Kurunzi ya Insha gredi ya 4 na 5 by Francis Wangome
KSh800.00 Original price was: KSh800.00.KSh720.00Current price is: KSh720.00.
Kurunzi ya Insha Darasa la 4 na 5
ISBN: 9789966002679
Related products
-
Rated 0 out of 5
KLB Visionary Kiswahili Mwanafunzi Grade 5 (Approved) by WANDERA
KSh466.00Original price was: KSh466.00.KSh420.00Current price is: KSh420.00.Add to cartKLB Visionary Kiswahili Gredi ya Tano (Kitabu cha Mwanafunzi) kimechapishwa kwa kusudi la kuendelea kuimarisha uwezo wa mwanafunzi katika lugha ya Kiswahili kupitia Sarufi na stadi za lugha; Kusikiliza, kuzungumza, Kusoma na kuandika.
• Kitabu hiki kimechapishwa kwa kuzingatia mtaala mpya wa kiumilisi kutoka Taasisi ya Ukuzaji Mitaala
Nchini Kenya (KICD) wa mwaka wa 2019 wa masomo ya shule za msingi, gredi ya tano.
• Mwanafunzi amepewa nafasi ya kutosha ya kutambua na kujifunza mambo mapya ili kukuza uwezo
wake wa kukabili mambo katika maisha.
• Mazoezi ainati, mifano na picha zimetumika kwa nia ya kulenga mazingira ya mwanafunzi na usasa ili
kumrahisishia ujifunzaji.
• Masuala mtambuko na ya kijinsia yamejumuishwa kitabuni ili kukuza mwanafunzi anayewajibikia mabadiliko maishani.
• Kitabu hiki kimekuza upekee wa kutumia shajara na kazi mradi katika sehemu ya mwisho ya kila mada. Shajara na kazi mradi zimekusudiwa kumsaidia mwanafunzi kutumia ujuzi wa mambo aliyogundua au kujifunza kutokana na mada husika ili kubuni kitu kipya au kutatua suala fulani katika maisha ya kila siku.ISBN: 9789966656704
-
Rated 0 out of 5
Spotlight CRE Learner’s Book Grade 5
KSh722.00Original price was: KSh722.00.KSh655.00Current price is: KSh655.00.Add to cartSpotlight Christian Religious Education Learner’s Book Grade 5 has been uniquely designed to equip the learner with skills, values and competencies that will enable him or her to grow spiritually and morally. The book will greatly prepare the learner to grow as a responsible citizen who is at peace with God, self, others and the environment.
Key features of the book:
-Covers all the strands, sub-strands and learning outcomes of the Christian Religious Education Grade 5 Competency-Based Curriculum.
-Relevant learning experiences are provided in form of activities within the level of the learners.
-Has enough digital activities where links have been provided for learners to watch videos. The videos provide more information, engage learners, bring about easier understanding of concepts and make learning of Christian Religious Education interesting.
– Attractive full-colour illustrations are used to clarify Christian Religious Education concepts.
-Develops concepts by using learner’s environment and real-life experiences to foster skills, attitudes and values in learners.
-Test Yourself exercises are provided for each sub-strand for formative assessment.
-Learner-centred approaches, discovery-based and inquiry-based activities have been applied to develop concepts, core competencies, values and Pertinent and Contemporary Issues (PCls).
ISBN: 9789966572493
-
Rated 0 out of 5
KLB Visionary Agriculture Learner’s Grade 5 (Approved) by F. Muthua, E. Misiko and A. Wachira
KSh438.89Original price was: KSh438.89.KSh395.00Current price is: KSh395.00.Add to cartKLB Visionary Agriculture Grade 5 Learner’s Book has been developed in line with the requirements of Grade Five Agriculture Competence-Based Curriculum Design. The experiences have been developed in tandem with the thematic and integrated approach that is recommended for learners at this level. The book is generously illustrated to enliven the content, which is steered to follow the curriculum design.
A lot of emphasis has been placed on learning through discovery. Through the several activities, learners are led to discover knowledge on their own.
