Spark Composition Writing Grade 5 by Storymoja
-Aligned to CBC themes.
-A variety of digital literacy activities.
-Detailed step by step writing guides.
-Writing spaces for practice in each unit.
-Over 25 CBC themed composition samples.
-Writing skills that promote lifelong learning.
-Learner-centered activities to build vocabulary.
-Over 100 composition prompts for further practice.
ISBN: 9789966623980
Related products
-
Rated 0 out of 5
OUP Kiswahili Dadisi Grade 5 Kitabu cha mwanafunzi (Approved) by J. Ndege, P. Kea, E. Osoro, Z. Mucheria
KSh627.00Original price was: KSh627.00.KSh565.00Current price is: KSh565.00.Add to cartKiswahili Dadisi ni msururu wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa njia ya kipekee ili kutosheleza mahitaji ya mtalaa wa umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia stadi za kusikiliza, kuzungumza, kusoma na kuandika, na vilevile sarufi. Aidha, vina mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunza. Pia vinakuza umilisi uliopendekezwa, maadili na kufahamisha kuhusu masuala ibuka.
Katika Kiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 5, utapata:
• mada zilizopangwa kwa kuzingatia muainisho wa mtalaa mpya.
• mifano halisi ya miktadha ambapo lugha hutumika.
• mazoezi ya kuwahamasisha wanafunzi kuendeleza ujifunzaji nje ya darasa na yale yenye kuwashirikisha katika shughuli za
kijamii zinazokuza ujifunzaji.
• mazoezi yanayomhusisha mwanafunzi moja kwa moja.
• jinsi ya kuwashirikisha wazazi na walezi ili kuimarisha uwajibikaji.
• vifungu vya kumburudisha na kumfikirisha mwanafunzi katika sehemu ya ‘Burudika’.
Kiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi kina Mwongozo wa Mwalimu ambao pia una mazoezi na maelekezo tosha ambayo mwalimu atahitaji ili kumwongoza mwanafunzi aweze kufaulu katika mtalaa huu wa umilisi.ISBN: 9780195749052
-
Rated 0 out of 5
Spotlight Social Studies Learner’s Book Grade 5 (Approved) by C. Akinyi, P. Isaac, T.Gichana, G. Mwaniki, S. Wangui, M. Kemunto, V. Onzere, and S. Kahuho
KSh644.00Original price was: KSh644.00.KSh580.00Current price is: KSh580.00.Add to cartSpotlight Social Studies Learner’s Book Grade 5 has been uniquely designed to greatly benefit learners pursuing the new curriculum. It comprehensively covers the Grade 5 curriculum design as per the new Competency-Based curriculum.
Key Features of the Book:
• Covers the new curriculum design, strands, sub-strands, and all learning outcomes in Grade 5 Social Studies Competency-Based Curriculum.
• All competency-based approaches have been used in the development of key concepts, skills, attitude, and values addressed in the curriculum.
• Encourages authentic and realistic understanding of Social Studies facts by use of practical approaches such as Group Activities, Outdoor Activities, Fun Time, Class Activities, and Project Work.
• Attractive full colour illustrations, photographs, and maps that aid learners in understanding concepts presented in the book.
• Numerous comprehensive Home Activities that enhance parental engagement and empowerment.
• Infusion of Digital Literacy through use of videos and online researches in understanding Social Studies concepts that make learning easier and enjoyable.
• All core competencies and Pertinent and Contemporary Issues (PCls) in Social Studies Grade 5 have been addressed.
• A Teacher’s Guide Book is available for this title.ISBN: 9789966572530
-
Rated 0 out of 5
KLB Visionary Kiswahili Mwanafunzi Grade 5 (Approved) by WANDERA
KSh466.00Original price was: KSh466.00.KSh420.00Current price is: KSh420.00.Add to cartKLB Visionary Kiswahili Gredi ya Tano (Kitabu cha Mwanafunzi) kimechapishwa kwa kusudi la kuendelea kuimarisha uwezo wa mwanafunzi katika lugha ya Kiswahili kupitia Sarufi na stadi za lugha; Kusikiliza, kuzungumza, Kusoma na kuandika.
