Kamusi ya Methali za Kiswahili (EAEP)
KSh888.00 Original price was: KSh888.00.KSh800.00Current price is: KSh800.00.
Related products
-
Rated 0 out of 5
Moran Secondary School Atlas Updated edition by Oyaya
KSh1,316.00Original price was: KSh1,316.00.KSh1,185.00Current price is: KSh1,185.00.Add to cart- Updated maps
- Recommended for both Geography and History syllabi.
- Provides updated and relevant statistical information and notes to enrich the learner’s understanding.
- Includes 25 case studies to match specific topics covered by the Geography syllabus
- Rebranded to Moran Secondary School Atlas, previously known as Macmillan Secondary School Atlas
-
Rated 0 out of 5
Mentor CBC Atlas Grade 4-6. by Mentor
KSh1,222.00Original price was: KSh1,222.00.KSh1,100.00Current price is: KSh1,100.00.Add to cartMentor CBC ATLAS is in line with the Competency Based Curriculum. It is the most ideal ATLAS for learners and teachers in upper primary. This ATLAS effectively provides information on Counties in Kenya, Kenya and Eastern Africa as required by the Competency Based Curriculum. It also provides information on physical features, political boundaries, population distribution and economic activities.
This ATLAS is an essential tool for teachers and learners in Grade Four,Five and Six. The information in this ATLAS is presented in an easy-to-follow manner. Learners require minimum guidance to use this ATLAS.
ISBN: 9789966012227
-
Rated 0 out of 5
Kamusi ya Semi-Toleo Jipya by Ndalu, Kingei
KSh888.00Original price was: KSh888.00.KSh800.00Current price is: KSh800.00.Add to cartToleo Jipya Ia Kamusi ya Semi ndicho kitabu cha pekee kilichokusanya zaidi ya semi elfu nne. Kitabu hiki kinajumuisha semi, maana yake, pamoja na mifano faafu. Ufafanuzi wa msamiati umetiliwa maanani huku maana kadhaa za semi zikitolewa. Aidha, semi zilizomo humu kitabuni zimepangwa kialfabeti ili kurahisisha urejeleaji. Toleo hili Jipya Ia Kamusi ya Semi ni kitabu kinachowafaa wanafunzi na walimu wa kila daraja: shule za msingi, za upili na hata vyuo vikuu. Hii ni dafina kuu kwa wapenzi wote wa lugha na fasihi ya Kiswahili. Kitula King’ei ni mwalimu, mwandishi, mtafiti na msomi wa lugha na fasihi ya Kiswahili aliye na tajriba kubwa sana. Kwa sasa, ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Kenyatta. Ahmed Ndalu amefundisha Kiswahili katika shule za upili na vyuoni, na vile vile kuandika vitabu kadhaa. Hivi sasa, amestaafu kazi ya ufundishaji na anajishughulisha na utafiti na uandishi wa vitabu vinavyoshughulikia nyanja tofauti tofauti za Kiswahili.
ISBN: 9966465405
-
Rated 0 out of 5
Ibuku Ria Ngai
KSh1,222.00Original price was: KSh1,222.00.KSh1,100.00Current price is: KSh1,100.00.Add to cartThe book sacred to Christians , Â the inspired word of God is now available in GIKUYU Version.
ISBN: 9789966480514
-
Rated 0 out of 5
Kamusi ya Karne ya 21 by Longhorn
KSh1,555.56Original price was: KSh1,555.56.KSh1,400.00Current price is: KSh1,400.00.Add to cartKamusi ya Karne ya 21(Toleo la 4)Â ni kamusi ya Kiswahili yenye uketo zaidi katika karne hii. Imetungwa kwa ustadi wa hali ya juu na wanaleksikografia wenye utaalamu na uzoefu wa uundaji wa kamusi. Ni kamusi inayojivunia upekee unaodhihirisha jinsi lugha ya Kiswahili inavyokwenda na wakati kwa kupanuka katika matumizi yake katika pembe zote za dunia. Toleo hili limeongezwa vidahizovipya zaidi ya 2500 ambavyo vinaashiria maendeleo mapya katika lugha ya Kiswahili. Kamusi hii inaonyesha ukuaji wa Kiswahili na matumizi yake katika nyanja zote za Siasa, Sayansi, Teknolojia ya kidijitali, mitandao ya kijamii, ubadilishanaji wa fedha na bidhaa kupitia kwa mifumo ya kimtandao miongoni mwa mengine.
ISBN: 9789987020973
Reviews
There are no reviews yet.