Kamusi kuu ya Kiswahili by Longhorn
KSh1,933.00 Original price was: KSh1,933.00.KSh1,740.00Current price is: KSh1,740.00.
kamusi kuu ya kiswahili
ISBN: 9789987020980
Related products
-
Rated 0 out of 5
Kamusi ya Tashbihi, Vitendawili, Milio
KSh927.00Original price was: KSh927.00.KSh835.00Current price is: KSh835.00. -
Rated 0 out of 5
Lion Children’s Bible (Bible Society) by Bible Society
KSh1,111.00Original price was: KSh1,111.00.KSh1,000.00Current price is: KSh1,000.00.Add to cartA treasury of Bible stories to return to again and again. This attractive book leads children into all of the Bible’s central stories – from creation to the exciting story of the early Church. Each selected story is referenced to the Scripture chapter and verse.The Lion’s Children’s Bible is beautifully illustrated and written in clear, simple, language for children to read alone or with adults.
ISBN: 9789966481306
-
Rated 0 out of 5
Kamusi ya Semi-Toleo Jipya by Ndalu, Kingei
KSh888.00Original price was: KSh888.00.KSh800.00Current price is: KSh800.00.Add to cartToleo Jipya Ia Kamusi ya Semi ndicho kitabu cha pekee kilichokusanya zaidi ya semi elfu nne. Kitabu hiki kinajumuisha semi, maana yake, pamoja na mifano faafu. Ufafanuzi wa msamiati umetiliwa maanani huku maana kadhaa za semi zikitolewa. Aidha, semi zilizomo humu kitabuni zimepangwa kialfabeti ili kurahisisha urejeleaji. Toleo hili Jipya Ia Kamusi ya Semi ni kitabu kinachowafaa wanafunzi na walimu wa kila daraja: shule za msingi, za upili na hata vyuo vikuu. Hii ni dafina kuu kwa wapenzi wote wa lugha na fasihi ya Kiswahili. Kitula King’ei ni mwalimu, mwandishi, mtafiti na msomi wa lugha na fasihi ya Kiswahili aliye na tajriba kubwa sana. Kwa sasa, ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Kenyatta. Ahmed Ndalu amefundisha Kiswahili katika shule za upili na vyuoni, na vile vile kuandika vitabu kadhaa. Hivi sasa, amestaafu kazi ya ufundishaji na anajishughulisha na utafiti na uandishi wa vitabu vinavyoshughulikia nyanja tofauti tofauti za Kiswahili.
ISBN: 9966465405
-
Rated 0 out of 5
Kamusi ya Shule za Msingi by Kiango
KSh1,244.00Original price was: KSh1,244.00.KSh1,120.00Current price is: KSh1,120.00.Add to cartKamusi ya Shule za Msingi
imetungwa kwa ustadi na wataana wataalamu wa Kiswahili imefanyiwa utafiti wa hali ya juu ina maneno yaliyoteuliwa na kukadiriwa inarahisisha utambuzi na matumizi ya ngeli za nomino ni kifaa bora kwa kila mwanafunzi wa shule a msingi
ISBN: 9780195733068
-
Rated 0 out of 5
Collins Gem French Dictionary by Collins Dictionaries
KSh1,106.00Original price was: KSh1,106.00.KSh995.00Current price is: KSh995.00.Add to cart-All the words and phrases you need in French and English
-User-friendly Phrasefinder supplement ideal for travel
-Hundreds of tips on French language and culture
ISBN: 9780008141875
Reviews
There are no reviews yet.