Longhorn Mwanga wa Kiswahili Grade 4 (Approved) by Kangai
KSh633.34 Original price was: KSh633.34.KSh570.00Current price is: KSh570.00.
Longhorn Mwanga wa Kiswahili Gredi ya 4 (Kitabu cha Mwanafunzi) ni kitabu kilichoandikwa kwa ustadi na umahiri mkubwa. Kimeandikwa kwa lugha nyepesi ya kiwango cha mwanafunzi wa gredi ya nne. Kitabu hiki kinatosheleza kikamilifu mahitaji ya mtaala mpya wa umilisi pamoja na malengo ya elimu ya taifa la Kenya. Kimeshughulikia wanafunzi wote wakiwemo walio na mahitaji maalum pamoja na wanaoishi kwenye mazingira mbalimbali.
ISBN: Longhorn Mwanga wa Kiswahili GD4 (Appr)
Related products
-
Rated 0 out of 5
KLB Visionary Kiswahili Mwanafunzi Grade 4 by KLB
KSh466.00Original price was: KSh466.00.KSh420.00Current price is: KSh420.00.Add to cartKLB Visionary Kiswahili Gredi ya Nne (Kitabu cha Mwanafunzi) kimechapishwa kwa kusudi la kuendelea kuimarisha uwezo wa mwanafunzi katika lugha ya Kiswahili kupitia Sarufi na stadi za lugha; Kusikiliza, Kuzungumza, Kusoma na Kuandika
ISBN: 9789966655646
-
Rated 0 out of 5
OUP Kiswahili Dadisi GD4 Wkbk by Oxford
KSh566.00Original price was: KSh566.00.KSh510.00Current price is: KSh510.00.Add to cartKiswahili Dadisi Workbook ni mfululizo wa kipekee wa vitabu vya mazoezi katika Mtalaa mpya wa Umilisi.
Kila kitabu katika mfululizo huu kimefanyiwa utafiti wa kina na kuandikwa kwa ustadi ili kuwasaidia wanafunzi kupata
umilisi wa kimsingi, ujuzi, maadili na kuwa na mitazamo bora maishani. Vitabu hivi vinatoa utaratibu mwafaka wa kufanya
mazoezi ya lugha kwa njia nyepesi na ya kueleweka. Kitabu hiki:
• kimeandikwa kwa kufuata utaratibu uliopendekezwa kwenye mtalaa
• kina mazoezi mengi ya kuchangamsha na kuelimisha, na ambayo yatamwezesha mwanafunzi kujenga na kupanua umilisi katika kila mada.
• kina tathmini ya binafsi ambayo itamsaidia mwanafunzi kukadiria umilisi wake katika
mada ndogo zote.
Majibu ya mazoezi katika vitabu vyote vya Gredi ya Nne yanapatikana katika kitabu kimoja.ISBN: 9780195748758
-
Rated 0 out of 5
KLB Visionary Physical and Health Grade 4 (Approved) by Kahiga
KSh494.00Original price was: KSh494.00.KSh445.00Current price is: KSh445.00.Add to cartKLB Visionary Grade 4 Physical and Health Education Learner’s Book is aimed at equipping the learner with knowledge, skills, competences and desired attitudes that enhance morals, values and health development.
* It covers all the strands, sub strands and learning outcomes as per the Grade Four Curriculum design.
* Relevant learning experiences are provided in form of activities within the level of the learner.
* This book is extensively illustrated to enliven the content and the text follows the design closely.
*Â It has employed a learner-centred approach where all experiences are centred on the learner’s interests, knowledge and application to real life situations.
* The book develops skills by using readily available material to enhance creativity, and foster skills and values in learners.
* Practice Activities are provided for each substrand to assess how well the learners have understood the concepts.
* Fun games have been provided to enhance active participation and enjoyment by the learner.
* At the end of every skill, the learners are able to self assess themselves and their peers.ISBN: 9789966655721
-
Rated 0 out of 5
KLB Visionary Art and Craft Grade 4 (Approved) by Atieno
KSh466.00Original price was: KSh466.00.KSh420.00Current price is: KSh420.00.Add to cartKLB Visionary Art and Craft Grade Four Learner’s Book is designed to help the learner
acquire and apply specific concepts, techniques and related vocabulary to increase
capacity for effective pursuit of artistic goals. The span of strands at this level entail:
Picture Making, Mixed Media and Technology, Indigenous Kenyan Crafts, Presentation and Exhibition.
• The book is developed in line with the requirements of the Competency Based
Curriculum design for Art and Craft for Grade Four.
• The learning experiences are aligned with the thematic integrated approach thus
concepts are presented in the most appropriate way for learners at this level.
• This book is extensively illustrated to make the content interesting to the learners.
• It has employed a learner-centred approach where all experiences are centred on the
learner’s interests, knowledge and application to real life situations.
• Lessons draw from learner’s day-to-day activities at school and home.
• The book has numerous practical activities, and reflection questions to enable the
learner to carry them out on their own either in school or at home.
• The title has adequately mainstreamed key pertinent and contemporary issues and is
designed to equip the learner with 21st Century competences.
This Learner’s Book is approved by the Kenya Institute of Curriculum Development (KICD) and procured by the
Government of Kenya for use by Grade Four learners in all public primary schools.
Other approved titles in this series are:
• KLB Visionary Grade Four Science and Technology Learner’s Book and Teacher’s Guide.
• KLB Visionary Grade Four Mathematics Learner’s Book and Teacher’s Guide.
• KLB Visionary Grade Four Islamic Religious Education Learner’s Book and Teacher’s Guide.
• KLB Visionary Grade Four Music Learner’s Book and Teacher’s Guide.
• KLB Visionary Grade Four Physical and Health Education Learner’s Book and Teacher’s Guide.
• KLB Visionary Art and Craft Grade Four Teacher’s Guide.ISBN: 9789966655783
-
Rated 0 out of 5
OUP Let’s Do Mathematics GD4 Wkbk by Oxford
KSh566.00Original price was: KSh566.00.KSh510.00Current price is: KSh510.00.Add to cartLet’s Do Mathematics Workbook is a unique fun-filled series that comprehensively covers the new Competency-based Curriculum.
Each book in the series is well-researched and skillfully written to aid acquisition of the core competencies, skills,
values and attitudes. This workbook offers:
• step-by-step examples to help the learners easily acquire Mathematics skills
• graded practice exercises to take care of learners of different learning abilities
• numerous practical activities to enhance the acquisition of skills.
A combined answer book is available for the Grade 4 workbooks.ISBN: 9780195748697
Reviews
There are no reviews yet.