KLB Visionary Social Studies Learner’s Grade 5
KSh490.00 Original price was: KSh490.00.KSh440.00Current price is: KSh440.00.
Related products
-
Rated 0 out of 5
KLB Visionary Kiswahili Mwanafunzi Grade 5 (Approved) by WANDERA
KSh466.00Original price was: KSh466.00.KSh420.00Current price is: KSh420.00.Add to cartKLB Visionary Kiswahili Gredi ya Tano (Kitabu cha Mwanafunzi) kimechapishwa kwa kusudi la kuendelea kuimarisha uwezo wa mwanafunzi katika lugha ya Kiswahili kupitia Sarufi na stadi za lugha; Kusikiliza, kuzungumza, Kusoma na kuandika.
• Kitabu hiki kimechapishwa kwa kuzingatia mtaala mpya wa kiumilisi kutoka Taasisi ya Ukuzaji Mitaala
Nchini Kenya (KICD) wa mwaka wa 2019 wa masomo ya shule za msingi, gredi ya tano.
• Mwanafunzi amepewa nafasi ya kutosha ya kutambua na kujifunza mambo mapya ili kukuza uwezo
wake wa kukabili mambo katika maisha.
• Mazoezi ainati, mifano na picha zimetumika kwa nia ya kulenga mazingira ya mwanafunzi na usasa ili
kumrahisishia ujifunzaji.
• Masuala mtambuko na ya kijinsia yamejumuishwa kitabuni ili kukuza mwanafunzi anayewajibikia mabadiliko maishani.
• Kitabu hiki kimekuza upekee wa kutumia shajara na kazi mradi katika sehemu ya mwisho ya kila mada. Shajara na kazi mradi zimekusudiwa kumsaidia mwanafunzi kutumia ujuzi wa mambo aliyogundua au kujifunza kutokana na mada husika ili kubuni kitu kipya au kutatua suala fulani katika maisha ya kila siku.ISBN: 9789966656704
-
Rated 0 out of 5
Queenex English Activities Grade 5 (Approved) by AGOLA
KSh666.00Original price was: KSh666.00.KSh600.00Current price is: KSh600.00. -
Rated 0 out of 5
Spotlight Physical and Health Education Learne’s Grade 5 (Approved) by S. Chege, I. Njuguna, E. Njue
KSh617.00Original price was: KSh617.00.KSh550.00Current price is: KSh550.00.Add to cartSpotlight Physical and Health Education Learner’s Book Grade 5 has been uniquely designed to equip the learner with skills, values, and competencies that will enable him or her to navigate through the learning environment. The book will greatly help the learner to develop creativity and nurture sports talent.
Key features of the book:
• Covers all the strands, sub-strands, and learning outcomes of the Physical and Health Education Grade 5 Competency-Based Curriculum.
• Relevant learning experiences are provided in form of activities and drills within the level of the learners.
• Has activities and drills that encourage the performance of physical and health activities for enjoyment, survival, and self-actualization.
• Has enough digital activities where links have been provided for learners to watch videos. The videos provide more information, engage learners, bring about easier understanding of concepts and make the learning of Physical and Health Education interesting.
• Allows learners to improvise a variety of play equipment and use tactical and social skills in outdoor activities for existence and personal development.
• Attractive full-color illustrations are used to clarify Physical and Health Education concepts.
• Develops concepts by using learner’s environment and real-life experiences to foster skills,
attitudes, and values in learners.
• Revision exercises are provided for each sub-strand for formative assessment.
• Learner-centred approaches, discovery-based, and inquiry-based activities have been applied to develop concepts, core competencies, values, and Pertinent and Contemporary Issues (PCls).
