Moran CBC Breakthrough Art and Craft Workbook Grade 5 by Moran
KSh622.23 Original price was: KSh622.23.KSh560.00Current price is: KSh560.00.
CBC Breakthrough Workbook Grade 5 Art and Craft is a one-stop source of extended learning activities- based on the Competency Based Curriculum. The workbook is a curriculum companion aimed at supporting the learner to develop skills and concepts in Art and Craft. The activities address each specific learning outcome.
ISBN: 9789966633378
Related products
-
Rated 0 out of 5
OUP Kiswahili Dadisi Grade 5 Kitabu cha mwanafunzi (Approved) by J. Ndege, P. Kea, E. Osoro, Z. Mucheria
KSh627.00Original price was: KSh627.00.KSh565.00Current price is: KSh565.00.Add to cartKiswahili Dadisi ni msururu wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa njia ya kipekee ili kutosheleza mahitaji ya mtalaa wa umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia stadi za kusikiliza, kuzungumza, kusoma na kuandika, na vilevile sarufi. Aidha, vina mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunza. Pia vinakuza umilisi uliopendekezwa, maadili na kufahamisha kuhusu masuala ibuka.
Katika Kiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 5, utapata:
• mada zilizopangwa kwa kuzingatia muainisho wa mtalaa mpya.
• mifano halisi ya miktadha ambapo lugha hutumika.
• mazoezi ya kuwahamasisha wanafunzi kuendeleza ujifunzaji nje ya darasa na yale yenye kuwashirikisha katika shughuli za
kijamii zinazokuza ujifunzaji.
• mazoezi yanayomhusisha mwanafunzi moja kwa moja.
• jinsi ya kuwashirikisha wazazi na walezi ili kuimarisha uwajibikaji.
• vifungu vya kumburudisha na kumfikirisha mwanafunzi katika sehemu ya ‘Burudika’.
Kiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi kina Mwongozo wa Mwalimu ambao pia una mazoezi na maelekezo tosha ambayo mwalimu atahitaji ili kumwongoza mwanafunzi aweze kufaulu katika mtalaa huu wa umilisi.ISBN: 9780195749052
-
Rated 0 out of 5
Kurunzi ya Kiswahili Grade 5 Mwanafunzi (Approved) by A. Matei, J. Mwamburi, F. Wangome, F. Atulo
KSh639.00Original price was: KSh639.00.KSh575.00Current price is: KSh575.00.Add to cartKurunzi ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 5 kimeandaliwa kwa ustadi ili kumwezesha mwanafunzi kumudu mtalaa huu unaolenga umilisi kwa njia sahili, yenye mvuto na ya kumjumuisha moja kwa moja kwenye shughuli za ufunzaji.
Kitabu hiki
• Kimeshughulikia mada kwa njia inayomwezesha mwanafunzi kushiriki kikamilifu katika ujifunzaji.
• Mada na shughuli za darasani zimeteuliwa kwa uangalifu kumjengea mwanafunzi umilisi wa aina mbalimbali. Mada hizi zinalenga kuimarisha umilisi wa kusikiliza kwa makini, kuzungumza kwa ujasiri, kusoma kwa ufasaha na kuandika vyema.
• Kuna mazoezi na mijarabu kama vile shughuli kwa mwanafunzi, shughuli ya vikundi, kazimradi, shughuli ya nyumbani na michezo ili kumwezesha mwalimu kupima umilisi wa mwanafunzi kwenye stadi mbalimbali za lugha.
• Picha halisi na michoro ya kuvutia inamsaidia mwanafunzi katika uelewa wa mada.
• Kinalenga kumsaidia mwanafunzi kutumia vifaa vya teknolojia kama vile video, redio, tabuleti katika kurahisisha ujifunzaji.
• Mbinu tofauti za ufunzaji zimejumuishwa kama vile miradi ya uwekezaji, shughuli nje ya darasa, kutumia nyimbo, mashairi, kumhusisha mzazi au mlezi na ujifunzaji katika vikundi. Mbinu hizi zinasaidia kujenga umilisi wa mwanafunzi.
• Masuala mtambuko na kuhusisha maadili kujenga mada tofauti imeshughulikiwa.
•Kitabu cha mwalimu kipo ili kumpa mapendekezo katika ufunzaji.ISBN: 9789966572455
-
Rated 0 out of 5
Spotlight Mathematics Learner’s Book Grade 5 (Approved) by A. Njeru, R. Mwangi and B. Tinega
KSh617.00Original price was: KSh617.00.KSh555.00Current price is: KSh555.00.Add to cartSpotlight Mathematics Learner’s Book Grade 5 has been uniquely designed to greatly benefit Grade Five learners in handling Mathematics in line with the New Curriculum. It comprehensively covers the Grade 5 Mathematics Curriculum Design as per the CompetencyBased Curriculum. It is presented in a clear, simple, and precise language that makes learning stimulating and interesting.
Key features of the book:
• Covers all the Curriculum Design’s strands, sub-strands, and learning outcomes of the Grade 5 competency-based curriculum.
• Relevant learning experiences are provided in form of activities within the level of the learners.
• All mathematical concepts and competencies are addressed.
• Encourages authentic and realistic understanding of mathematical concepts by use of practical and group work activities with examples.
• Attractive full-colour illustrations are used to clarify mathematical concepts.
• Develops concepts by using the environment and real-life experiences to foster skills, attitudes, and values in learners. • Detailed guidance for use of digital media to make learning enjoyable.
• Numerous and relevant Assessment Activities have been carefully developed per sub-strand. Practice Work has been provided for each Activity to assess developed concepts for the respective learning outcome. Revision Activity is provided at the end of each sub-strand for formative assessment.
• Learner-centred approaches, discovery-based, and inquiry-based activities have been applied to develop concepts, core competencies, values, and Pertinent Contemporary Issues (PCls).
• A Teacher’s Guide is available for this title.ISBN: 9789966572431
-
Rated 0 out of 5
KLB Visionary Music Grade 5 Learner’s (Approved) by M. Matsigulu, E. Muchiri, E. Namiti, D. Nyachieo and T. Makobi
KSh494.45Original price was: KSh494.45.KSh445.00Current price is: KSh445.00.Add to cartKLB Visionary Grade Five Music Learner’s Book is aimed at providing learners with an avenue for expressing feelings, ideas, and emotions. The activities involved offer the learner an enjoyable and purposeful experience through singing, playing instruments, and creating music.
• It is developed in line with the requirements of the Competency-Based Curriculum design.
• The experiences are aligned with the thematic integrated approach thus presenting concepts in the most appropriate way for learners at this level.
• This book is majorly illustrated to enliven the content and the text follows the design closely.
• It has employed a learner-centered approach where all experiences are centred on the learner’s interests, knowledge, and application to real-life situations in line with the Life Approach Method of teaching Music.
• Every lesson draws from the learner’s day-to-day activities at home and school.
• The book has numerous practical activities to enable the learner to acquire the required skills and competence without undue difficulty.
• Issues around gender equity and parity are well articulated in this title.ISBN: 9789966656629
-
Rated 0 out of 5
Kurunzi ya Insha gredi ya 4 na 5 by Francis Wangome
KSh800.00Original price was: KSh800.00.KSh720.00Current price is: KSh720.00.
Reviews
There are no reviews yet.