Sale
Twala-Wapi-Leo-COVER

Twala Wapi Leo

0 customer reviews

Original price was: KSh 450.00.Current price is: KSh 385.00.

Compare
Category:
Twala Wapi Leo
Original price was: KSh 450.00.Current price is: KSh 385.00.

Tumalize anashangazwa na hatua ya baba yake kuwapa kitu fulani, watu fulani, kila siku asubuhi anapoenda shuleni. Kitendo cha baba yake kinamtia mshawasha wa kutaka kujua ni kitu gani hicho wanachopewa watu wale. Juhudi zake za kutafuta maelezo kutoka kwa baba yake kuhusu kitu hicho na sababu ya yeye kukitoa kwa watu wale zinagonga mwamba. Kwa sababu hiyo, anaapa kufanya juu chini ill apate kujua kitu hicho, na sababu inayofanya watu wale wapewe kitu hicho.

Je, Tumalize atapata kujua kitu hicho wanachopewa watu hao? Je, atafanya nini ili kubaini kitu hicho? Je, ni nini kitatokea atakapopata kugundua kitu chenyewe?

Twala Wapi Leo? ni kisa cha kusisimua cha kiupelelezi. Kisa hiki kinaangazia masuala ya malezi, elimu, ufisadi, ujasiriamali miongoni mwa masuala mengine katika jamii. Kisa hiki kimesheheni mbinu na mitindo mbalimbali ambayo itamfaidi mwanafunzi katika kujenga ubunifu wake na vilevile lugha yake.

Kuhusu mwandishi

Shullam Nzioka ni mwandishi, mfasiri, msawidi na ashiki wa lugha ya Kiswahili. Ameandika kazi mbalimbali za fasihi, zikiwamo novela, hadithi fupi na hadithi za watoto. Kitabu chake, Mbona Hivi? kilishinda tuzo ya Jomo Kenyatta Prize for Literature kitengo cha kijana mnamo mwaka wa 2021. Baadhi ya kazi zake zilizowahi kuchapishwa ni pamoja na Si Kitu na Shani ya Saa (hadithi fupi) iliyo katika kitabu Utashi wa Dola. Mbali na hayo, amewahi kufanya kazi katika shirika la International Bible Students Association.

Reviews

0
0 customer reviews
5
0
4
0
3
0
2
0
1
0

There are no reviews yet.

Be the first to review “Twala Wapi Leo”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Let's chat

Your Cart

3
KSh 52,094.00

Select at least 2 products
to compare

Your Cart

3
Kiswahili Fasaha Kiatabu Cha Mwanafunzi Gredi Ya 9

Kiswahili Fasaha Kiatabu Cha Mwanafunzi Gredi Ya 9

You Saved 2%
Quantity
KSh 1,005.00 KSh 980.00
CBC BREAKTHROUGH WORKBOOK VOLUME 2 GRADE 3 MORAN

CBC BREAKTHROUGH WORKBOOK VOLUME 2 GRADE 3 MORAN

You Saved 11%
Quantity
KSh 1,250.00 KSh 1,115.00
HP EliteBook x360 1040 G7 i5 10th Gen 16GB 256GB SSD 14'' 2-in-1 Touch-screen

HP EliteBook x360 1040 G7 i5 10th Gen 16GB 256GB SSD 14'' 2-in-1 Touch-screen

You Saved 9%
Quantity
KSh 55,000.00 KSh 49,999.00
Payment Details
Sub Total KSh 52,094.00
Free shipping Free!
Shipping to Nairobi County.
Total KSh 52,094.00