Sale
Ahsante-ya-Punda-6d.jpg

Ahsante ya Punda 6d by Walibora

Ahsante ya Punda 6d ni kitabu ktnacholenga wanafunzi wa Darasa to Sita katika shule za msingi ili kuendeleza na kukuza uwezo wao wa kusoma. Miongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki ni:

  • masimulizi rahisi ya hadithi kwa njia ya tamthlia na mbinu rejeshi.
  • kuingiza ucheshi katika maandishi kupitia dayolojia, misemo, methali, taharuki, kejeli, chuku, utani, wimbo, vichekesho, majina ya majazi na picha za rangi zenye kusisimua.
  •  kuwapitisha na kuwalea wanafunzi katika mazingira ya maisha ya nyumbani na kijijiini na matatizo yoke, ujirani, mahakamani na mambo ya kisheria, stadi za maisha, uwajibikaji, kazi, utu, uaminifu, uadilifu, ushirikiano, haki za binadamu, kuishi kwa utangamano na amani.

Mradi wa Kusoma ni mfulutizo wa vitabu vya ziada ambao unaambatana na kozi a Kiswahiti Sanifu.

ISBN: 9780195734553

0 customer reviews

Original price was: KSh 350.00.Current price is: KSh 315.00.

Compare
Category:
Ahsante ya Punda 6d by Walibora
Original price was: KSh 350.00.Current price is: KSh 315.00.

Reviews

0
0 customer reviews
5
0
4
0
3
0
2
0
1
0

There are no reviews yet.

Be the first to review “Ahsante ya Punda 6d by Walibora”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Select at least 2 products
to compare