29
KSh14,844.00

Cart

29
KSh14,844.00

Cart

Sale!

Moran Stadi za Kiswahili Grade 7 (Approved) by Moran

Original price was: KSh800.00.Current price is: KSh720.00.

Stadi za Kiswahili ni mfululizo wa vitabu vya kiada vya Kiswahili vilivyoandaliwa kwa kufuata Mtaala wa Kiumilisi. Kitabu hiki kina sifa kuu zifuatazo:

-Kimeandikwa kwa Kiswahili cha kiwango cha mwanafunzi wa Gredi ya 7

-Maswali dadisi yametumiwa kumfikirisha mwanafunzi

-Kimejumuisha shughuli za mwanafunzi binafsi, shughuli za wanafunzi wawiliwawili na za makundi ya wanafunzi

-Kimejumuisha mada na mada ndogo zote

-Yaliyomo yamepangwa kulingana na mpangilio wa Kiswahili Gredi ya 7

ISBN: 9789966634580

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Moran Stadi za Kiswahili Grade 7 (Approved) by Moran”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Category:
Sale!
29
KSh14,844.00

Cart

Call Us