Spark Composition Writing Grade 5 by Storymoja
-Aligned to CBC themes.
-A variety of digital literacy activities.
-Detailed step by step writing guides.
-Writing spaces for practice in each unit.
-Over 25 CBC themed composition samples.
-Writing skills that promote lifelong learning.
-Learner-centered activities to build vocabulary.
-Over 100 composition prompts for further practice.
ISBN: 9789966623980
Related products
-
Rated 0 out of 5
OUP Kiswahili Dadisi Grade 5 Kitabu cha mwanafunzi (Approved) by J. Ndege, P. Kea, E. Osoro, Z. Mucheria
KSh627.00Original price was: KSh627.00.KSh565.00Current price is: KSh565.00.Add to cartKiswahili Dadisi ni msururu wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa njia ya kipekee ili kutosheleza mahitaji ya mtalaa wa umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia stadi za kusikiliza, kuzungumza, kusoma na kuandika, na vilevile sarufi. Aidha, vina mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunza. Pia vinakuza umilisi uliopendekezwa, maadili na kufahamisha kuhusu masuala ibuka.
Katika Kiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 5, utapata:
• mada zilizopangwa kwa kuzingatia muainisho wa mtalaa mpya.
• mifano halisi ya miktadha ambapo lugha hutumika.
• mazoezi ya kuwahamasisha wanafunzi kuendeleza ujifunzaji nje ya darasa na yale yenye kuwashirikisha katika shughuli za
kijamii zinazokuza ujifunzaji.
• mazoezi yanayomhusisha mwanafunzi moja kwa moja.
• jinsi ya kuwashirikisha wazazi na walezi ili kuimarisha uwajibikaji.
• vifungu vya kumburudisha na kumfikirisha mwanafunzi katika sehemu ya ‘Burudika’.
Kiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi kina Mwongozo wa Mwalimu ambao pia una mazoezi na maelekezo tosha ambayo mwalimu atahitaji ili kumwongoza mwanafunzi aweze kufaulu katika mtalaa huu wa umilisi.ISBN: 9780195749052
-
Rated 0 out of 5
KLB Visionary Kiswahili Mwanafunzi Grade 5 (Approved) by WANDERA
KSh466.00Original price was: KSh466.00.KSh420.00Current price is: KSh420.00.Add to cartKLB Visionary Kiswahili Gredi ya Tano (Kitabu cha Mwanafunzi) kimechapishwa kwa kusudi la kuendelea kuimarisha uwezo wa mwanafunzi katika lugha ya Kiswahili kupitia Sarufi na stadi za lugha; Kusikiliza, kuzungumza, Kusoma na kuandika.
• Kitabu hiki kimechapishwa kwa kuzingatia mtaala mpya wa kiumilisi kutoka Taasisi ya Ukuzaji Mitaala
Nchini Kenya (KICD) wa mwaka wa 2019 wa masomo ya shule za msingi, gredi ya tano.
• Mwanafunzi amepewa nafasi ya kutosha ya kutambua na kujifunza mambo mapya ili kukuza uwezo
wake wa kukabili mambo katika maisha.
• Mazoezi ainati, mifano na picha zimetumika kwa nia ya kulenga mazingira ya mwanafunzi na usasa ili
kumrahisishia ujifunzaji.
• Masuala mtambuko na ya kijinsia yamejumuishwa kitabuni ili kukuza mwanafunzi anayewajibikia mabadiliko maishani.
• Kitabu hiki kimekuza upekee wa kutumia shajara na kazi mradi katika sehemu ya mwisho ya kila mada. Shajara na kazi mradi zimekusudiwa kumsaidia mwanafunzi kutumia ujuzi wa mambo aliyogundua au kujifunza kutokana na mada husika ili kubuni kitu kipya au kutatua suala fulani katika maisha ya kila siku.ISBN: 9789966656704
-
Rated 0 out of 5
Spotlight Science and Technology Learner’s Book Grade 5 (Approved) by P. Wasonga, D. Arapai, R. Mwarangu, D. Kamoce, J. Asenje
KSh622.00Original price was: KSh622.00.KSh560.00Current price is: KSh560.00.Add to cartSpotlight Science and Technology Learner’s Book Grade 5 has been uniquely designed to help Grade 5 learners in understanding basic science and Technology concepts. It comprehensively covers the Science and Technology Grade 5 Competency-Based Curriculum Designs. It is presented in a clear, simple, and precise language that makes learning interesting.
Key features of the book:
• Relevant learning experiences are provided in form of Activities, Home Activities, Digital Activities, and Points to note.
• All these are within the level of the learners. All Science and Technology Grade 5 concepts and competencies are addressed according to the curriculum demands.
• Fosters understanding of Science and Technology Grade 5 concepts by use of practical activities, group work activities, and project work.
• Learner-centred approaches, discovery-based, and inquiry-based activities have been applied to develop concepts, core competences, Pertinent and Contemporary Issues (PCls), and values.
• Attractive full colour illustrations and relevant clear photographs have been used to clarify Science and Technology concepts.
• A Revision Activity is provided in each sub-strand to assess developed concepts.
• A Teacher’s Guide is available for this title.ISBN: 9789966572479
-
Rated 0 out of 5
KLB Visionary Music Grade 5 Learner’s (Approved) by M. Matsigulu, E. Muchiri, E. Namiti, D. Nyachieo and T. Makobi
KSh494.45Original price was: KSh494.45.KSh445.00Current price is: KSh445.00.Add to cartKLB Visionary Grade Five Music Learner’s Book is aimed at providing learners with an avenue for expressing feelings, ideas, and emotions. The activities involved offer the learner an enjoyable and purposeful experience through singing, playing instruments, and creating music.
• It is developed in line with the requirements of the Competency-Based Curriculum design.
• The experiences are aligned with the thematic integrated approach thus presenting concepts in the most appropriate way for learners at this level.
• This book is majorly illustrated to enliven the content and the text follows the design closely.
• It has employed a learner-centered approach where all experiences are centred on the learner’s interests, knowledge, and application to real-life situations in line with the Life Approach Method of teaching Music.
• Every lesson draws from the learner’s day-to-day activities at home and school.
• The book has numerous practical activities to enable the learner to acquire the required skills and competence without undue difficulty.
• Issues around gender equity and parity are well articulated in this title.ISBN: 9789966656629
-
Rated 0 out of 5
KLB Visionary Social Studies Learner’s Grade 5
KSh490.00Original price was: KSh490.00.KSh440.00Current price is: KSh440.00.
Reviews
There are no reviews yet.