Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop

Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop
Sale!

Storymoja Bingwa wa Kitaifa by Storymoja

Original price was: KSh500.00.Current price is: KSh450.00.

“Janet aliitazama tarakilishi iliyokuwa mbele yake na kuogopa. Alikuwa amesoma matini ya Maria ya Somo la Tarakilishi kutoka madarasa ya awali ili kujitayarisha kwa_ kipindi hicho, lakini ilionekana kana kwamba kila kitu alichojifunza kilitoweka na kuacha akili yake wazi. Aliitazama mashine hiyo kisha akashika tama! Alitazama juu na chini na kutamka ombi kimoyomoyo …Muda huo huo, mwalimu wao wa Somo la Tarakilishi aliingia darasani. Kila mmoja akasimama …”

Janet amejiunga na shule mpya iliyoko Nairobi ili kusomea Somo la Tarakilishi. Kwa kuwa amelelewa kijijini, Janet hana mwao kuhusu somo hilo. Je, anaishia vipi kuibuka mshindi katika mashindano ya kupiga chapa?

ISBN: 9789966623645

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Storymoja Bingwa wa Kitaifa by Storymoja”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Category:
Sale!

Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop
Call Us