• Kitabu hiki kimechapishwa kwa kuzingatia mtaala mpya wa kiumilisi kutoka Taasisi ya Ukuzaji Mitaala
Nchini Kenya (KICD) wa mwaka wa 2019 wa masomo ya shule za msingi, gredi ya tano.
• Mwanafunzi amepewa nafasi ya kutosha ya kutambua na kujifunza mambo mapya ili kukuza uwezo
wake wa kukabili mambo katika maisha.
• Mazoezi ainati, mifano na picha zimetumika kwa nia ya kulenga mazingira ya mwanafunzi na usasa ili
kumrahisishia ujifunzaji.
• Masuala mtambuko na ya kijinsia yamejumuishwa kitabuni ili kukuza mwanafunzi anayewajibikia mabadiliko maishani.
• Kitabu hiki kimekuza upekee wa kutumia shajara na kazi mradi katika sehemu ya mwisho ya kila mada. Shajara na kazi mradi zimekusudiwa kumsaidia mwanafunzi kutumia ujuzi wa mambo aliyogundua au kujifunza kutokana na mada husika ili kubuni kitu kipya au kutatua suala fulani katika maisha ya kila siku.ISBN: 9789966656704
-
Rated 0 out of 5
KLB Visionary Christian Religious Education Learner’s Grade 5 (Approved) by MWAURA
KSh488.00Original price was: KSh488.00.KSh440.00Current price is: KSh440.00.Add to cartChristian Religious Education is a learning area aimed at instilling in the learner moral and spiritual values to enable him or her live a morally upright life and fit well in society. KLB Visionary Christian Religious Education Grade 5 Learner’s Book, therefore:
• Has been developed in line with the requirements of Grade 5 CRE Competence-Based Curriculum Design.
• The experiences have been developed in line with the thematic integrated approach that is recommended for children at this level.
• The book is generously illustrated to enliven the content and the text follows the design
closely. The book has employed a child-centered approach where all experiences are centered on the learner’s interests, knowledge, and application to real-life situations in line with the Life Approach Method of teaching Christian Religious Education.
• It has used short texts in simple language with familiar situations created to help understand more difficult concepts.
• Gender equitable roles have been reflected so as to erase the association of certain tasks with specific gender
• The principle of inclusivity has been used by having illustrations of children with special needs involved in common activities with other children to make learners appreciate them as part of society.
• Active learning activities like discussing, singing, reading the Bible, debates, working in groups, and reciting memory verses are integrated within the lessons to make learning interesting and participatory.ISBN: 9789966656780
-
Rated 0 out of 5
OUP Everyday Science and Technology Learner Grade 5 (Approved) by J. Odhiambo, L.Chimba, J. Mwende, P. Mumo and W. Nyabera
KSh638.00Original price was: KSh638.00.KSh575.00Current price is: KSh575.00.Add to cartEveryday Science and Technology Learner’s Book, Grade 5
Everyday Science & Technology is a new series for the Competency-Based Curriculum. It is specially written to provide practical experiences that equip learners with knowledge and skills that will enable learners to develop a positive attitude towards Science & Technology as a learning area and also appreciate its importance in their everyday life. Books in this series provide a range of activities that learners will find exciting and motivating The activities are aimed at enabling learners to acquire the core competencies and values as well as embrace the pertinent and contemporary issues (PCIS).Everyday Science & Technology Learner’s Book Grade 5 has:
• Numerous interactive activities to enable learners to acquire practical skills to solve problems in their environment.
• Think about these sections aimed at bringing out critical thinking and problem-solving skills in learners.
• Home tasks to allow learners to engage family and the community in the learning process.
• Digital corner sections that allow learners to apply digital technology in learning.
• My dictionary sections to enable learners to acquire new scientific vocabulary.
Together, the Learner’s Book and the Teacher’s Guide provide learners and teachers with all they need to succeed in the new Competency-Based Curriculum. Oxford, your companion for success! Everyday Everyday Everyday
ISBN: 9780195749250
Reviews
There are no reviews yet.