Soma Nasi Kusoma Na Kuandika Gredi 2
KSh511.11 Original price was: KSh511.11.KSh460.00Current price is: KSh460.00.
Related products
-
Rated 0 out of 5
KLB Visionary Mazoezi ya Kiswahili Grade 2 by KLB
KSh416.66Original price was: KSh416.66.KSh375.00Current price is: KSh375.00.Add to cartKLB Mazoezi ya Kiswahill Gredi ya 2 (Kitabu cha Mwanalunzi) ni kitabu mojawapo kati ya vitabu vinavyochapishwa na Kenya Literature Bureau vya msururu wa KLB Visionary. Msururu huu wa vitabu umezingatia Mtalaa wa kiumilisi wa mwaka wa 2017 wa masomo ya shule za Msingi.
Kitabu hiki kimekusudiwa kumwezesha mwanafunzi kukuza uwezo wa kutumia stadi zote nne za lugha ya Kiswahili: Kusikiliza, Kuzungumza, Kusoma na Kuandika. Kupitia stadi hizi, mwanafunzi anakuza uwezo wake wa lugha.
Toleo hili limejumuisha mambo muhimu ambayo yanachangia ujifunzaji wa sasa ambayo ni masuala mtambuko, maswali dadisi, masuala ya linsia. utendaji wa mwanafunzi, picha murua za kuchangamsha na kuibua hamu ya kudadisi kwa mwanafunzi na mbinu tofauti za kumwezesha mwanafunzi kukuza uwezo wake wa kujifunza. Mazingira halisi ya mwanafunzi yamezingatiwa katika kukuza kazi hii. Hili linamwezesha mwanafunzi kujifunza katika hali halisi. Lugha sahili imetumika ili kurahisisha kuelewa kwa mada zote katika kitabu.
ISBN: 9789966652140
-
Rated 0 out of 5
KLB Visionary Environmental Act GD1
KSh500.00Original price was: KSh500.00.KSh450.00Current price is: KSh450.00.Add to cartEnvironmental Activities Grade One has been comprehensively written to meet the requirements of the new competency-based curriculum. The content is guided strictly by the specific learning outcomes and suggested learning experiences. The inquiry-based approach, which emphasises on “how we come to know” rather than “what we know” has been used throughout the development of the content.
This learner’s book has used a variety of learning activities including project assignments, discussions, homework, parental involvement, experiments, field studies, observations and use of resource persons. All these learning activities are meant to put the learner to task in order to discover the knowledge on their own and apply what they have learnt in solving various problems around them. To evaluate the learner’s understanding and mastery of the content, a comprehensive assessment exercises has been provided at the end of every sub-strand. These assessment exercises are meant to assist in assessing learner’s progress in the course of learning.
ISBN: 9789966652478
-
Rated 0 out of 5
MTP Mathematical Activities workbook for grade 2
KSh455.55Original price was: KSh455.55.KSh410.00Current price is: KSh410.00.Add to cartNumeracy is a foundational skill that prepares the learner for number work, mathematics in higher levels of schooling and mathematical approaches in all aspects of life. Numeracy activities involve identification and value placement of mathematical numerals, basic mathematical operations as well as measuring and describing shapes.
After use of this book, the learner will be able to;
Demonstrate mastery of Number concepts by working out problems in day to day life.
Apply measurement skills to find solutions to problems In a variety of contexts.
Describe properties of Geometrical shapes and spatial relationships in real life experiences
-
Rated 0 out of 5
Queenex Premier Kiswahili Grade 2 Mazoezi
KSh433.33Original price was: KSh433.33.KSh390.00Current price is: KSh390.00.Add to cartPremier Kiswahili Kitabu cha Mazoezi Gredi ya 2 ni kitabu cha mazoezi kilichoambatanishwa na Mtaala Mpya wa Elimu. Kitabu hiki kitamwezesha mwanafunzi kupata maarifa, ustadi, maadili, mitazamo na umilisi ambao utaunda msingi wa dhana…
-
Rated 0 out of 5
JKF New Primary English Learner’s Grade 2
KSh338.88Original price was: KSh338.88.KSh305.00Current price is: KSh305.00.Add to cartThe New Primary English Learner’s Activities Book for Grade 2 is part of a series designed in line with the competency-based curriculum. The book has a strong activity orientation that emphasizes the acquisition of the appropriate language skills, namely, listening and speaking; reading and writing. The key features of the book are: • content that …
Reviews
There are no reviews yet.