Shop
Showing 1753–1776 of 1797 results
-
Ufalme wa mende
Original price was: KSh322.00.KSh290.00Current price is: KSh290.00.Add to cartUfalme wa Mende ni hadithi ya kusisimua inayolenga kutoa tahadhari dhidi ya kutozingatia usafi.Mzee tabu na mwanawe anayeitwa Mchafu, wanaathirika sana na mende hali inayoletwa na kutopenda usafi.
Nyumba ya mzee Tabu imekuwa miliki ya mende.Imetawaliwa na mende. Ufalme wa Mende. Mende hawa wanaleta maangamizi makubwa ya kuatua moyo.kUNATOKEA NINI?
ISBN: 9789966140210
-
Ujasiri wa Tito by Pamela Ngugi
Original price was: KSh350.00.KSh315.00Current price is: KSh315.00.Add to cartTito alijua kwamba hii ndio nafasi ya pekee aliyokuwa nayo ya kujinasua Alijua kuwa ujasiri wake tu ndio ungemwokoa Tito alikabiliwa na hatari kubwa. Hatari hii ilitishia kumpoteza kwao milele. Hatari hii ingemtenganisha na wazaziwe na nduguye, Jesi, daima.Tito aliogopa haya. Aliogopa sana. Ndiyo maana aliamua kujijasiri. Alijua kuwa ujasiri huu huenda ungemletea adhabu kali, lakini hakuwa na budi ila kujitwika ujasiri huu. Ilimbidi afanye lolote, ajikakamue, mradi tu ajiokoe! Ujasiri wa Tito ni mojawapo ya hadithi katika mradi wa kusoma. Huu ni mradi wa vitabu vya ziada unaoambatana na kozi ya Kiswahili Sanifu.
ISBN: 9780195739824
-
Urafiki wa Siafu na Ndege
Original price was: KSh444.00.KSh400.00Current price is: KSh400.00.Add to cartSiafu anaenda mtoni kunywa maji. Akiwa kando ya mto anateleza na kuingia majini. Je, Ndege aliyekaribu anamwokoa? Akimwokoa, atamsaidia Ndege vipi?
-
Ushindi wa Kironje na hadithi nyingine
Original price was: KSh322.00.KSh290.00Current price is: KSh290.00.Add to cartHuu ni mkusanyiko wa hadithi kumi na mbili, zenye mafunzo sufufu katika jamii ya leo. Ni hadithi ambazo zitakufanya uache kula pilau kwa samaki ili uzisome kwanza! utakapokuwa ukizisoma, zitakufanya usahau ulikuwa na mlo mezani kutokana na ucheshi uliomo. Hadithi hizi zinanuia kuwafundisha wanafunzi maadili ili wajenge mustakabali.
ISBN: 9789966140029
-
Usicheze na moto! 4b by Pamela M.Y.Ngugi
Original price was: KSh288.00.KSh260.00Current price is: KSh260.00.Add to cartUsicheze na moto! 4b ni kitabu kinachonuiwa kuendeleza msingi wa kusoma na kukuza uwezo jjjp kusoma wa wanafunzi wa Darasa la Nne katika shule za msingi.Miongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki fii:
- Masimulizi rahisi ya hadithi.
- Kuondosha hali ya uchovu wa kusoma kwa kuingiza ucheshi katika maandishi kupitia mjadala, nyimbo, taharuki na sentensi fupifupi.
- Kuwapitisha na kuwalea wanafunzi katika mazingira ya michezo ya kitoto, ushirikiano na ujirani mwema, kichekesho, sifa na hulka za watu tofauti na maarifa juu ya kukabiliana na hatari ya moto.
ISBN:9780195730715
-
Veda Modelling Clay 500gms
Original price was: KSh288.00.KSh250.00Current price is: KSh250.00. -
Veda Water Colour Paint 12 colours
Original price was: KSh300.00.KSh250.00Current price is: KSh250.00. -
Vidudumtu na Fundi wa Viatu Hadithi zA LADYBIRD
Original price was: KSh333.00.KSh300.00Current price is: KSh300.00.Add to cartHadithi za ‘Ladybird’ zimesimuliwa kwa kuzingatia mikusanyiko ya hadithi za ‘Well-Loved Tales’ ambazo zinapendwa na wasomaji wengi sana.
