Targeter Combined 1 Encyclopedia
KSh1,244.00 Original price was: KSh1,244.00.KSh1,120.00Current price is: KSh1,120.00.
-All learning areas are comprehensively covered.
-Ideal for use at home and at school.
-English and Kiswahili themes are as per the revised curriculum designs.
-Adequate interactive activity based questions.
-Clear full colour illustrations.
-Appealing design and layout.
-Digital literacy activities covered
ISBN: 9789966016102
Related products
-
Rated 0 out of 5
KLB Visionary Mazoezi ya Kiswahili Grade 1 (Approved)
KSh311.00Original price was: KSh311.00.KSh280.00Current price is: KSh280.00.Add to cart
KLB Mazoezi ya Kiswahill Gredi ya 1 (Kitabu cha Mwanalunzi) ni kitabu mojawapo kati ya vitabu vinavyochapishwa na Kenya Literature Bureau vya msururu wa KLB Visionary. Msururu huu wa vitabu umezingatia Mtalaa wa kiumilisi wa mwaka wa 2017 wa masomo ya shule za Msingi.
Kitabu hiki kimekusudiwa kumwezesha mwanafunzi kukuza uwezo wa kutumia stadi zote nne za lugha ya Kiswahili: Kusikiliza, Kuzungumza, Kusoma na Kuandika. Kupitia stadi hizi, mwanafunzi anakuza uwezo wake wa lugha.
Toleo hili limejumuisha mambo muhimu ambayo yanachangia ujifunzaji wa sasa ambayo ni masuala mtambuko, maswali dadisi, masuala ya linsia. utendaji wa mwanafunzi, picha murua za kuchangamsha na kuibua hamu ya kudadisi kwa mwanafunzi na mbinu tofauti za kumwezesha mwanafunzi kukuza uwezo wake wa kujifunza. Mazingira halisi ya mwanafunzi yamezingatiwa katika kukuza kazi hii. Hili linamwezesha mwanafunzi kujifunza katika hali halisi. Lugha sahili imetumika ili kurahisisha kuelewa kwa mada zote katika kitabu.
ISBN: 9789966652324
-
Rated 0 out of 5
Kiswahili Dadisi Grade 1 by Oxford University Press (OUP)
KSh577.77Original price was: KSh577.77.KSh520.00Current price is: KSh520.00.Add to cartKiswahili Dodisi. Mazoezi ya Lugha ni msururu wa vitabu vipyo vilivyoandikwa kwo upekee iti kutosheleza mahitaji ya mtaloo mpyo wa Umilisi. Vitabu Finn vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahomu we Lugha kupitio stadi za kuzungumza, kusoma na kuandika. Aidha, vino mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunza. Pia vinakuzo umitisi uliopendekezwa. maadili no kufahamisha kuhusu masualaibuka.
Katika Kiswahili Dadisi. Mazoezi ya Lugha. Kitabu cha Mwanafunzi. Gredi utapata:
- made zilizopangwo kwa kuzingatio muainisho wa mtalaa mpya
- mifano halisi ya miktodho ambapo Lugha hutumika
- mazoezi nje ya darasa iii kuendeteza ujifunzaji na kuwashirikisha wanafunzi katika shughuli zo kijamii zinazokuza ujifunzaji
- mazoezi yanayomhusisha mwanafunzi moja kwa moja
- jinsi ya kuwashirikisha wazazi no walezi iii kuimarisha uwajibikaji.
ISBN: 9780195746822
-
Rated 0 out of 5
Nyota ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi Grade 1
KSh505.00Original price was: KSh505.00.KSh455.00Current price is: KSh455.00.Add to cartKitabu hiki kimedhamiriwa kutumika kama mfululizo wa vitabu vya ziada kwa Gredi ya Kwanza. Kimeandikwa kuambatana na mtalaa mpya. Kitabu hiki kimelenga kumwongoza mwanafunzi katika masomo yake ya lugha ya Kiswahili kwa kutimiza rnaarubu ya mtalaa wa kiwango husika. Ndani yake mna mbinu bora za ujifunzaji ambazo zitawaelekeza wanafunzi kuhusu njia bora za kutimiza malengo yao.
Kimezingatia stadi zote za kujifunza lugha, yaani:
(i) Kusikiliza
(ii) Kuzungurnza
(iii) Kusoma
(iv) Kuandika
(v) Msamiati
(vi) Sarufi
ISBN: 9789966511065
-
Rated 0 out of 5
JKF New Primary English Grade 1 (Approved)
KSh422.00Original price was: KSh422.00.KSh380.00Current price is: KSh380.00.Add to cartThe New Primary English Learner’s Activities Book for Grade 1 is part of a series designed in line with the competency-based curriculum. The book has a strong activity orientation that emphasizes the acquisition of the appropriate language skills, namely, listening and speaking; reading and writing.
The key features of the book are:
• content that is moderated and aligned with the subject-specific learning outcomes, age and level of the learners;
• relevant and accurate content that is organized in such a manner as to enhance progressional acquisition of the language skills; • accurate, correct and easy-to-understand language;
• varied, adequate and attractive illustrations to enhance understanding;
• clear, relevant and adequate learner-centred activities.
These features are crafted to provide the learners with an opportunity to develop the core competencies.ISBN: 9789966511232
-
Rated 0 out of 5
OUP Soma Nasi Kusoma na Kuandika Gredi 1 (Approved)
KSh522.22Original price was: KSh522.22.KSh470.00Current price is: KSh470.00.Add to cartSoma Nasi, Kusoma na kuandika Kiswahili ni msururu wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa upekee ili kutosheleza mahitaji ya mtalaa mpya wa Umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia stadi za kusikiliza,
kuzungumza, kusoma na kuandika. Aidha, vina mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunza pamoja na kuwa vinakuza umilisi uliopendekezwa, maadili na pia kufahamisha kuhusu masualaibuka.
ISBN: 9780195746945
Reviews
There are no reviews yet.