Kamusi ya Methali za Kiswahili (EAEP)
KSh888.00 Original price was: KSh888.00.KSh800.00Current price is: KSh800.00.
Related products
-
Rated 0 out of 5
Kamusi ya Misemo na Nahau Kamusi ya Misemo na Nahau
KSh1,155.00Original price was: KSh1,155.00.KSh1,040.00Current price is: KSh1,040.00. -
Rated 0 out of 5
Ibuku Ria Ngai
KSh1,222.00Original price was: KSh1,222.00.KSh1,100.00Current price is: KSh1,100.00.Add to cartThe book sacred to Christians , Â the inspired word of God is now available in GIKUYU Version.
ISBN: 9789966480514
-
Rated 0 out of 5
Kamusi ya Semi-Toleo Jipya by Ndalu, Kingei
KSh888.00Original price was: KSh888.00.KSh800.00Current price is: KSh800.00.Add to cartToleo Jipya Ia Kamusi ya Semi ndicho kitabu cha pekee kilichokusanya zaidi ya semi elfu nne. Kitabu hiki kinajumuisha semi, maana yake, pamoja na mifano faafu. Ufafanuzi wa msamiati umetiliwa maanani huku maana kadhaa za semi zikitolewa. Aidha, semi zilizomo humu kitabuni zimepangwa kialfabeti ili kurahisisha urejeleaji. Toleo hili Jipya Ia Kamusi ya Semi ni kitabu kinachowafaa wanafunzi na walimu wa kila daraja: shule za msingi, za upili na hata vyuo vikuu. Hii ni dafina kuu kwa wapenzi wote wa lugha na fasihi ya Kiswahili. Kitula King’ei ni mwalimu, mwandishi, mtafiti na msomi wa lugha na fasihi ya Kiswahili aliye na tajriba kubwa sana. Kwa sasa, ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Kenyatta. Ahmed Ndalu amefundisha Kiswahili katika shule za upili na vyuoni, na vile vile kuandika vitabu kadhaa. Hivi sasa, amestaafu kazi ya ufundishaji na anajishughulisha na utafiti na uandishi wa vitabu vinavyoshughulikia nyanja tofauti tofauti za Kiswahili.
ISBN: 9966465405
-
Rated 0 out of 5
Kamusi ya Kiswahili Sanifu (TUKI) 4th Edition by Oxford
KSh1,316.00Original price was: KSh1,316.00.KSh1,185.00Current price is: KSh1,185.00.Add to cartKamusi ya Kiswahili Sanifu ina historia ndefu. Toleo la kwanza lilichapishwa mwaka 1981. Toleo hili la Nne limeboreshwa na kupangwa upya ili kumwezesha mtumiaji kupata taarifa anayoitafuta kwa urahisi. Toleo hili lina:
• zaidi ya vidahizo vipya 1 000
• kurasa 48 za rangi zenye mada mbalimbali
• zaidi ya methali 500 zilizotolewa maana
• nahau na misemo iliyotolewa maana.ISBN: 9780195746167
-
Rated 0 out of 5
Good News Bible by Bible society
KSh1,100.00Original price was: KSh1,100.00.KSh990.00Current price is: KSh990.00.Add to cartFor over twenty-five years the Good News Bible has been the most popular, truly easy-to-read Bible, offering a trustworthy translation based on the best original Greek and Hebrew sources. Ideal for the individual reader and used in thousands of schools and churches.
ISBN: 9789966481658
Reviews
There are no reviews yet.