Spotlight Hygiene Workbook Grade 1 by Spotlight Publishers
KSh355.55 Original price was: KSh355.55.KSh320.00Current price is: KSh320.00.
Related products
-
Rated 0 out of 5
Mentor Kielekezi cha Shughuli GD1
KSh511.00Original price was: KSh511.00.KSh460.00Current price is: KSh460.00.Add to cartKIELEKEZI cha Shughuli za Kiswahili Gredi 1 kimewasilisha kikamilifu mahitaji ya mtaala mpyaunaozingatia umilisi.
Kitabu hiki kimetumia mtindo unaomwegemea mwanafunzi zaidi.
Kimetumia lugha nyepesi iliyokomaa na inayoweza kueleweka na mwanafunzi kwa urahisi.
Kimeangazia stadi zote za kujifunza lugha:
(i) Kusikiliza na Kuzungumza
(ii) Kusoma
(iii) Kuandika
(iv) Msamiati
(v) Sarufi
ISBN: 9789966059666
-
Rated 0 out of 5
Nyota ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi Grade 1
KSh505.00Original price was: KSh505.00.KSh455.00Current price is: KSh455.00.Add to cartKitabu hiki kimedhamiriwa kutumika kama mfululizo wa vitabu vya ziada kwa Gredi ya Kwanza. Kimeandikwa kuambatana na mtalaa mpya. Kitabu hiki kimelenga kumwongoza mwanafunzi katika masomo yake ya lugha ya Kiswahili kwa kutimiza rnaarubu ya mtalaa wa kiwango husika. Ndani yake mna mbinu bora za ujifunzaji ambazo zitawaelekeza wanafunzi kuhusu njia bora za kutimiza malengo yao.
Kimezingatia stadi zote za kujifunza lugha, yaani:
(i) Kusikiliza
(ii) Kuzungurnza
(iii) Kusoma
(iv) Kuandika
(v) Msamiati
(vi) Sarufi
ISBN: 9789966511065
-
Rated 0 out of 5
Kiswahili Dadisi Grade 1 by Oxford University Press (OUP)
KSh577.77Original price was: KSh577.77.KSh520.00Current price is: KSh520.00.Add to cartKiswahili Dodisi. Mazoezi ya Lugha ni msururu wa vitabu vipyo vilivyoandikwa kwo upekee iti kutosheleza mahitaji ya mtaloo mpyo wa Umilisi. Vitabu Finn vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahomu we Lugha kupitio stadi za kuzungumza, kusoma na kuandika. Aidha, vino mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunza. Pia vinakuzo umitisi uliopendekezwa. maadili no kufahamisha kuhusu masualaibuka.
Katika Kiswahili Dadisi. Mazoezi ya Lugha. Kitabu cha Mwanafunzi. Gredi utapata:
- made zilizopangwo kwa kuzingatio muainisho wa mtalaa mpya
- mifano halisi ya miktodho ambapo Lugha hutumika
- mazoezi nje ya darasa iii kuendeteza ujifunzaji na kuwashirikisha wanafunzi katika shughuli zo kijamii zinazokuza ujifunzaji
- mazoezi yanayomhusisha mwanafunzi moja kwa moja
- jinsi ya kuwashirikisha wazazi no walezi iii kuimarisha uwajibikaji.
ISBN: 9780195746822
-
Rated 0 out of 5
OUP Soma Nasi Kusoma na Kuandika Gredi 1 (Approved)
KSh522.22Original price was: KSh522.22.KSh470.00Current price is: KSh470.00.Add to cartSoma Nasi, Kusoma na kuandika Kiswahili ni msururu wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa upekee ili kutosheleza mahitaji ya mtalaa mpya wa Umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia stadi za kusikiliza,
kuzungumza, kusoma na kuandika. Aidha, vina mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunza pamoja na kuwa vinakuza umilisi uliopendekezwa, maadili na pia kufahamisha kuhusu masualaibuka.
ISBN: 9780195746945
-
Rated 0 out of 5
KLB Visionary English Activities Grade 1
KSh505.50Original price was: KSh505.50.KSh455.00Current price is: KSh455.00.Add to cartKLB Visionary English Activities for Grade 1 is a learning area that aims at instilling in the learners the ability to become active listeners and speakers at their level. The learner through engagement becomes confident in expressing their feelings, ideas and opinions. The workbook has been developed in line with the requirements of the new Competency-Based Curriculum and subject design.
The text is presented in a simple concise language appropriate to the level of the learner. The style is also simple, making it highly readable and learners will find it easy to understand. The book contains full-colour illustrations designed to hold the attention of the learners.
The workbook has employed a learner-centered approach where all experiences are centered on the learner’s interests, knowledge and application to real life situations. Every lesson has something to draw from day-to-day occurrences. The Learner’s Workbook has numerous practical activities for all topics and at the end of every lesson to enable the learner practise learning on their own.ISBN: 9789966652492
Reviews
There are no reviews yet.