Sale
Tumaini-la-Nimara-Story-Moja.jpg

Tumaini la Nimara (Story Moja) by Story Moja

0 customer reviews

Original price was: KSh 500.00.Current price is: KSh 450.00.

Compare
Category:
Tumaini la Nimara (Story Moja) by Story Moja
Original price was: KSh 500.00.Current price is: KSh 450.00.

MSURURU WA STADI ZA MAISHA WA STORYMOJA Yusufu Miremba ni mwanafunzi mwenye umri wa miaka kumi na miwili nchini Uganda. Mpango wa wanafunzi kuandikiana barua unaanzishwa baina ya shule yao na nyingine nchini Sri Lanka. Kupitia kwa mpango huo, Yusufu anapiga urafiki na Nimara de Silva kwa njia ya kuandikiana barua Genge la wanamgambo linamteka nyara Yusufu na kutokomea naye mwituni. Nimara anaanzisha kampeni ya kumwandikia barua kiongozi wa genge hilo pamoja na wengine wenye ushawishi mkubwa ulimwenguni akiomba Yusufu aachiliwe huru. Haya yote yakiendelea, Yusufu anakula mwata mwituni. Je, kampeni za Nimara zitafua dafu? Je, Yusufu ataachiliwa huru? Watawahi kuonana ana kwa ana?

Reviews

0
0 customer reviews
5
0
4
0
3
0
2
0
1
0

There are no reviews yet.

Be the first to review “Tumaini la Nimara (Story Moja) by Story Moja”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Let's chat

Select at least 2 products
to compare