5
OUP Kiswahili Dadisi Grade 5 Kitabu cha mwanafunzi (Approved) by J. Ndege, P. Kea, E. Osoro, Z. Mucheria
KSh627.00Original price was: KSh627.00.KSh565.00Current price is: KSh565.00.Add to cartKiswahili Dadisi ni msururu wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa njia ya kipekee ili kutosheleza mahitaji ya mtalaa wa umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia stadi za kusikiliza, kuzungumza, kusoma na kuandika, na vilevile sarufi. Aidha, vina mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunza. Pia vinakuza umilisi uliopendekezwa, maadili na kufahamisha kuhusu masuala ibuka.
Katika Kiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 5, utapata:
• mada zilizopangwa kwa kuzingatia muainisho wa mtalaa mpya.
• mifano halisi ya miktadha ambapo lugha hutumika.
• mazoezi ya kuwahamasisha wanafunzi kuendeleza ujifunzaji nje ya darasa na yale yenye kuwashirikisha katika shughuli za
kijamii zinazokuza ujifunzaji.
• mazoezi yanayomhusisha mwanafunzi moja kwa moja.
• jinsi ya kuwashirikisha wazazi na walezi ili kuimarisha uwajibikaji.
• vifungu vya kumburudisha na kumfikirisha mwanafunzi katika sehemu ya ‘Burudika’.
Kiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi kina Mwongozo wa Mwalimu ambao pia una mazoezi na maelekezo tosha ambayo mwalimu atahitaji ili kumwongoza mwanafunzi aweze kufaulu katika mtalaa huu wa umilisi.ISBN: 9780195749052
-
Rated 0 out of 5
KLB Visionary Art and Craft Grade 5 Learner’s (Approved) by E. Kiama, O. S. Lore, M. Atieno, G. Motondi
KSh466.00Original price was: KSh466.00.KSh420.00Current price is: KSh420.00.Add to cartKLB Visionary Art and Craft Grade Five Learner’s Book is designed to help the learner acquire and apply specific concepts, techniques, and related vocabulary to increase capacity for the effective pursuit of artistic goals. The span of strands at this level entails Picture Making, Mixed Media and Technology, Indigenous Kenyan Crafts, Presentation, and Exhibition.
• The book is developed in line with the requirements of the Competency-Based
Curriculum design for Art and Craft for Grade Five.
• The learning experiences are aligned with the thematic integrated approach thus concepts are presented in the most appropriate way for learners at this level.
• This book is extensively illustrated to make the content interesting to the learners.
• It has employed a learner-centered approach where all experiences are centered on the learner’s interests, knowledge, and application to real-life situations.
• Lessons drawn from learner’s day-to-day activities at school and home.
• The book has numerous practical activities and reflection questions to enable the learner to carry them out on their own either in school or at home.
• The title has adequately mainstreamed key pertinent and contemporary issues and is designed to equip the learner with 21st Century competences.ISBN: 9789966656667
-
Rated 0 out of 5
Kurunzi ya Insha gredi ya 4 na 5 by Francis Wangome
KSh800.00Original price was: KSh800.00.KSh720.00Current price is: KSh720.00. -
Rated 0 out of 5
OUP Growing in Christ CRE Grade 5 Learner’s (Approved) by HEZRON ONYANGO
KSh644.00Original price was: KSh644.00.KSh580.00Current price is: KSh580.00.Add to cartGrowing in Christ Christian Religious Education Learner’s Book, Grade 5
The Growing in Christ series is specially written to provide practical experiences that will build the learners’ knowledge and understanding of the Christian faith, as well as equip them with values, skills, and attitudes that will assist them to live well with self and others. Books in the series have a wide range of activities that learners will find exciting and motivating. The activities are aimed at the acquisition and appreciation of the core competencies, values, and pertinent and contemporary issues.
Growing in Christ CRE Learner’s Book Grade 5 provides:
• Content that is structured according to the curriculum design.
• Activities that present real-life situations where learners can solve problems through creativity and critical thinking.
• Bible reading sections that present activities on selected Bible verses.
• School activities that enhance learning outside of the classroom, but within the school community.
• Home and community activities that enhance learning at home and in the community.
• Fun spots that make learning fun and exciting through songs, poems, and much more.A Teacher’s Guide is available for each Learner’s Book in the series.
ISBN: 9780195748987
Reviews
There are no reviews yet.