New Progressive Primary English Activities Grade 2
KSh593.00 Original price was: KSh593.00.KSh534.00Current price is: KSh534.00.
Related products
-
Rated 0 out of 5
Kiswahili Dadisi Mazoezi ya Lugha Kitabu cha Mwanafunzi Gredi 2
KSh594.44Original price was: KSh594.44.KSh535.00Current price is: KSh535.00.Add to cartKiswahili Dadisi. Mazoezi ya Lugha ni msururu wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa upekee ili kutosheleza mahitaji ya mtalaa mpya wa Umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia stadi za kusikiliza kuzungumza, kusoma na kuandika. Aidha, vina mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunzo. Pia vinakura umili uliopendekezwa, maadili kufahamisha kuhusu masualaibuka.
Katika Kiswahili Dadisi. Mazoezi ya Lugha, kitabu cha Mwanafunzi. Gredi 2. utapata :
-mada zilizopangwa Kwa kuzingatia muainisho wa mtalaa mpya
-mifano halisi ya miktadha ambapo lugha hutumika
-mazoezi nje ya darasa ili kuendeleza ujifunzaji na kuwashirikisha wanafunzi katika shughuli za kijamii zinazokuza ujifunzaji mazoezi yanayomhusisha mwanafunzi moja kwa moja
-Jinsi ya kuwashirikisho wazazi na walezi ili kuimarisha uwajibikajiKiswahili Dadisi, Mazoezi ya Lugha, kitabu cha Mwanafunzi kina Mwongozo wa Mwalimu ambao pia una mazoezi na maelekezo tosha ambayo mwalimu atahitaji
ISBN: 9780195746839
-
Rated 0 out of 5
KLB Visionary English Activities Grade 2 Learner’s Workbook (Approved)
KSh509.00Original price was: KSh509.00.KSh460.00Current price is: KSh460.00.Add to cartKLB Visionary English Activities for Grade 2 Learner’s Workbook is a learning area that aims at instilling in the learners the ability to become active listeners and speakers at their level. The learner through engagement becomes confident in expressing their feelings, ideas and opinions. The workbook has been developed in line with the requirements of the new Competency-Based Curriculum and subject design.
The text is presented in a simple concise language appropriate to the level of the learner. The style is also simple. making it highly readable and learners will find it easy to understand. The book contains full-colour illustrations designed to hold the attention of the learners.
The workbook has employed a learner-centred approach where all experiences are centred on the learner’s interests, knowledge and application to real life situations. Every lesson has something to draw from day-to-day occurrences.The Learner’s Workbook has numerous practical activities for all topics and at the end of every lesson to enable the learner practise learning on their own
-
Rated 0 out of 5
Our Lives Today Environmental Activities Grade 2
KSh466.66Original price was: KSh466.66.KSh420.00Current price is: KSh420.00.Add to cartOur Lives Today Environmental Activities is a series specially written to provide practical experiences that support the acquisition of science, social studies and agriculture skills for the new competency-based curriculum. Books in the series have a range of activities that learners will find exciting and motivating. The activities are aimed at the acquisition of the core competencies, values, and pertinent and contemporary issues (PC’s).
-
Rated 0 out of 5
KLB Visionary Mazoezi ya Kiswahili Grade 2 by KLB
KSh416.66Original price was: KSh416.66.KSh375.00Current price is: KSh375.00.Add to cartKLB Mazoezi ya Kiswahill Gredi ya 2 (Kitabu cha Mwanalunzi) ni kitabu mojawapo kati ya vitabu vinavyochapishwa na Kenya Literature Bureau vya msururu wa KLB Visionary. Msururu huu wa vitabu umezingatia Mtalaa wa kiumilisi wa mwaka wa 2017 wa masomo ya shule za Msingi.
Kitabu hiki kimekusudiwa kumwezesha mwanafunzi kukuza uwezo wa kutumia stadi zote nne za lugha ya Kiswahili: Kusikiliza, Kuzungumza, Kusoma na Kuandika. Kupitia stadi hizi, mwanafunzi anakuza uwezo wake wa lugha.
Toleo hili limejumuisha mambo muhimu ambayo yanachangia ujifunzaji wa sasa ambayo ni masuala mtambuko, maswali dadisi, masuala ya linsia. utendaji wa mwanafunzi, picha murua za kuchangamsha na kuibua hamu ya kudadisi kwa mwanafunzi na mbinu tofauti za kumwezesha mwanafunzi kukuza uwezo wake wa kujifunza. Mazingira halisi ya mwanafunzi yamezingatiwa katika kukuza kazi hii. Hili linamwezesha mwanafunzi kujifunza katika hali halisi. Lugha sahili imetumika ili kurahisisha kuelewa kwa mada zote katika kitabu.
ISBN: 9789966652140
-
Rated 0 out of 5
KLB Visionary Hygiene & Nutrition GD2
KSh467.00Original price was: KSh467.00.KSh420.00Current price is: KSh420.00.Add to cartHygiene and Nutrition Activities is a course intended to equip learners with basic knowledge, skills. and attitudes that promote a happy and healthy lifestyle. The learner is empowered to take care of his or her own wellbeing as well as that of others. The learner is sensitized to adopt healthy practices in order to prevent the occurrence of infections associated with poor hygiene and sanitation practices.
This Learner’s Workbook for Grade 2 comprehensively covers the 2017 competency-based curriculum. The learning activities are presented in a simple concise language and in an attractive layout designed to make the workbook learner friendly.
This workbook incorporates Pertinent and Contemporary Issues (PCIs) as required in the curriculum designs. Some PCIs addressed include education in the following areas: life skills and values, health, and environment.ISBN: 9789966652201
Reviews
There are no reviews yet.