Sale
Mentor Kielekezi cha Kiswahili GD10 (Rtd)

Mentor Kielekezi cha Kiswahili GD10 (Rtd)

0 customer reviews

Original price was: KSh 1,350.00.Current price is: KSh 1,250.00.

Compare
Mentor Kielekezi cha Kiswahili GD10 (Rtd)
Mentor Kielekezi cha Kiswahili GD10 (Rtd)
Original price was: KSh 1,350.00.Current price is: KSh 1,250.00.

Kielekezi cha Kiswahili Gredi ya 10

Kitabu hiki kina sifa zifuatazo.

*Kimewasilisha kikamilifu mahitaji ya Mtaala wa Kiumilisi.
*Kimeangazia stadi zote za kujifunza lugha:
*Kimetumia mtindo unaomwegemea mwanafunzi.
*Kimetumia lugha nyepesi inayoweza kueleweka na mwanafunzi kwa urahisi.
*Kina mazoezi muhimu ya kumtathmini mwanafunzi na kujitathmini.
*Kina tathmini mwishoni mwa kila sura ili kumsaidia mwanafunzi kufanya marudio zaidi.

Waandishi wa kitabu hiki-wane-tajriba kubwa katika ufundishaji wa somo la kiswahili katika shule tajika nchini Kenya.

Reviews

0
0 customer reviews
5
0
4
0
3
0
2
0
1
0

There are no reviews yet.

Be the first to review “Mentor Kielekezi cha Kiswahili GD10 (Rtd)”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Select at least 2 products
to compare