Kamusi bora ya Watoto by Kobia
KSh1,038.00 Original price was: KSh1,038.00.KSh935.00Current price is: KSh935.00.
Msingi bora wa maneno kwa watoto wadogo. Kamusi ya kuaminika ya kuanzia kujifunza lugha ya kiswahili.
Maneno muhimu 1700 na zaidi ya Kiswahili
Maelezo wazi ya maneno. Mifano ya namna maneno yanavyotumiwa katika sentensi
Zaidi ya picha 700 za rangi kumsaidia mtoto kuelewa maana za maneno.
Sehemu maalumu ya mchezo wa lugha na mazoezi
ISBN: 996361405
Related products
-
Rated 0 out of 5
Kamusi ya Semi-Toleo Jipya by Ndalu, Kingei
KSh888.00Original price was: KSh888.00.KSh800.00Current price is: KSh800.00.Add to cartToleo Jipya Ia Kamusi ya Semi ndicho kitabu cha pekee kilichokusanya zaidi ya semi elfu nne. Kitabu hiki kinajumuisha semi, maana yake, pamoja na mifano faafu. Ufafanuzi wa msamiati umetiliwa maanani huku maana kadhaa za semi zikitolewa. Aidha, semi zilizomo humu kitabuni zimepangwa kialfabeti ili kurahisisha urejeleaji. Toleo hili Jipya Ia Kamusi ya Semi ni kitabu kinachowafaa wanafunzi na walimu wa kila daraja: shule za msingi, za upili na hata vyuo vikuu. Hii ni dafina kuu kwa wapenzi wote wa lugha na fasihi ya Kiswahili. Kitula King’ei ni mwalimu, mwandishi, mtafiti na msomi wa lugha na fasihi ya Kiswahili aliye na tajriba kubwa sana. Kwa sasa, ni mhadhiri katika Chuo Kikuu cha Kenyatta. Ahmed Ndalu amefundisha Kiswahili katika shule za upili na vyuoni, na vile vile kuandika vitabu kadhaa. Hivi sasa, amestaafu kazi ya ufundishaji na anajishughulisha na utafiti na uandishi wa vitabu vinavyoshughulikia nyanja tofauti tofauti za Kiswahili.
ISBN: 9966465405
-
Rated 0 out of 5
Kamusi ya Karne ya 21 by Longhorn
KSh1,555.56Original price was: KSh1,555.56.KSh1,400.00Current price is: KSh1,400.00.Add to cartKamusi ya Karne ya 21(Toleo la 4)Â ni kamusi ya Kiswahili yenye uketo zaidi katika karne hii. