Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop

Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop

Mashairi Bulbul 7c by Ahmed hussein Ahmed

KSh366.67

Mashairi Bulbul 7c ni kitabu kinacholenga wanafunzi wa Darasa la Saba katika shule za msingi ili kuendeleza na kukuza uwezo wao wa kusoma.Miongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki ni:

  • mashairi yaliyobeba maudhui anuwai.
  • ubunifu wa mtunzi kutupambia mashairi kwa methali, mafumbo, masimulizi, tashihisi, takriri, tashbihi na taswira ili kutufunza na kupitisha ujumbe wake.
  • mitindo, bahari na aina mbalimbali za mashairi kama vile tathnia, tathlitha, tarbia, takhmisa, ukumi, ngonjera. utenzi, wimbo, ukaraguni, ukawafi, kikwamba na sakarani.
  • uangaziaji wa masuala ibuka kama vile dawa za kulevya, teknolojia, uadilifu, ushauri na nasaha, utatuzi wa matatizo, ubingwa wa lugha, vichekesho na burudani.

Mradi wa Kusoma ni mfululizo wa vitabu vya ziada unaoambatana na kozi ya Kiswahili Sanifu.

ISBN: 9780195736656

Reviews

There are no reviews yet.

Be the first to review “Mashairi Bulbul 7c by Ahmed hussein Ahmed”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Category:

Cart

Your Cart is Empty

Back To Shop
Call Us