Sale
Kiswahili-Workbook-6

Kiswahili Dadisi Workbook Gredi Ya 6

0 customer reviews

Original price was: KSh 770.00.Current price is: KSh 730.00.

Compare
Category:
Kiswahili Dadisi Workbook Gredi Ya 6
Original price was: KSh 770.00.Current price is: KSh 730.00.

Kiswahili Dadisi Workbook ni mfululizo wa kipekee wa vitabu vya mazoezi katika Mtalaa mpya wa Umilisi. Kila kitabu katika mfululizo huu kimefanyiwa utafiti wa kina na kuandikwa kwa ustadi ili kuwasaidia wanafunzi kupata umilisi wa kimsingi, ujuzi, maadili na kuwa na mitazamo bora maishani. Vitabu hivi vinatoa utaratibu mwafaka wa kufanya mazoezi ya lugha kwa njia nyepesi na ya kueleweka.

Kitabu hiki:

  • Kimeandikwa kwa kufuata utaratibu uliopendekezwa kwenye mtaala.
  • Kina mazoezi mengi ya kuchangamsha na kuelimisha, na ambayo yatamwezesha mwanafunzi kujenga na kupanua umilisi katika kila suala kuu.
  • Kina tathmini tamati ambayo mwanafunzi anaweza kufanya ili kukadiria umilisi wa jumla kwa mada zote.

Majibu ya mazoezi katika kitabu hiki yanapatikana kwenye Msimbo wa QR ulio katika sehemu ya yaliyomo

Reviews

0
0 customer reviews
5
0
4
0
3
0
2
0
1
0

There are no reviews yet.

Be the first to review “Kiswahili Dadisi Workbook Gredi Ya 6”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Let's chat

Your Cart

3
KSh 2,490.00

Select at least 2 products
to compare

Your Cart

3
Distinction CRE Grade 4

Distinction CRE Grade 4

You Saved 10%
Quantity
KSh 800.00 KSh 720.00
Agriculture Today Teachers Guide Grade 9

Agriculture Today Teachers Guide Grade 9

You Saved 11%
Quantity
KSh 1,100.00 KSh 980.00
One Planet Creative Arts & Sports GD9

One Planet Creative Arts & Sports GD9

You Saved 11%
Quantity
KSh 890.00 KSh 790.00
Payment Details
Sub Total KSh 2,490.00
Free shipping Free!
Shipping to Nairobi County.
Total KSh 2,490.00