Kamusi kuu ya Kiswahili by Longhorn
KSh1,933.00 Original price was: KSh1,933.00.KSh1,740.00Current price is: KSh1,740.00.
kamusi kuu ya kiswahili
ISBN: 9789987020980
Related products
-
Rated 0 out of 5
Kamusi ya Semi-Toleo Jipya by Ndalu, Kingei
KSh888.00Original price was: KSh888.00.KSh800.00Current price is: KSh800.00.Add to cartToleo Jipya Ia Kamusi ya Semi ndicho kitabu cha pekee kilichokusanya zaidi ya semi elfu nne. Kitabu hiki kinajumuisha semi, maana yake, pamoja na mifano faafu. Ufafanuzi wa msamiati umetiliwa maanani huku maana kadhaa za semi zikitolewa. Aidha, semi zilizomo humu kitabuni zimepangwa kialfabeti ili kurahisisha urejeleaji. Toleo hili Jipya Ia Kamusi ya Semi ni kitabu kinachowafaa wanafunzi na walimu wa kila daraja: shule za msingi, za upili na hata vyuo vikuu. Hii ni dafina kuu kwa wapenzi wote wa lugha na fasihi ya Kiswahili. Kitula King’ei ni mwalimu, mwandishi, mtafiti na msomi wa lugha na fasihi ya Kiswahili aliye na tajriba kubwa sana. Kwa sasa, ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Kenyatta. Ahmed Ndalu amefundisha Kiswahili katika shule za upili na vyuoni, na vile vile kuandika vitabu kadhaa. Hivi sasa, amestaafu kazi ya ufundishaji na anajishughulisha na utafiti na uandishi wa vitabu vinavyoshughulikia nyanja tofauti tofauti za Kiswahili.
ISBN: 9966465405
-
Rated 0 out of 5
Kamusi ya Kiswahili Sanifu (TUKI) 4th Edition by Oxford
KSh1,316.00Original price was: KSh1,316.00.KSh1,185.00Current price is: KSh1,185.00.Add to cartKamusi ya Kiswahili Sanifu ina historia ndefu. Toleo la kwanza lilichapishwa mwaka 1981. Toleo hili la Nne limeboreshwa na kupangwa upya ili kumwezesha mtumiaji kupata taarifa anayoitafuta kwa urahisi. Toleo hili lina:
• zaidi ya vidahizo vipya 1 000
• kurasa 48 za rangi zenye mada mbalimbali
• zaidi ya methali 500 zilizotolewa maana
• nahau na misemo iliyotolewa maana.ISBN: 9780195746167
-
Rated 0 out of 5
Kamusi ya Shule za Msingi by Kiango
KSh1,244.00Original price was: KSh1,244.00.KSh1,120.00Current price is: KSh1,120.00.Add to cartKamusi ya Shule za Msingi
imetungwa kwa ustadi na wataana wataalamu wa Kiswahili imefanyiwa utafiti wa hali ya juu ina maneno yaliyoteuliwa na kukadiriwa inarahisisha utambuzi na matumizi ya ngeli za nomino ni kifaa bora kwa kila mwanafunzi wa shule a msingi
ISBN: 9780195733068
-
Rated 0 out of 5
A to Z Children’s Dictionary by Muitungu
KSh950.00Original price was: KSh950.00.KSh855.00Current price is: KSh855.00.Add to cartA to Z Children’s Dictionary is an English dictionary targeting anyone who is starting to read and learn in English. It provides simple and clear meanings of over 2 000 headwords. Each meaning is accompanied by an example sentence. The example sentences are drawn from the African context. There are over 600 colour pictures to enhance understanding of how to use the words correctly. The fun activities are tailored to enhance the acquisition of dictionary skills.
ISBN: 9780195738094
-
Rated 0 out of 5
Peak Secondary School Atlas (EAEP) by EAEP
KSh1,133.00Original price was: KSh1,133.00.KSh1,020.00Current price is: KSh1,020.00.Add to cartThe Peak Secondary School Atlas is particularly designed for use in Kenyan secondary schools as well as by other users in the Eastern Africa region.
This new edition is a result of comprehensive research on curriculum requirements and an extensive study of new geographical and constitutional developments.
ISBN: 9789966259677
Reviews
There are no reviews yet.