Kanda Ya Siri
Rated 0 out of 5
0 customer reviews
KSh 700.00 Original price was: KSh 700.00.KSh 650.00Current price is: KSh 650.00.
Category: Storybooks

Kanda Ya Siri
Chifu Abdullah anaingia katika kazi ngumu kuliko zote alizowahi kuzifanya katika maisha yake, kazi ya kuisaka kanda iliyopotea katika kasri yake. Kanda yenyewe inatembea kutoka mkono mmoja hadi mwingine, huku pande mbili zinazoisaka zikitumia nguvu, pesa na akili kuitafuta.
Msako wa kanda unakutanisha watu wenye tajriba pana katika mambo ya uhalifu. Wapo wanaojeruhiwa, wapo wanaoumizwa, wapo wanaokufa kwa sababu ya kanda, hali inayoitia jeshi la polisi katika kibarua kigumu cha kuwasaka wahalifu hao.
Je, polisi watafaulu kuwapata wahalifu hao. Je, kanda yenyewe itapatikana? Hivi, ndani ya kanda kuna nini?
Reviews
0
Rated 0 out of 5
0 customer reviews
5
0
4
0
3
0
2
0
1
0
Be the first to review “Kanda Ya Siri” Cancel reply
Related Products
What a Fright and Other Stories
Rated 0 out of 5
(0)
Hug from the President and other stories by Kariuki
Rated 0 out of 5
(0)
Joy Kids Bible
Rated 0 out of 5
(0)
The Bike Thief by Queenex
Rated 0 out of 5
(0)
Saving Our Teacher by Queenex
Rated 0 out of 5
(0)
Fool’s Express by Okoth
Rated 0 out of 5
(0)
The Mouse Trap and Other Stories by Queenex
Rated 0 out of 5
(0)
Queenex Sudi the Drummer and other Stories 2C by Rebecca Nandwa
Rated 0 out of 5
(0)
The Net Trap and Other Stories Grade 1d
Rated 0 out of 5
(0)
Queenex The Billy Goat and Other Stories 2B by Rebecca Nandwa
Rated 0 out of 5
(0)
ATIENO SKIPS TO THE CITY EAEP
Rated 0 out of 5
(0)
A Rainy Day by Anne Maline
Rated 0 out of 5
(0)
The Lost Phone and Other Stories Grade 3a
Rated 0 out of 5
(0)
Queenex the Fat Cat by Kazungu
Rated 0 out of 5
(0)
Ali Baba and Other Stories
Rated 0 out of 5
(0)
Queenex: The Big Gift and Other Stories Grade 1a by Queenex
Rated 0 out of 5
(0)
Madam King by Elsa Geylan
Rated 0 out of 5
(0)
Bella the Butterfly Girl by Rebecca Nandwa
Rated 0 out of 5
(0)


There are no reviews yet.