Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop

Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop
Sale!

Storymoja Know More Kiswahili GD2

Original price was: KSh666.66.Current price is: KSh600.00.

Know More Kiswahili Activities Kitabu cha Mwanafunzi wa Gredi 2 kimeandikwa kwa kuzingatia yaliyomo kwenye ruwaza ya mtaala mpya wa kiumilisi ili kumfaa mwanafunzi kutekeleza shughuli mbalimbali za ujifunzaji. Shughuli zilizopendekezwa katika kitabu hiki zitamwezesha mwanafunzi kuwa na umilisi wa stadi mbalimbaii.

Sifa zake kuu

  1.  Vipengee vyote vya mada mbalimbali kwa mujibu wa ruwaza ya mtaala mpya
  2.  Picha na michoro angavu kwa ajili ya kumwezesha mwanafunzi kuelewa matini.
  3.  Uhusishaji wa shughuli za huduma za kijamii zinazochangia ujifunzaji.
  4.  Ujumuishaji wa Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (TEHAMA) katika shughuli za ufunzaji na ujifunzaji wa Kiswahili.
  5.  Ushirikishaji wa wanafunzi wenye mahitaji maalum.
  6.  Ujumuishaji wa masuala mtambuko katika shughuli za ujifunzaji.

ISBN: 9789966621603

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Storymoja Know More Kiswahili GD2”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Category:
Sale!

Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop
Call Us