• A Teacher’s Guide is available for this title.ISBN: 9789966572615
-
Rated 0 out of 5
OUP Kiswahili Dadisi Grade 5 Kitabu cha mwanafunzi (Approved) by J. Ndege, P. Kea, E. Osoro, Z. Mucheria
KSh627.00Original price was: KSh627.00.KSh565.00Current price is: KSh565.00.Add to cartKiswahili Dadisi ni msururu wa vitabu vipya vilivyoandikwa kwa njia ya kipekee ili kutosheleza mahitaji ya mtalaa wa umilisi. Vitabu hivi vitamwezesha mwanafunzi kupata ufahamu wa lugha kupitia stadi za kusikiliza, kuzungumza, kusoma na kuandika, na vilevile sarufi. Aidha, vina mazoezi murua ambayo yatampa mwanafunzi hamu ya kujifunza. Pia vinakuza umilisi uliopendekezwa, maadili na kufahamisha kuhusu masuala ibuka.
Katika Kiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 5, utapata:
• mada zilizopangwa kwa kuzingatia muainisho wa mtalaa mpya.
• mifano halisi ya miktadha ambapo lugha hutumika.
• mazoezi ya kuwahamasisha wanafunzi kuendeleza ujifunzaji nje ya darasa na yale yenye kuwashirikisha katika shughuli za
kijamii zinazokuza ujifunzaji.
• mazoezi yanayomhusisha mwanafunzi moja kwa moja.
• jinsi ya kuwashirikisha wazazi na walezi ili kuimarisha uwajibikaji.
• vifungu vya kumburudisha na kumfikirisha mwanafunzi katika sehemu ya ‘Burudika’.
Kiswahili Dadisi, Kitabu cha Mwanafunzi kina Mwongozo wa Mwalimu ambao pia una mazoezi na maelekezo tosha ambayo mwalimu atahitaji ili kumwongoza mwanafunzi aweze kufaulu katika mtalaa huu wa umilisi.ISBN: 9780195749052
-
Rated 0 out of 5
Kurunzi ya Kiswahili Grade 5 Mwanafunzi (Approved) by A. Matei, J. Mwamburi, F. Wangome, F. Atulo
KSh639.00Original price was: KSh639.00.KSh575.00Current price is: KSh575.00.Add to cartKurunzi ya Kiswahili Kitabu cha Mwanafunzi Gredi ya 5 kimeandaliwa kwa ustadi ili kumwezesha mwanafunzi kumudu mtalaa huu unaolenga umilisi kwa njia sahili, yenye mvuto na ya kumjumuisha moja kwa moja kwenye shughuli za ufunzaji.
Kitabu hiki
• Kimeshughulikia mada kwa njia inayomwezesha mwanafunzi kushiriki kikamilifu katika ujifunzaji.
• Mada na shughuli za darasani zimeteuliwa kwa uangalifu kumjengea mwanafunzi umilisi wa aina mbalimbali. Mada hizi zinalenga kuimarisha umilisi wa kusikiliza kwa makini, kuzungumza kwa ujasiri, kusoma kwa ufasaha na kuandika vyema.
• Kuna mazoezi na mijarabu kama vile shughuli kwa mwanafunzi, shughuli ya vikundi, kazimradi, shughuli ya nyumbani na michezo ili kumwezesha mwalimu kupima umilisi wa mwanafunzi kwenye stadi mbalimbali za lugha.
• Picha halisi na michoro ya kuvutia inamsaidia mwanafunzi katika uelewa wa mada.
• Kinalenga kumsaidia mwanafunzi kutumia vifaa vya teknolojia kama vile video, redio, tabuleti katika kurahisisha ujifunzaji.
• Mbinu tofauti za ufunzaji zimejumuishwa kama vile miradi ya uwekezaji, shughuli nje ya darasa, kutumia nyimbo, mashairi, kumhusisha mzazi au mlezi na ujifunzaji katika vikundi. Mbinu hizi zinasaidia kujenga umilisi wa mwanafunzi.
• Masuala mtambuko na kuhusisha maadili kujenga mada tofauti imeshughulikiwa.
•Kitabu cha mwalimu kipo ili kumpa mapendekezo katika ufunzaji.ISBN: 9789966572455
Reviews
There are no reviews yet.