Hadithi hizi za kipekee zimepambwa michoro maridadi ambapo inaleta ubora na uhondo wa masimulizi pa Ladybird kwa wasomaji wa kizazi kipya. Watoto kutoka kizazi hadi kizazi wamependa sana hadithi hizi. na watapata burudani zaidi kwa kuzisoma pamoja.
ISBN: 9780241331927
-
Vikas ABC Practice Workbook
Original price was: KSh277.00.KSh250.00Current price is: KSh250.00. -
Vikas Drawing & Colouring A
Original price was: KSh333.00.KSh300.00Current price is: KSh300.00.Add to cartikas Drawing and Colouring is a series of 10 books in Art Education with a very fresh look. Prepared for students from KG to Secondary levels, these books are designed with a vision of the interests as well as needs of children at various stages. Book A, the introductory book in the series, provides graded colouring exercises for Nursery/ KG kids. What’s more, this book teaches the children to make certain basic decorative patterns using coloured dots and rings of varying sizes. These patterns add variety to pictures and make them more beautiful. Making dots and rings would help improve the motor functions of the hands of children and give more control to their fingers. These exercises may also improve their handwriting. Art teachers may encourage the children to practise more of such exercises in rough drawing books.
ISBN: 9788124307731
-
Vikas Drawing & Colouring B
Original price was: KSh188.00.KSh170.00Current price is: KSh170.00.Add to cartVikas Drawing and Colouring is a series of 10 books in Art Education with a very fresh look. Prepared for students from KG to Secondary levels, these books are designed with a vision of the interests as well as needs of children at various stages. Book B, the second book in the series, provides graded colouring exercises for KG kids. What’s more, this book teaches the children the basics of drawing. Children are also taught to make dots and strokes, and to draw vertical and horizontal lines. These drawing exercises would help improve the motor functions of the hands of children and give more control to their fingers. These activities may also help the children in improving their handwriting. Art teachers may encourage the children to practise more of such exercises in rough drawing books.
ISBN: 9788124307748
-
Vikas Drawing & Colouring C
Original price was: KSh188.00.KSh170.00Current price is: KSh170.00.Add to cartVikas Drawing and Colouring is a series of 10 books in Art Education with a very fresh look. Prepared for students from KG to Secondary levels, these books are designed with a vision of the interests as well as needs of children at various stages.Book C, the third book in the series, provides graded colouring exercises for prep kids. What’s more, this book teaches the children the basics of drawing. Children are taught to draw slant lines, criss-cross lines, curves, wavy lines, etc., and are encouraged to make independent drawings.Certain basic painting techniques like scribbling and patch-making are also introduced along with other modes of art like collage work. These activities are hoped to arouse the innate creativity of children.
ISBN: 9788124307755
-
Vikas Numbers 1 to 10
Original price was: KSh166.00.KSh150.00Current price is: KSh150.00.Add to cartVikas numbers writing practise 1- 10  is the Latest Edition of  Pre-Primary School Book that have pictorial illustrations for quick and easy learning.
ISBN: 9788124300367
-
Vikas Numbers 1 to 100
Original price was: KSh277.00.KSh250.00Current price is: KSh250.00.Add to cartVikas numbers writing practise 1- 100 is the Latest Edition of Pre-Primary School Book that have pictorial illustrations for quick and easy learning.
