Kamusi kuu ya Kiswahili by Longhorn
KSh1,933.00 Original price was: KSh1,933.00.KSh1,740.00Current price is: KSh1,740.00.
kamusi kuu ya kiswahili
ISBN: 9789987020980
Related products
-
Rated 0 out of 5
Kamusi ya Semi-Toleo Jipya by Ndalu, Kingei
KSh888.00Original price was: KSh888.00.KSh800.00Current price is: KSh800.00.Add to cartToleo Jipya Ia Kamusi ya Semi ndicho kitabu cha pekee kilichokusanya zaidi ya semi elfu nne. Kitabu hiki kinajumuisha semi, maana yake, pamoja na mifano faafu. Ufafanuzi wa msamiati umetiliwa maanani huku maana kadhaa za semi zikitolewa. Aidha, semi zilizomo humu kitabuni zimepangwa kialfabeti ili kurahisisha urejeleaji. Toleo hili Jipya Ia Kamusi ya Semi ni kitabu kinachowafaa wanafunzi na walimu wa kila daraja: shule za msingi, za upili na hata vyuo vikuu. Hii ni dafina kuu kwa wapenzi wote wa lugha na fasihi ya Kiswahili. Kitula King’ei ni mwalimu, mwandishi, mtafiti na msomi wa lugha na fasihi ya Kiswahili aliye na tajriba kubwa sana. Kwa sasa, ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Kenyatta. Ahmed Ndalu amefundisha Kiswahili katika shule za upili na vyuoni, na vile vile kuandika vitabu kadhaa. Hivi sasa, amestaafu kazi ya ufundishaji na anajishughulisha na utafiti na uandishi wa vitabu vinavyoshughulikia nyanja tofauti tofauti za Kiswahili.
ISBN: 9966465405
-
Rated 0 out of 5
Kamusi ya Tashbihi, Vitendawili, Milio
KSh927.00Original price was: KSh927.00.KSh835.00Current price is: KSh835.00. -
Rated 0 out of 5
Collins Gem French Dictionary by Collins Dictionaries
KSh1,106.00Original price was: KSh1,106.00.KSh995.00Current price is: KSh995.00.Add to cart-All the words and phrases you need in French and English
-User-friendly Phrasefinder supplement ideal for travel
-Hundreds of tips on French language and culture
ISBN: 9780008141875
-
Rated 0 out of 5
Kamusi bora ya Watoto by Kobia
KSh1,038.00Original price was: KSh1,038.00.KSh935.00Current price is: KSh935.00.Add to cartMsingi bora wa maneno kwa watoto wadogo. Kamusi ya kuaminika ya kuanzia kujifunza lugha ya kiswahili.
Maneno muhimu 1700 na zaidi ya Kiswahili
Maelezo wazi ya maneno. Mifano ya namna maneno yanavyotumiwa katika sentensi
Zaidi ya picha 700 za rangi kumsaidia mtoto kuelewa maana za maneno.
Sehemu maalumu ya mchezo wa lugha na mazoezi
ISBN: 996361405
-
Rated 0 out of 5
A to Z Children’s Dictionary by Muitungu
KSh950.00Original price was: KSh950.00.KSh855.00Current price is: KSh855.00.Add to cartA to Z Children’s Dictionary is an English dictionary targeting anyone who is starting to read and learn in English. It provides simple and clear meanings of over 2 000 headwords. Each meaning is accompanied by an example sentence. The example sentences are drawn from the African context. There are over 600 colour pictures to enhance understanding of how to use the words correctly. The fun activities are tailored to enhance the acquisition of dictionary skills.
ISBN: 9780195738094
Reviews
There are no reviews yet.