Sale
Maskini-Bibi-Yangu-6B.jpg

Maskini Bibi Yangu! 6B by Said A.Mohamed

Maskini Bibi Yangu! 6b ni kitabu kinacholenga wanufunzi wa darasa la Sita katika shule za msingi ili kuendeleza na kukuza uwezo wao kusoma.Miongoni mwa sifu za kipekee za kitabu hiki ni:masimulizi rahisi ya hadithi kwa njia ya utambaji hadithi na usimulizi wa nafsi ya kwanza umoja.kuingiza ucheshi katika maandishi kupitia masimulizi, dayolojia, misemo, methali, taharuki, tanukali za sauti, vichekesho, utani, takriri, taswira nu picha za rangi zenye kusisimua.kuwapitisha na kuwalea wunufunzi katika muzingira ya kuwaheshimu watu wazima wenye uhusiano nao au wasiowahusu, maisha ya nyumbani, mazoezi, michezo na mashindano, kilimo, afya na hudumu ya kwanza, teknolojia ya mawasiliano, uwajibikaji, utu. uvumilivu na mandhari ya mijini na vijijini.

ISBN: 9780195733792

0 customer reviews

Original price was: KSh 350.00.Current price is: KSh 315.00.

Compare
Category:
Maskini Bibi Yangu! 6B by Said A.Mohamed
Original price was: KSh 350.00.Current price is: KSh 315.00.

Reviews

0
0 customer reviews
5
0
4
0
3
0
2
0
1
0

There are no reviews yet.

Be the first to review “Maskini Bibi Yangu! 6B by Said A.Mohamed”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Select at least 2 products
to compare