Mentor CRE Activities Learner’s Grade 1
KSh538.88 Original price was: KSh538.88.KSh485.00Current price is: KSh485.00.
Mentor CRE workbook is fully in line with the new competency-based curriculum. The book is easy to use and contains a variety of learning activities. It makes learning fun for the lower primary learner.
This book has been authored by teachers with wide experience in Early Years Education in leading schools across Kenya.
ISBN: 9789966059567
Related products
-
Rated 0 out of 5
OUP Soma Nasi Kusoma na Kuandika Gredi 1 (Approved)
KSh522.22Original price was: KSh522.22.KSh470.00Current price is: KSh470.00.Add to cartSoma Nasi, Kusoma na kuandika Kiswahili ni msururu wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa upekee ili kutosheleza mahitaji ya mtalaa mpya wa Umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia stadi za kusikiliza,
kuzungumza, kusoma na kuandika. Aidha, vina mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunza pamoja na kuwa vinakuza umilisi uliopendekezwa, maadili na pia kufahamisha kuhusu masualaibuka.
ISBN: 9780195746945
-
Rated 0 out of 5
Nyota ya Kiswahili kitabu cha mwanafunzi Grade 1
KSh505.00Original price was: KSh505.00.KSh455.00Current price is: KSh455.00.Add to cartKitabu hiki kimedhamiriwa kutumika kama mfululizo wa vitabu vya ziada kwa Gredi ya Kwanza. Kimeandikwa kuambatana na mtalaa mpya. Kitabu hiki kimelenga kumwongoza mwanafunzi katika masomo yake ya lugha ya Kiswahili kwa kutimiza rnaarubu ya mtalaa wa kiwango husika. Ndani yake mna mbinu bora za ujifunzaji ambazo zitawaelekeza wanafunzi kuhusu njia bora za kutimiza malengo yao.
Kimezingatia stadi zote za kujifunza lugha, yaani:
(i) Kusikiliza
(ii) Kuzungurnza
(iii) Kusoma
(iv) Kuandika
(v) Msamiati
(vi) Sarufi
ISBN: 9789966511065
-
Rated 0 out of 5
KLB Visionary Mazoezi ya Kiswahili Grade 1 (Approved)
KSh311.00Original price was: KSh311.00.KSh280.00Current price is: KSh280.00.Add to cart
KLB Mazoezi ya Kiswahill Gredi ya 1 (Kitabu cha Mwanalunzi) ni kitabu mojawapo kati ya vitabu vinavyochapishwa na Kenya Literature Bureau vya msururu wa KLB Visionary. Msururu huu wa vitabu umezingatia Mtalaa wa kiumilisi wa mwaka wa 2017 wa masomo ya shule za Msingi.
Kitabu hiki kimekusudiwa kumwezesha mwanafunzi kukuza uwezo wa kutumia stadi zote nne za lugha ya Kiswahili: Kusikiliza, Kuzungumza, Kusoma na Kuandika. Kupitia stadi hizi, mwanafunzi anakuza uwezo wake wa lugha.
Toleo hili limejumuisha mambo muhimu ambayo yanachangia ujifunzaji wa sasa ambayo ni masuala mtambuko, maswali dadisi, masuala ya linsia. utendaji wa mwanafunzi, picha murua za kuchangamsha na kuibua hamu ya kudadisi kwa mwanafunzi na mbinu tofauti za kumwezesha mwanafunzi kukuza uwezo wake wa kujifunza. Mazingira halisi ya mwanafunzi yamezingatiwa katika kukuza kazi hii. Hili linamwezesha mwanafunzi kujifunza katika hali halisi. Lugha sahili imetumika ili kurahisisha kuelewa kwa mada zote katika kitabu.
ISBN: 9789966652324
-
Rated 0 out of 5
KLB Visionary Environmental Act GD1
KSh500.00Original price was: KSh500.00.KSh450.00Current price is: KSh450.00.Add to cartEnvironmental Activities Grade One has been comprehensively written to meet the requirements of the new competency-based curriculum. The content is guided strictly by the specific learning outcomes and suggested learning experiences. The inquiry-based approach, which emphasises on “how we come to know” rather than “what we know” has been used throughout the development of the content.
This learner’s book has used a variety of learning activities including project assignments, discussions, homework, parental involvement, experiments, field studies, observations and use of resource persons. All these learning activities are meant to put the learner to task in order to discover the knowledge on their own and apply what they have learnt in solving various problems around them. To evaluate the learner’s understanding and mastery of the content, a comprehensive assessment exercises has been provided at the end of every sub-strand. These assessment exercises are meant to assist in assessing learner’s progress in the course of learning.
ISBN: 9789966652478
-
Rated 0 out of 5
Spotlight CRE Activities Learner’s Book Grade 1Spotlight CRE Activities Learner’s Book Grade 1
KSh583.33Original price was: KSh583.33.KSh525.00Current price is: KSh525.00.Add to cartSpotlight CRE Activities Learner’s Book Grade I has been uniquely designed to greatly benefit Primary One learners in handling New Curriculum CRE Activities. It comprehensively covers Primary 1 CRE Acoviaes Curriculum Design as per the Competency-based Curriculum introduced by the Kenya Institute of Curriculum Development (KICD) M 2017 It is presented in a clear. simple and precise language that makes learning interesting.
ISBN: 9789966571724Â
Reviews
There are no reviews yet.