Sale
Ujasiri-wa-Tito.jpg

Ujasiri wa Tito by Pamela Ngugi

Tito alijua kwamba hii ndio nafasi ya pekee aliyokuwa nayo ya kujinasua Alijua kuwa ujasiri wake tu ndio ungemwokoa Tito alikabiliwa na hatari kubwa. Hatari hii ilitishia kumpoteza kwao milele. Hatari hii ingemtenganisha na wazaziwe na nduguye, Jesi, daima.Tito aliogopa haya. Aliogopa sana. Ndiyo maana aliamua kujijasiri. Alijua kuwa ujasiri huu huenda ungemletea adhabu kali, lakini hakuwa na budi ila kujitwika ujasiri huu. Ilimbidi afanye lolote, ajikakamue, mradi tu ajiokoe! Ujasiri wa Tito ni mojawapo ya hadithi katika mradi wa kusoma. Huu ni mradi wa vitabu vya ziada unaoambatana na kozi ya Kiswahili Sanifu.

ISBN: 9780195739824

0 customer reviews

Original price was: KSh 350.00.Current price is: KSh 315.00.

Compare
Category:
Ujasiri wa Tito by Pamela Ngugi
Original price was: KSh 350.00.Current price is: KSh 315.00.

Reviews

0
0 customer reviews
5
0
4
0
3
0
2
0
1
0

There are no reviews yet.

Be the first to review “Ujasiri wa Tito by Pamela Ngugi”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Let's chat

Your Cart

1
KSh 790.00

Select at least 2 products
to compare

Your Cart

1