ISBN: 8124300399
-
Vikas Numbers 1 to 20
Original price was: KSh244.00.KSh220.00Current price is: KSh220.00.Add to cartVikas ‘Play and Learn’ is a multicoloured picture book which contains a variety of subjects, a child likes to know about. This book provides immensely useful information. The playway method used in this book will help the teachers and the parents to teach the students in a very interesting and meaningful way.  56 multi-coloured pages.  A novel project to enrich children’s vocabulary. A number of topics to promote intellectual development of the children.  Objective-type, thought-provoking questions. An ideal teaching aid for teachers as well as parents.ISBN: 8124300372
-
Vikas Numbers 1 to 50
Original price was: KSh288.00.KSh260.00Current price is: KSh260.00. -
Vioja vya Musa 8b by Hezron Mogambi
Original price was: KSh422.00.KSh380.00Current price is: KSh380.00.Add to cartFumbo Musa ni kijana anayetoka katika familia maskini. Hata hivyo. mwajiri wa baba yake anaamua kumlipia karo ili asomee shule ya bweni ya Kaachonjo. Shuleni anakumbwa na hali ngumu kwa kuwa wanafunzi wengi wanotoka katika familia za walalaheri. Kutokana na bidii masomoni na uadilifu, Musa anateuliwa kuwa kiranja mkuu. Hata hivyo, cheo hiki hakimpi furaha kwani anateuliwa na kuchekwa kwa sababu ya umaskini wa familia yao. Musa anashawishika kushiriki maovu ili kujipatia hela za kujistarehesha shuleni. Jambo hili linamzushia balaa, vioja na mikasa …
ISBN: 9789966342492
-
Visa na Vituko Hazina na Abdul 4h by Mathias Momanyi
Original price was: KSh233.00.KSh210.00Current price is: KSh210.00. -
Visa na Vituko Pilipili ya Miri 4c by Arnold Msuya
Original price was: KSh200.00.KSh180.00Current price is: KSh180.00. -
visionary agriculture grade 4
Original price was: KSh477.00.KSh430.00Current price is: KSh430.00.Add to cartKLB Visionary Home Science Grade Six Learner’s Book has been designed with the aim of equipping the learner with knowledge, skills, attitudes and values needed in day-to-day life. The concepts presented build on the competencies introduced in Grade Five and the early years of learning.
ISBN: 9789966657336
-
Visionary CRE Activities Grade 1
Original price was: KSh389.00.KSh350.00Current price is: KSh350.00.Add to cartChristian Religious Activities is a learning area aimed at instilling in the learner moral and spiritual values to enable him or her live a morally upright life and fit well in society.
KLB Visionary Grade 1 Christian Religious Activities Learner’s Workbook has been developed in line with the requirements of the new Competence Based Curriculum Design.The experiences have been developed in tandem with the thematic integrated approach that is recommended for children at this level. The book is generously illustrated to enliven the content and the text follows the design closely.
This Workbook has employed a child-centred approach where all experiences are centred on the child’s interests, knowledge and application to real life situations in line with the Life Approach Method of teaching Christian Religious Education. Learners encounter different situations and gain experience from what happens around them. Every lesson has something to draw from day-to-day occurrences. This Learner’s Workbook has, therefore, used short texts in simple language with familiar situations that are created to help learners understand more difficult concepts.
Gender-equitable roles have been reflected so as to erase the association of certain tasks with specific gender. For example, both boys and girls are involved in household chores, playing musical instruments and actively participating in church activities. The principle of inclusivity has been taken care of by having illustrations of children with special needs involved in common activities with other children to make learners appreciate them as part of the society.
This Learner’s book is basically a Workbook with numerous practical activities within and at the end of every lesson to enable the learner to practise doing on their own. The simple exercises like drawing, colouring, singing and reciting memory verses are integrated within the lessons so as to make learning interesting and participatory.ISBN: 9789966652409
-
Visionary Home Science Learner’s Grade 4 by KLB
Original price was: KSh477.78.KSh430.00Current price is: KSh430.00.Add to cartKLB Visionary Home Science Grade Four Learner’s Book has been designed with the aim of equiping the learner with knowledge, skills, attitudes and values needed in day-to-day life. The concepts presented build on the competencies introduced in Grade Five and the early years of learning.
ISBN: 9789966655806
-
Visionary Home Science Learner’s Grade 4 by KLB
Original price was: KSh388.00.KSh350.00Current price is: KSh350.00.Add to cartKLB Visionary Home Science Grade Four Learner’s Book has been designed with the aim of equiping the learner with knowledge, skills, attitudes and values needed in day-to-day life. The concepts presented build on the competencies introduced in Grade Five and the early years of learning.
ISBN: 9789966655806
-
Vituko Vya Meja na Hadithi Nyingine
Original price was: KSh500.00.KSh450.00Current price is: KSh450.00.Add to cartLeshan na Aida wanajipata mashakani baada ya kusingiziwa kulichafua darasa lao. Je, nani anayelichafua darasa la wanafunzi wa gredi ya tatu na kuvuruga amani? Nani ndiye mshindi katika mchezo wa taka unaoongozwa na Aida ?
Soma ufahamu jinsi Aida na Leshan wanavyokumbana na changamoto wanapoachiwa Joni wamtunze.
ISBN:9789966623775