Kamusi kuu ya Kiswahili by Longhorn
KSh1,933.00 Original price was: KSh1,933.00.KSh1,740.00Current price is: KSh1,740.00.
kamusi kuu ya kiswahili
ISBN: 9789987020980
Related products
-
Rated 0 out of 5
A to Z Children’s Dictionary by Muitungu
KSh950.00Original price was: KSh950.00.KSh855.00Current price is: KSh855.00.Add to cartA to Z Children’s Dictionary is an English dictionary targeting anyone who is starting to read and learn in English. It provides simple and clear meanings of over 2 000 headwords. Each meaning is accompanied by an example sentence. The example sentences are drawn from the African context. There are over 600 colour pictures to enhance understanding of how to use the words correctly. The fun activities are tailored to enhance the acquisition of dictionary skills.
ISBN: 9780195738094
-
Rated 0 out of 5
Kamusi bora ya Watoto by Kobia
KSh1,038.00Original price was: KSh1,038.00.KSh935.00Current price is: KSh935.00.Add to cartMsingi bora wa maneno kwa watoto wadogo. Kamusi ya kuaminika ya kuanzia kujifunza lugha ya kiswahili.
Maneno muhimu 1700 na zaidi ya Kiswahili
Maelezo wazi ya maneno. Mifano ya namna maneno yanavyotumiwa katika sentensi
Zaidi ya picha 700 za rangi kumsaidia mtoto kuelewa maana za maneno.
Sehemu maalumu ya mchezo wa lugha na mazoezi
ISBN: 996361405
-
Rated 0 out of 5
Kamusi ya Karne ya 21 by Longhorn
KSh1,555.56Original price was: KSh1,555.56.KSh1,400.00Current price is: KSh1,400.00.Add to cartKamusi ya Karne ya 21(Toleo la 4)Â ni kamusi ya Kiswahili yenye uketo zaidi katika karne hii. Imetungwa kwa ustadi wa hali ya juu na wanaleksikografia wenye utaalamu na uzoefu wa uundaji wa kamusi. Ni kamusi inayojivunia upekee unaodhihirisha jinsi lugha ya Kiswahili inavyokwenda na wakati kwa kupanuka katika matumizi yake katika pembe zote za dunia. Toleo hili limeongezwa vidahizovipya zaidi ya 2500 ambavyo vinaashiria maendeleo mapya katika lugha ya Kiswahili. Kamusi hii inaonyesha ukuaji wa Kiswahili na matumizi yake katika nyanja zote za Siasa, Sayansi, Teknolojia ya kidijitali, mitandao ya kijamii, ubadilishanaji wa fedha na bidhaa kupitia kwa mifumo ya kimtandao miongoni mwa mengine.
ISBN: 9789987020973
-
Rated 0 out of 5
Kamusi ya Shule za Msingi by Kiango
KSh1,244.00Original price was: KSh1,244.00.KSh1,120.00Current price is: KSh1,120.00.Add to cartKamusi ya Shule za Msingi
imetungwa kwa ustadi na wataana wataalamu wa Kiswahili imefanyiwa utafiti wa hali ya juu ina maneno yaliyoteuliwa na kukadiriwa inarahisisha utambuzi na matumizi ya ngeli za nomino ni kifaa bora kwa kila mwanafunzi wa shule a msingi
ISBN: 9780195733068
-
Rated 0 out of 5
Kamusi ya Kiswahili Sanifu (TUKI) 4th Edition by Oxford
KSh1,316.00Original price was: KSh1,316.00.KSh1,185.00Current price is: KSh1,185.00.Add to cartKamusi ya Kiswahili Sanifu ina historia ndefu. Toleo la kwanza lilichapishwa mwaka 1981. Toleo hili la Nne limeboreshwa na kupangwa upya ili kumwezesha mtumiaji kupata taarifa anayoitafuta kwa urahisi. Toleo hili lina:
• zaidi ya vidahizo vipya 1 000
• kurasa 48 za rangi zenye mada mbalimbali
• zaidi ya methali 500 zilizotolewa maana
• nahau na misemo iliyotolewa maana.ISBN: 9780195746167
Reviews
There are no reviews yet.