Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop

Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop
Sale!

Heko na haki by Nyambeka

Original price was: KSh211.00.Current price is: KSh190.00.

Hadithi hii inawahusu Heko, Haki na marafiki 200 Sudi na Bidii.
Watoto hawa wote licha ya kushiriki kwenye michezo yao kwa pamoja wanawatii wazazi wao na kila mtu
wanaheshimiana na wanakua kulingana na wakati na umri wOO. Nina imani kuwa kila mmoja atakapoisoma
hadithi hii ataifurahia. Je, wewe waupenda mchezo upi?
Tom Nyambeka (Mtatago) si mgeni katika uga wa uandishi. Miongoni mwa kazi zake nyingine ni pamoja na Ahaa!
Roda, kivuli cha Mauko na Bintu na Bintutu.

ISBN: 9789966115010

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Heko na haki by Nyambeka”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Category:
Sale!

Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop
Call Us