Shop

Showing 1417–1440 of 2327 results

  • Rated 0 out of 5

    Ngano za Mashairi

    Original price was: KSh289.00.Current price is: KSh260.00.

    Ngano za mashairi ni mkusanyo wa hadithi fupifupi za kuchangamsha. Kila hadithi inafuatwa na shairi rahisi la kusisitiza yaliyosimuliwa. Pamoja na kuburudisha hadithi zilizomo zinato Mfunzo muhimu kwa wasomaji.

    ISBN : 9789966342386

    Add to cart
  • Rated 0 out of 5

    Nguu za jadi by CLARA MOMANYI

    Original price was: KSh766.00.Current price is: KSh690.00.
  • Rated 0 out of 5

    Nikicheka, Anacheka 1B

    Original price was: KSh278.00.Current price is: KSh250.00.
  • Rated 0 out of 5

    Nimefufuka! 7B

    Original price was: KSh308.00.Current price is: KSh280.00.

    Sikitu anasongwa na matatizo mengi katika maisha yake. Hana mtu wa kumfariji ila shangaziye anayeishi mbali naye. Hisia za Sikitu ni kama za mfu, amepoteza njia , amevishuhudia visa na mikasa kwa awapendao. Madawa ya kulevya na ufasiki vimewateka wanaopaswa kuwa karibu naye. Lakini anajua kuwa baina ya mauti na uhai, kuna kitendo.

    Kitendo cha kupalilia uhai au kukaribisha mauti. Sikitu anapochukua kalamu na karatasi kuandikia shangaziye barua, hajui kwamba ameanza safari. Kabla ya kutia nanga, anajipata ana jipya jipya………Chaurembo na tayari amefufuka!

    ISBN: 9789966369708

    Add to cart
  • Rated 0 out of 5

    Nimlaumu Nani? by Roy G Ndambuki

    Original price was: KSh366.00.Current price is: KSh330.00.

    Nimlaumu nani? 7a ni kitabu kinachonuiwa kuendeleza msingi wa kusoma na kukuza uwezo katika kusoma kwa wanafunzi wa Darasa la Saba katika shule za msingi.Miongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki ni:

    • Masimulizi rahisi ya hadithi kwa njia ya tamthilia.
    • Kuondosha hali ya uchofu wa kusoma na kuingiza ucheshi katika maandishi kupitia dayolojia, misemo, methali, taharuki, majadiliano, uhalisia, maswali anuwai, mbinu rejeshi na sentensi fupifupi.
    • Kuwapitisha na kuwalea wanafunzi katika mazingira ya watoto wa mitaani au barabarani. kituo cha kuwalea na kuwarekebisha chokora. haki za watoto, umuhimu wa mtoto msichana katika jamii, kujitambua. kusaidiana, kushirikiana, kushauriana na maadili mema.

    ISBN: 9780195733143

    Add to cart
  • Rated 0 out of 5

    Nipe Sababu 1e by Oxford

    Original price was: KSh278.00.Current price is: KSh250.00.
  • Rated 0 out of 5

    No more lies by Moran

    Original price was: KSh261.00.Current price is: KSh235.00.

    Sam helps his friend Kip to lie about his age so that they can both play in the county football competitions. Will they continue with the lie?

    ISBN: 9789966346476

    Add to cart
  • Rated 0 out of 5

    No More Tricks 2M

    Original price was: KSh278.00.Current price is: KSh250.00.
  • Rated 0 out of 5

    No Nuts Here! 1n by Muitungu

    Original price was: KSh278.00.Current price is: KSh250.00.
  • Rated 0 out of 5

    No Party for Hyena 3b by Too

    Original price was: KSh227.00.Current price is: KSh205.00.
  • Rated 0 out of 5

    No place to Hide 5e by Wacira

    Original price was: KSh327.00.Current price is: KSh295.00.

    The NPPE Reading Scheme forms an important part of the New Progressive Primary English (NPPE) course. The readers for each class are specially written to emphasize specific language skills learnt in the main course. Here is a reading scheme that offers the modern pupil an excellent mix of graded stories all packed with many exciting things. Now the pupil has fun that’s built to last.