The book has employed a learner-centered approach where all experiences are centred on the learner’s interests, knowledge, and application to real-life situations. Several parallels are drawn from the learner’s immediate environment. Several activities are included in the title and learners encouraged to perform them either in pairs or in groups. This approach is aimed at promoting collaboration amongst learners. Every learning area has a home project where the learner is expected to transfer the skills learnt at school to home. This is aimed at enhancing community service learning. Digital literacy has been given great attention as learners search for information from the Internet and watch relevant video clips. This makes learning interesting and widens sources of information.
Financial literacy is adequately addressed. Learners are encouraged and trained to sell surplus produce such as seedlings and vegetables.
ISBN: 9789966656766
-
Rated 0 out of 5
Spotlight Science and Technology Learner’s Book Grade 5 (Approved) by P. Wasonga, D. Arapai, R. Mwarangu, D. Kamoce, J. Asenje
KSh622.00Original price was: KSh622.00.KSh560.00Current price is: KSh560.00.Add to cartSpotlight Science and Technology Learner’s Book Grade 5 has been uniquely designed to help Grade 5 learners in understanding basic science and Technology concepts. It comprehensively covers the Science and Technology Grade 5 Competency-Based Curriculum Designs. It is presented in a clear, simple, and precise language that makes learning interesting.
Key features of the book:
• Relevant learning experiences are provided in form of Activities, Home Activities, Digital Activities, and Points to note.
• All these are within the level of the learners. All Science and Technology Grade 5 concepts and competencies are addressed according to the curriculum demands.
• Fosters understanding of Science and Technology Grade 5 concepts by use of practical activities, group work activities, and project work.
• Learner-centred approaches, discovery-based, and inquiry-based activities have been applied to develop concepts, core competences, Pertinent and Contemporary Issues (PCls), and values.
• Attractive full colour illustrations and relevant clear photographs have been used to clarify Science and Technology concepts.
• A Revision Activity is provided in each sub-strand to assess developed concepts.
• A Teacher’s Guide is available for this title.ISBN: 9789966572479
-
Rated 0 out of 5
Kurunzi ya Kiswahili Grade 5 Mwanafunzi (Approved) by A. Matei, J. Mwamburi, F. Wangome, F. Atulo
KSh639.00Original price was: KSh639.00.KSh575.00Current price is: KSh575.00.Add to cartKurunzi ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 5 kimeandaliwa kwa ustadi ili kumwezesha mwanafunzi kumudu mtalaa huu unaolenga umilisi kwa njia sahili, yenye mvuto na ya kumjumuisha moja kwa moja kwenye shughuli za ufunzaji.
Kitabu hiki
• Kimeshughulikia mada kwa njia inayomwezesha mwanafunzi kushiriki kikamilifu katika ujifunzaji.
• Mada na shughuli za darasani zimeteuliwa kwa uangalifu kumjengea mwanafunzi umilisi wa aina mbalimbali. Mada hizi zinalenga kuimarisha umilisi wa kusikiliza kwa makini, kuzungumza kwa ujasiri, kusoma kwa ufasaha na kuandika vyema.
• Kuna mazoezi na mijarabu kama vile shughuli kwa mwanafunzi, shughuli ya vikundi, kazimradi, shughuli ya nyumbani na michezo ili kumwezesha mwalimu kupima umilisi wa mwanafunzi kwenye stadi mbalimbali za lugha.
• Picha halisi na michoro ya kuvutia inamsaidia mwanafunzi katika uelewa wa mada.
• Kinalenga kumsaidia mwanafunzi kutumia vifaa vya teknolojia kama vile video, redio, tabuleti katika kurahisisha ujifunzaji.
• Mbinu tofauti za ufunzaji zimejumuishwa kama vile miradi ya uwekezaji, shughuli nje ya darasa, kutumia nyimbo, mashairi, kumhusisha mzazi au mlezi na ujifunzaji katika vikundi. Mbinu hizi zinasaidia kujenga umilisi wa mwanafunzi.
• Masuala mtambuko na kuhusisha maadili kujenga mada tofauti imeshughulikiwa.
•Kitabu cha mwalimu kipo ili kumpa mapendekezo katika ufunzaji.ISBN: 9789966572455
Reviews
There are no reviews yet.