musa-na-shamba-la-shule

Musa Na Shamba La Shule

0 customer reviews

Compare
Category:
Musa Na Shamba La Shule

Wazo la kuanzisha shamba la shule linawafanya wanafunzi wa Mukibi’s Educational Institute for the Sons of African Gentlemen kuandaa mgomo baridi. Kwa madai yao wenyewe, wako shuleni ‘kusomea mitihani’ wala si kuwa mashokoa wa mwalimu mkuu, Mzee Mukibi. Hata hivyo, hakuna aliye tayari kumkabili mwalimu mkuu kwa kuhofia kuonekana muasi. Masaibu ya Musa na marafiki zake yanazidi kufuatia ‘kutoweka’ kwa nguruwe dume, na kuku sita kuibwa. Mwalimu mkuu naye ameapa kufanya juu chini kuwanasa wezi.

Reviews

0
0 customer reviews
5
0
4
0
3
0
2
0
1
0

There are no reviews yet.

Be the first to review “Musa Na Shamba La Shule”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Select at least 2 products
to compare