    Other titles for Class Five

    5a Signs of Ageing 5b Not so Soon 5c What a Big Bang 5d Healer of Soles 5f Take That 5g The Knife 5h The turning point 5j The Boy next Door 5k Piggy goes missing 51 Stranger in the camp

    UNIVERSITY PRESS

    9

    ISBN 978 0 9 5730463 1111 I I 7 8 0 1 9 5 7 3 0 4 6 3

     

    ISBN: 9780195730463

    Add to cart
  • Rated 0 out of 5

    Not now, Jimmy boy by Okoth

    Original price was: KSh355.00.Current price is: KSh320.00.

    Nekesa’s life is in a whirl when she receives a letter from Jimmy,
    the boy in Form 3 from a rich background. Every girl appears to be keen on Jimmy.
    Unknown to her, Jimmy’s move is a scheme by forces intent on seeing her and her family go into ruins.
    What will she do, and what does Jimmy’s letter portend for her future?
    Charles O. Okoth is a teacher at Butula Boys High School. He was one of the three winners of the
    Burt Award for African Literature in 2015 and was shortlisted for the same award in 2018.
    He has authored several acclaimed works of poetry and fiction including Fools’ Express,
    The Adventures of Thunder and Thunder in Love.

    ISBN: 9789970398171

    Add to cart
  • Rated 0 out of 5

    NPPE RS 2s – Flat on the Floor

    Original price was: KSh278.00.Current price is: KSh250.00.

    Kato is lazy. She only likes eating. One day it gets her into trouble

    Add to cart
  • Rated 0 out of 5

    NPPE: RS.7f – The Ghost of Garba Tula by oxford

    Original price was: KSh366.00.Current price is: KSh330.00.

    The NPPE Reading Scheme forms an important part of the New Progressive Primary English (NPPE) course. The storybooks for each grade are specially written to emphasize specific language skills learnt in the main course. Here is a reading scheme that offers the modern child an excellent mix of graded stories all packed with many exciting …

    NPPE: RS.7f – The Ghost of Garba Tula by oxfordRead More

    Add to cart
  • Rated 0 out of 5

    NPPE: RS.7M – The Flying Hippo OXFORD

    Original price was: KSh405.00.Current price is: KSh365.00.

    The NPPE Reading Scheme forms an important part of the New Progressive Primary English (NPPE) course. The storybooks for each grade are specially written to emphasize specific language skills learnt in the main course. Here is a reading scheme that offers the modern child an excellent mix of graded stories all packed with many exciting …

    NPPE: RS.7M – The Flying Hippo OXFORDRead More

    Add to cart
  • Rated 0 out of 5

    NPPE: RS.8c – Kidnapped

    Original price was: KSh405.00.Current price is: KSh365.00.

    The NPPE Reading Scheme forms an important part of the New Progressive Primary English (NPPE) course. The storybooks for each grade are specially written to emphasize specific language skills learnt in the main course. Here is a reading scheme that offers the modern child an excellent mix of graded stories all packed with many exciting things. Now the child has fun that’s built to las …

    Add to cart
  • Rated 0 out of 5

    NYANI MDOGO

    Original price was: KSh200.00.Current price is: KSh140.00.

    Hii ni hadithi ya nyani mmoja mdogo ambaye aliuliza maswali mengi na kutaka kujua mambo yote ya porini. Wanyama pori ni viumbe wa kiasili, wasiofugwa wanaoishi kwa uhuru porini na wana asili ya nchi unayoishi.

    Add to cart
  • Rated 0 out of 5

    Nyimbo Zetu 1C

    Original price was: KSh278.00.Current price is: KSh250.00.

    Nyimbo zetu 1c ni kitabu kinachonuiwa kuimarisha msingi wa kusoma na kuwapa nafasi wanafunzi wa  darasa la kwanza katika shule za msingi kufurahia kusoma na kuimba.

    ISBN: 9780195730548

    Add to cart
  • Rated 0 out of 5

    Nyota Mdogo

    Original price was: KSh444.00.Current price is: KSh400.00.

    Hii ni hadithi kwa watoto wenye umri wa miaka 6-7 (Gredi 1&2). Nyota Mdogo ni hadithi ya kuvutia inayohusu nyota zenye sifa za kibinadamu, kwarara na bintimfalme. Nyota Mdogo anamwokoa bintimfalme kutoka msituni hadi akapewa jina Nyota Jasiri na mfalme.

