Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop

Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop
Sale!

Kitabu changu cha Kiswahili by Njoroge

Original price was: KSh433.00.Current price is: KSh390.00.

Kitabu hiki kimeandikwa nu mwandishi mwenye tajriba pana ya kufundishc katika Shule za Chekechea nchini Kenya. Muundo wa kitabu hiki utamsaidia mwanafunzi kupata msingi imam wa elimu ya kiwango cha Chekechea. Mwanafunzi anahakikishiwa stadi muhimu zinazohitajika katika kujenga msingi dhabiti masomoni. Kitabu hiki kitamsaidia mwanafunzi:

  • Kusoma vokali
  • Kusoma silabi za vokali
  • Kulinganisha picha na jina
  • Kuchora picha ya jina
  • Kutunga sentesi kutokana no picha Vitabu vingine katika msururu huu ni:
  • Kujaza nafasi kwa vokali
  • Kutunga maneno kwa vokali na silabi
  • Kuandika maneno vizuri
  • Kutunga sentesi kwa maneno
  • Kinyume, Tarakimu na Wingi

ISBN: 9789966788924

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Kitabu changu cha Kiswahili by Njoroge”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Categories: ,
Sale!

Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop
Call Us