Kamusi ya Methali za Kiswahili (EAEP)
KSh888.00 Original price was: KSh888.00.KSh800.00Current price is: KSh800.00.
Related products
-
Rated 0 out of 5
Kamusi ya Misemo na Nahau Kamusi ya Misemo na Nahau
KSh1,155.00Original price was: KSh1,155.00.KSh1,040.00Current price is: KSh1,040.00. -
Rated 0 out of 5
Kamusi kuu ya Kiswahili by Longhorn
KSh1,933.00Original price was: KSh1,933.00.KSh1,740.00Current price is: KSh1,740.00. -
Rated 0 out of 5
Kamusi ya Semi-Toleo Jipya by Ndalu, Kingei
KSh888.00Original price was: KSh888.00.KSh800.00Current price is: KSh800.00.Add to cartToleo Jipya Ia Kamusi ya Semi ndicho kitabu cha pekee kilichokusanya zaidi ya semi elfu nne. Kitabu hiki kinajumuisha semi, maana yake, pamoja na mifano faafu. Ufafanuzi wa msamiati umetiliwa maanani huku maana kadhaa za semi zikitolewa. Aidha, semi zilizomo humu kitabuni zimepangwa kialfabeti ili kurahisisha urejeleaji. Toleo hili Jipya Ia Kamusi ya Semi ni kitabu kinachowafaa wanafunzi na walimu wa kila daraja: shule za msingi, za upili na hata vyuo vikuu. Hii ni dafina kuu kwa wapenzi wote wa lugha na fasihi ya Kiswahili. Kitula King’ei ni mwalimu, mwandishi, mtafiti na msomi wa lugha na fasihi ya Kiswahili aliye na tajriba kubwa sana. Kwa sasa, ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Kenyatta. Ahmed Ndalu amefundisha Kiswahili katika shule za upili na vyuoni, na vile vile kuandika vitabu kadhaa. Hivi sasa, amestaafu kazi ya ufundishaji na anajishughulisha na utafiti na uandishi wa vitabu vinavyoshughulikia nyanja tofauti tofauti za Kiswahili.
ISBN: 9966465405
-
Rated 0 out of 5
Moran Our World CBC Atlas Grade 4,5,6 (Approved) by Moran
KSh1,355.00Original price was: KSh1,355.00.KSh1,220.00Current price is: KSh1,220.00.Add to cartMoran Our World Atlas:
is designed to address the Competency-Based Curriculum for Grades 4 to 6.
-covers all the relevant Social Studies concepts in the curriculum design.
-contains a wide range of stimulating maps drawn to scale to develop the skills of map reading and interpretation.
-has used the latest population census data and addresses other pertinent issues in the learners environment.
-has used clear photographs that cover various areas under study in Social Studies.
-provides relevant information for each county and area under study to enable the learner to learn using relatable experiences.
-provides detailed maps and information for the 47 counties, Kenya and Eastern Africa.
-provides varied activities to enhance the development of Social Studies and atlas skills.
ISBN: 9789966634283
-
Rated 0 out of 5
Kamusi ya Kiswahili Sanifu (TUKI) 4th Edition by Oxford
KSh1,316.00Original price was: KSh1,316.00.KSh1,185.00Current price is: KSh1,185.00.Add to cartKamusi ya Kiswahili Sanifu ina historia ndefu. Toleo la kwanza lilichapishwa mwaka 1981. Toleo hili la Nne limeboreshwa na kupangwa upya ili kumwezesha mtumiaji kupata taarifa anayoitafuta kwa urahisi. Toleo hili lina:
• zaidi ya vidahizo vipya 1 000
• kurasa 48 za rangi zenye mada mbalimbali
• zaidi ya methali 500 zilizotolewa maana
• nahau na misemo iliyotolewa maana.ISBN: 9780195746167
Reviews
There are no reviews yet.