Study Guide a Silent Song and other stories (Climax)
KSh555.00 Original price was: KSh555.00.KSh500.00Current price is: KSh500.00.
An Episodic Approach guide book to A silent Song and Other Stories by Spotlight Publishers Ltd and edited by Godwin Siundu.
ISBN: 9784443456853
Related products
-
Rated 0 out of 5
Shani katika njia panda by Story Moja
KSh500.00Original price was: KSh500.00.KSh450.00Current price is: KSh450.00.Add to cartShani anakumbwa na furaha ya kupindukia rafiki yake, Jaki, anapomchagua kuandamana naye hadi Afrika Kusini.
Mjomba wa Jaki anajitolea kugharamia ziara hiyo. Hata hivyo, mamake Shani anashuku nia ya Mjomba kumpeleka mwanawe
Afrika Kusini. Mama anajaribu kumshawishi Shani kupuuza pendekezo hilo kwa kumwekea vikwazo. Shani aliye na hamu kuu
kwenda ughaibuni anakwea vikwazo vyote hadi mzazi wake anamkubalia kwenda Afrika Kusini. Mbona Mama Shani anashuku
ukarimu wa Mjomba? Soma hadithi ufumbue fumbo.ISBN: 9789966066800
-
Rated 0 out of 5
Study Guide to Fathers of Nations (Climax) by Climax
KSh583.00Original price was: KSh583.00.KSh525.00Current price is: KSh525.00.Add to cartWritten by teachers of Long Standing Experience in both teaching and marking KCSE. This guide provides 3 booklets under one cover:
-A comprehensive episodic approach guide to Fathers of Nations.
-K.C.S.E English Exams Tips Booklet; through the eye of an Examiner.
-Answered K.C.S.E Model Questions Booklet.
ISBN: 9780098256800
-
Rated 0 out of 5
Storymoja Giza la Muda by Storymoja
KSh533.00Original price was: KSh533.00.KSh480.00Current price is: KSh480.00.Add to cartNana anahudhuria sherehe ya kuadhimisha siku ya kuzaliwa kwa rafiki yake wa chanda na pete, Judi. Huko, anakutana na mwigizaji maarufu ambaye ameigiza kama mhusika mkuu katika kipindi cha runinga kinachowalenga vijana. Papo hapo, Nana anapiga urafiki na mvulana huyo maarufu; urafiki ambao unaishia kuwa majuto.
Giza la Muda ni hadithi inayoangazia changamoto mbalimbali zinazowakabili vijana katika jamii na jinsi ya kukabiliana nazo. Changamoto hizo ni kama vile ushawishi wa marika na mimba za mapema.
ISBN: 9789966623638
-
Rated 0 out of 5
Mapambazuko ya Machweo na Hadithi – Set Book
KSh544.00Original price was: KSh544.00.KSh490.00Current price is: KSh490.00.Add to cartMapambazuko ya Machweo na Hadithi nyingine ni mkusanyiko wa hadithi fupi wa kipekee kwani umewashirikisha waandishi wenye tajriba pevu katika fani ya uandishi na kuwapa nafasi waandishi wachanga katika tasnia ya uandishi wa kifasihi. Waandishi waliochangia katika mkusanyiko huu wameonyesha ubunifu mkubwa kwa kusawiri uhalisia wa maisha katika mazingira yao tofauti.
Suala la uhalisia wa maisha na mwingiliano wake na fasihi haliwezi kupuuzwa kwani fasihi ni kioo cha jamii.
Mkusanyiko huu una hadithi zenye maudhui mbalimbali na zinazosheheni migogoro itakayowafikirisha wasomoji. Hali kadhalika, huu ni mkusanyiko wa kwanza wa hadithi fupi kuwahi kuchapishwa ulio na idadi karibu sawa ya waandishi wa kike na wa kiume.
ISBN:9789914987195
-
Rated 0 out of 5
Common Mistakes in English by T. J Fitikides
KSh711.00Original price was: KSh711.00.KSh640.00Current price is: KSh640.00.Add to cartCommon Mistakes in English takes more than 550 examples of typical errors (for example, words that are often confused, misused, or used with the wrong preposition) and offers a correct version and explanation that will help students avoid making the same mistakes themselves. An invaluable book for students who are keen to ‘get it right’ every time.
ISBN: 9780582344587
Reviews
There are no reviews yet.