Spark Composition Writing Grade 5 by Storymoja
-Aligned to CBC themes.
-A variety of digital literacy activities.
-Detailed step by step writing guides.
-Writing spaces for practice in each unit.
-Over 25 CBC themed composition samples.
-Writing skills that promote lifelong learning.
-Learner-centered activities to build vocabulary.
-Over 100 composition prompts for further practice.
ISBN: 9789966623980
Related products
-
Rated 0 out of 5
KLB Visionary Kiswahili Mwanafunzi Grade 5 (Approved) by WANDERA
KSh466.00Original price was: KSh466.00.KSh420.00Current price is: KSh420.00.Add to cartKLB Visionary Kiswahili Gredi ya Tano (Kitabu cha Mwanafunzi) kimechapishwa kwa kusudi la kuendelea kuimarisha uwezo wa mwanafunzi katika lugha ya Kiswahili kupitia Sarufi na stadi za lugha; Kusikiliza, kuzungumza, Kusoma na kuandika.
• Kitabu hiki kimechapishwa kwa kuzingatia mtaala mpya wa kiumilisi kutoka Taasisi ya Ukuzaji Mitaala
Nchini Kenya (KICD) wa mwaka wa 2019 wa masomo ya shule za msingi, gredi ya tano.
• Mwanafunzi amepewa nafasi ya kutosha ya kutambua na kujifunza mambo mapya ili kukuza uwezo
wake wa kukabili mambo katika maisha.
• Mazoezi ainati, mifano na picha zimetumika kwa nia ya kulenga mazingira ya mwanafunzi na usasa ili
kumrahisishia ujifunzaji.
• Masuala mtambuko na ya kijinsia yamejumuishwa kitabuni ili kukuza mwanafunzi anayewajibikia mabadiliko maishani.
• Kitabu hiki kimekuza upekee wa kutumia shajara na kazi mradi katika sehemu ya mwisho ya kila mada. Shajara na kazi mradi zimekusudiwa kumsaidia mwanafunzi kutumia ujuzi wa mambo aliyogundua au kujifunza kutokana na mada husika ili kubuni kitu kipya au kutatua suala fulani katika maisha ya kila siku.ISBN: 9789966656704
-
Rated 0 out of 5
OUP Kiswahili Dadisi Grade 5 Kitabu cha mwanafunzi (Approved) by J. Ndege, P. Kea, E. Osoro, Z. Mucheria
KSh627.00Original price was: KSh627.00.KSh565.00Current price is: KSh565.00.Add to cartKiswahili Dadisi ni msururu wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa njia ya kipekee ili kutosheleza mahitaji ya mtalaa wa umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia stadi za kusikiliza, kuzungumza, kusoma na kuandika, na vilevile sarufi. Aidha, vina mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunza. Pia vinakuza umilisi uliopendekezwa, maadili na kufahamisha kuhusu masuala ibuka.
Katika Kiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 5, utapata:
• mada zilizopangwa kwa kuzingatia muainisho wa mtalaa mpya.
• mifano halisi ya miktadha ambapo lugha hutumika.
• mazoezi ya kuwahamasisha wanafunzi kuendeleza ujifunzaji nje ya darasa na yale yenye kuwashirikisha katika shughuli za
kijamii zinazokuza ujifunzaji.
• mazoezi yanayomhusisha mwanafunzi moja kwa moja.
• jinsi ya kuwashirikisha wazazi na walezi ili kuimarisha uwajibikaji.
• vifungu vya kumburudisha na kumfikirisha mwanafunzi katika sehemu ya ‘Burudika’.
Kiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi kina Mwongozo wa Mwalimu ambao pia una mazoezi na maelekezo tosha ambayo mwalimu atahitaji ili kumwongoza mwanafunzi aweze kufaulu katika mtalaa huu wa umilisi.ISBN: 9780195749052
-
Rated 0 out of 5
OUP Kiswahili Dadisi Workbook GD5
KSh605.00Original price was: KSh605.00.KSh545.00Current price is: KSh545.00. -
Rated 0 out of 5
Spotlight CRE Learner’s Book Grade 5
KSh722.00Original price was: KSh722.00.KSh655.00Current price is: KSh655.00.Add to cartSpotlight Christian Religious Education Learner’s Book Grade 5 has been uniquely designed to equip the learner with skills, values and competencies that will enable him or her to grow spiritually and morally. The book will greatly prepare the learner to grow as a responsible citizen who is at peace with God, self, others and the environment.
Key features of the book:
-Covers all the strands, sub-strands and learning outcomes of the Christian Religious Education Grade 5 Competency-Based Curriculum.
-Relevant learning experiences are provided in form of activities within the level of the learners.
-Has enough digital activities where links have been provided for learners to watch videos. The videos provide more information, engage learners, bring about easier understanding of concepts and make learning of Christian Religious Education interesting.
– Attractive full-colour illustrations are used to clarify Christian Religious Education concepts.
-Develops concepts by using learner’s environment and real-life experiences to foster skills, attitudes and values in learners.
-Test Yourself exercises are provided for each sub-strand for formative assessment.
-Learner-centred approaches, discovery-based and inquiry-based activities have been applied to develop concepts, core competencies, values and Pertinent and Contemporary Issues (PCls).
ISBN: 9789966572493
-
Rated 0 out of 5
Spotlight Mathematics Learner’s Book Grade 5 (Approved) by A. Njeru, R. Mwangi and B. Tinega
KSh617.00Original price was: KSh617.00.KSh555.00Current price is: KSh555.00.Add to cartSpotlight Mathematics Learner’s Book Grade 5 has been uniquely designed to greatly benefit Grade Five learners in handling Mathematics in line with the New Curriculum. It comprehensively covers the Grade 5 Mathematics Curriculum Design as per the CompetencyBased Curriculum. It is presented in a clear, simple, and precise language that makes learning stimulating and interesting.
Key features of the book:
• Covers all the Curriculum Design’s strands, sub-strands, and learning outcomes of the Grade 5 competency-based curriculum.
• Relevant learning experiences are provided in form of activities within the level of the learners.
• All mathematical concepts and competencies are addressed.
• Encourages authentic and realistic understanding of mathematical concepts by use of practical and group work activities with examples.
• Attractive full-colour illustrations are used to clarify mathematical concepts.
• Develops concepts by using the environment and real-life experiences to foster skills, attitudes, and values in learners. • Detailed guidance for use of digital media to make learning enjoyable.
• Numerous and relevant Assessment Activities have been carefully developed per sub-strand. Practice Work has been provided for each Activity to assess developed concepts for the respective learning outcome. Revision Activity is provided at the end of each sub-strand for formative assessment.
• Learner-centred approaches, discovery-based, and inquiry-based activities have been applied to develop concepts, core competencies, values, and Pertinent Contemporary Issues (PCls).
• A Teacher’s Guide is available for this title.ISBN: 9789966572431
Reviews
There are no reviews yet.