    Author:
    Shaleen Keshavjee-Gulam
    ISBN:9789966622044
    Add to cart
  • Rated 0 out of 5

    Nyota ya Kiswahili Grade 2

    Original price was: KSh505.55.Current price is: KSh455.00.

    Kitabu hiki kimedhamiriwa kutumika kama mfululizo wo vitabu vya kiada kwa Gredi yo Pili. Kimeandikwo kuombotana no mtoloo mpyo. Kitobu hiki kimelenga kumwongoza mwonafunzi katika masomo yoke yo lugha ya Kiswahili kwa kutimiza moarubu yo mtolao wa kiwango husika. Ndani yoke mno mbinu bora za ujifunzaji ambazo zitawaelekeza wanafunzi kuhusu njia bora za kutimiza malengo yoo. Kimezingatia stadi zote zo kujifunza lugha, rani:
    (i) Kusikiliza
    (ii) Kuzungumza
    (iii) Kusoma
    (iv) Kuondika
    (v) Msamiati

    (vi) Sarufi

    Mwanafunzi amepewa nafasi ya kujifunza mwenyewe kutokana na picha maridhawa, hadithi, mashairi na michezo murua. Ili kuzidisha hamasisho la ujifunzaji, mwongozo maalumu umeandaliwa iii kuwapa walimu mbinu thabiti za kuuchochea ujifunzaji miongoni mwa wanafunzi. Ili kutathmini kiwango cha ujifunzaji miongoni mwa wanafunzi kitabu hiki kimetoamazoezi ya kutosha yatakoyowowezesho kupato:
    • Umilisi wa kimsingi
    • Maadili ya kimsingi
    • Uwezo wa kuyashughulikia masuala mtambuka

    Zaidi ya hayo uchochezi huo huwafahamisha namna ya kulinganisha uhusiano wa modo watiyojifunza;

    • na masomo mengine
    • na shughuli za huduma za kijamii zinazochangia ujifunzaji
    • na shughuli nyingine zilizoratibiwa za ujifunzaji

    Kitabu hiki kimeandikwa na waandishi wenye tojiriba pevu. Womekomaa kwenye stadi ya uondishi wa vitabu vya kiado.

    ISBN: 9789966511089

    Add to cart
  • Rated 0 out of 5

    Nyota ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi Grade 1

    Original price was: KSh505.00.Current price is: KSh455.00.

    Kitabu hiki kimedhamiriwa kutumika kama mfululizo wa vitabu vya ziada kwa Gredi ya Kwanza. Kimeandikwa kuambatana na mtalaa mpya. Kitabu hiki kimelenga kumwongoza mwanafunzi katika masomo yake ya lugha ya Kiswahili kwa kutimiza rnaarubu ya mtalaa wa kiwango husika. Ndani yake mna mbinu bora za ujifunzaji ambazo zitawaelekeza wanafunzi kuhusu njia bora za kutimiza malengo yao.

    Kimezingatia stadi zote za kujifunza lugha, yaani:

    (i) Kusikiliza

    (ii) Kuzungurnza

    (iii) Kusoma

    (iv) Kuandika

    (v) Msamiati

    (vi) Sarufi

    ISBN: 9789966511065

    Add to cart
  • Rated 0 out of 5

    Nyumba ya Sungura Kitabu 2 by Dorothy Bracey, Peter Lieta

    Original price was: KSh238.00.Current price is: KSh215.00.

    Hadithi Sisimka ni msururu wa hadithi za watoto zilizoandikwa kwa lugha nyepesi na msamiati uliodhibitiwa ili kuwafaa watoto.Hadithi hizi zinawavutia wasomaji wachanga na ni msingi thabiti kwao katika kujenga uraibu wa kusoma.

    ISBN: 9789966363725

    Add to cart
  • Rated 0 out of 5

    Nyumbani Kwetu 1a

    Original price was: KSh211.00.Current price is: KSh190.00.
  • Rated 0 out of 5

    O Level Creative Crayons Colouring Book 4

    Original price was: KSh211.00.Current price is: KSh190.00.
13
KSh7,105.00
Call Us