New Integrated English form 4 Students’ book
KSh672.00 Original price was: KSh672.00.KSh605.00Current price is: KSh605.00.
Related products
-
Rated 0 out of 5
Top Notch Notes & Workbook Chemistry F4
KSh888.00Original price was: KSh888.00.KSh800.00Current price is: KSh800.00. -
Rated 0 out of 5
Secondary Home Science Form 4 by Kithimba
KSh672.00Original price was: KSh672.00.KSh605.00Current price is: KSh605.00.Add to cartQuick Reading Home Science Form 4 is the fourth in a four book series that heralds a novel way of revising the subject the subject. The series takes on a question and answer approach in a way that learners will find appropriate and effective.
ISBN: 9966446397
-
Rated 0 out of 5
Chemchemi za Kiswahili Kidato cha nne by Wamitila
KSh794.00Original price was: KSh794.00.KSh715.00Current price is: KSh715.00.Add to cartChemchemi za Kiswahili ni mfululizo mpya wa vitabu vya Kiswahili ambavyo vimetayarishwa kwa kufuata silabasi mpya kwa shule za upili. Kitabu cha Chemchemi za Kiswahili, Kidato cha Nne kimezingatia mambo yafuatayo:
- Vifungu vya ufahamu vya kuvutia na kusisimua vitakavyompa mwanafunzi mafunzo na mazoezi teletele.
- Maelezo na ufafanuzi mustahili wa vipengee mbalimbali vya fasihi andishi na fasihi simulizi.
- Ufafanuzi kwa kina kifaacho kuhusu uandishi wa kawaida, uandishi wa kiubunifu, uandishi wa insha na utungaji wa kisanii.
- Uwasilishaji murua na unaoeleweka wa vipengee tofauti tofauti vya sarufi pamoja na mpangilio mpya wa ngeli.
- Usomaji wa makala mbalimbali katika magazeti, majarida, vitabu n.k.
- Mafunzo na mazoezi ya kusikiliza na kuzungumza yanayoburudisha na kushadidia vipengee mbalimbali muhimu kwa kuzingatia kiwango cha mwanafunzi wa kidato cha nne.
- Mifano kabambe ya karatasi za mtihani wa Kiswahili zenye muundo mpya wa mtihani hitimishi wa KCSE.
ISBN: 9966495274
-
Rated 0 out of 5
Kiswahili Kitukuzwe Kidato Cha 4
KSh861.00Original price was: KSh861.00.KSh775.00Current price is: KSh775.00.Add to cartHili ni toleo jipya la Kiswahili kwa Kidato cha Nne, Kitabu cha Wanafunzi. Kitabu hiki ni cha nne katika mfululizo wa vitabu vinnevya Kiswahili kwa shule za upili.
Kitabu hiki kimefuata mfumo wa elimu wa 8-4-4 na kufanyiwa marudio kulingana na silabasi mpya ya Kiswahili ya 2002 ya Kidato cha Nne.
ISBN: 9789966446114
-
Rated 0 out of 5
Secondary Biology form four students’ book KLB
KSh739.00Original price was: KSh739.00.KSh665.00Current price is: KSh665.00.Add to cartForm 4 Biology New Syllabus Revised EditionPublisher: Â Kenya Literature Bureau
Reviews
There are no reviews yet.