Kielekezi cha Shughuli za Kiswahili Gredi 3 Kitabu cha Mwanafunzi by Mentor
KSh539.00 Original price was: KSh539.00.KSh485.00Current price is: KSh485.00.
KIELEKEZI cha Shughuli za Kiswahili Gredi 3 kimewasilisha kikamilifu mahitaji ya mtaata mpya unaozingatia umilisi.
Kitabu hiki kimetumia mtindo unaomwegemea mwanafunzi zaidi.
Kimetumia lugha nyepesi iliyokomaa na inayoweza kueteweka na mwanafunzi kwa urahisi.
ISBN: 9789966059802
Related products
-
Rated 0 out of 5
Stadi za Kiswahili Shughuli za Lugha Kitabu cha Mwanafunzi Gredi 3 by Mwalimu Kipande
KSh428.00Original price was: KSh428.00.KSh385.00Current price is: KSh385.00.Add to cartStadi za Kiswahlli ni Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 3 ni kitabu cha ziada kilichoandakwa kwa mujibu wa mtaala mpya uegemeao umilisi uliozinduliwa na Taasisi ya Ukuzaji Mitaala ya Kenya (KICD) mnamo Septemba 2017. Kitabu hiki kimejumuisha mada zote kuu na ndogo zilizomo katika ruwaza ya mtalaa ya Kiswahili Gredi ya 3. Isitoshe, mada kuu na ndogo zimepangwa kulingana na jinsi zilivyopongwa katika ruwaza hiyo. Fauka ya haya, yaliyomo yamewasitishwa kwa ubunifu wa hali ya juu kuyaoanisha na umilisi wa kimsingi, masuala mtambuko, maadili miongoni mwa masuala mengine yanayofumbatwa na mtaala mpya uegemeao umilisi. Kitabu hiki kimejumuisha shughuli za aina nyingi za kufanywa na mwanafunzi binafsi, wanafunzi wawili wawili na makundi ya wanafunzi. Kazi na shughuli za wanafunzi wawiliwawili na wanafunzi katika makundi zinadhamiriwa kuimarisha stadi za kusikitiza na kuzungumza na vilevile umilisi wa ushirikiano na mawasiliano. Aidha, kitabu hiki kimesheheni vifungu vya kusoma na vya kuchangamsha vitakavyomsaidia mwanafunzi kuimarisha stadi ya kusoma. Stadi ya kuandika haijaachwa nyuma. Kitabu kinazo shughuli za kutosha za mwanafunzi iii kustawisha stadi ya kuandika.
ISBN: 9789966630421
-
Rated 0 out of 5
Mentor Hygiene and Nutrition GD3 (Approved) by Nungo, Isoe, Odhiambo
KSh533.00Original price was: KSh533.00.KSh480.00Current price is: KSh480.00.Add to cartMentor Hygiene and Nutrition Activities workbook is fully in line with the new Competency Based Curriculum.
The book is easy to use and contains a variety of learning activities. It makes learning fun for the Lower primary learner.
This book has been authored by teachers with wide experience in Early Years Education in leading schools across Kenya.
ISBN: 9789966059772
-
Rated 0 out of 5
Spotlight Mathematics Activities Learner’s Book Grade 3
Read moreSpotlight Mathematical Activities Pupils Book Primary Grade 3Â has been uniquely designed to greatly benefit Primary Grade Three Pupils in handling New Curriculum Mathematical Activities. It comprehensively covers the Primary Grade 3 mathematical Activities Curriculum Design as per the Competence-based Curriculum introduced by the Kenya Institute of Curriculum Development (KICD) in 2017. It is presented in a clear, simple and precise language that makes learning stimulating and interesting.
ISBN: 9789966571502
-
Rated 0 out of 5
Living Health Hygiene And Nutrition Activities Learners’s Book Grade 3
KSh283.00Original price was: KSh283.00.KSh255.00Current price is: KSh255.00.Add to cartLiving Health Hygiene and Nutrition Activities is a primary school course developed in Line with the requirements of a competency based curriculum. The books employ an inquiry based approach to learning which equips learners with skills, knowledge. values and the quest to explore and discover by themselves.
The activity books:
Encourages the use of learning materials from the learner’s immediate environment thus giving the learner an opportunity to appreciate the environment
Has a variety of activities which enable learners to explore and learn
Covers all the outcomes in the syllabus
Has activities which integrate the core competences, values, and pertinent and contemporary issues
Has activities to encourage parental involvement in the learning of the children
Has activities that enable learners to appreciate and improve their community.
ISBN: 9789966630384
-
Rated 0 out of 5
Spotlight CRE Activities Learner’s Book Grade 3
Read moreSpotlight CRE Activities Learner’s Book Grade 3 has been uniquely designed to greatly benefit Grade Three learners in handling New Curriculum CRE Activities. It comprehensively covers Primary 3 CRE Activities Curriculum Designs as per the Competency-based Curriculum introduced by the Kenya Institute of Curriculum Development (KICD) in 2017. It is presented in a clear, simple, and precise language that makes learning interesting.
SKU: 2010130000405
Reviews
There are no reviews yet.