Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop

Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop
Sale!

Homa ya nyumbani na hadithi nyingine

Original price was: KSh567.00.Current price is: KSh510.00.

Ken WaliboraSaid Ahmed Mohamed
Phoenix Publishers Limited, 2015 – 180 pages

Fasihi ni kioo cha jamii. Hadithi fupi, kama utanzu wa fasihi, huweka wazi masuala na matukio katika jamii kiasi cha jamii kueleweka na kutambulika. Uhusiano miongoni mwa wanajamii husawiriwa kupitia mienendo, mazungumzo, matendo na fikira ya wahusika. Hali ambayo huwafanya wapenzi wa fasihi, haswa hadithi fupi, kujua jinsi jamii yao ilivyo, na kwa hivyo, kuendeleza maadili ama kupogoa jambo lolote linaloenda kombo. Mkusanyiko huu wa Homa ya Nyumbani na Hadithi Nyingine ni wa pekee na hauna mwenza wala mshindani.

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Homa ya nyumbani na hadithi nyingine”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Category:
Sale!

Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop
Call Us