Kamusi ya Misemo na Nahau Kamusi ya Misemo na Nahau
KSh1,155.00 Original price was: KSh1,155.00.KSh1,040.00Current price is: KSh1,040.00.
Related products
-
Rated 0 out of 5
Collins Gem French Dictionary by Collins Dictionaries
KSh1,106.00Original price was: KSh1,106.00.KSh995.00Current price is: KSh995.00.Add to cart-All the words and phrases you need in French and English
-User-friendly Phrasefinder supplement ideal for travel
-Hundreds of tips on French language and culture
ISBN: 9780008141875
-
Rated 0 out of 5
Kamusi Teule ya Kiswahili by Ahmed E Ndalu, Hamisi Babausa, Suleiman A Mirika
KSh1,444.00Original price was: KSh1,444.00.KSh1,300.00Current price is: KSh1,300.00.Add to cartKAMUSI TEULE ya Kiswahili – Kilele cha Lugha
“Ni zao la utafiti wa kina uliofanywa na waandishi na wanaleksikogrofiawenye tajriba kubwa.
Kamusi hii imetungwa kwa utaalamu mkuu na kwa kuzingatia msomajilengwa.”
Kamusi hii ina;
Maneno ya jumla zaidi ya 320, 000Vidahizo na vibadala zaidi ya 35, 000Picha za kuvutia msomajiEtimolojia ya vidahizoNgeli za manenoWingi wa manenovidahizo vya taaluma mbalimbaliIstilahi za ushairiIstilahi za fasihi andishi
ISBN: 2010127000576
-
Rated 0 out of 5
Kamusi kuu ya Kiswahili by Longhorn
KSh1,933.00Original price was: KSh1,933.00.KSh1,740.00Current price is: KSh1,740.00. -
Rated 0 out of 5
Kamusi ya Semi-Toleo Jipya by Ndalu, Kingei
KSh888.00Original price was: KSh888.00.KSh800.00Current price is: KSh800.00.Add to cartToleo Jipya Ia Kamusi ya Semi ndicho kitabu cha pekee kilichokusanya zaidi ya semi elfu nne. Kitabu hiki kinajumuisha semi, maana yake, pamoja na mifano faafu. Ufafanuzi wa msamiati umetiliwa maanani huku maana kadhaa za semi zikitolewa. Aidha, semi zilizomo humu kitabuni zimepangwa kialfabeti ili kurahisisha urejeleaji. Toleo hili Jipya Ia Kamusi ya Semi ni kitabu kinachowafaa wanafunzi na walimu wa kila daraja: shule za msingi, za upili na hata vyuo vikuu. Hii ni dafina kuu kwa wapenzi wote wa lugha na fasihi ya Kiswahili. Kitula King’ei ni mwalimu, mwandishi, mtafiti na msomi wa lugha na fasihi ya Kiswahili aliye na tajriba kubwa sana. Kwa sasa, ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Kenyatta. Ahmed Ndalu amefundisha Kiswahili katika shule za upili na vyuoni, na vile vile kuandika vitabu kadhaa. Hivi sasa, amestaafu kazi ya ufundishaji na anajishughulisha na utafiti na uandishi wa vitabu vinavyoshughulikia nyanja tofauti tofauti za Kiswahili.
ISBN: 9966465405
-
Rated 0 out of 5
Revised Standard Version Holy Bible (Enlarged Edition) by Bible Society of Kenya
KSh1,100.00Original price was: KSh1,100.00.KSh990.00Current price is: KSh990.00.Add to cartA readable and literally accurate modern English translation
Remains a favourite translation for many Christians
Easily understood because it uses simple and enduring words.
Recommended bible text for secondary schools in Kenya
ISBN: 9780564035076
Reviews
There are no reviews yet.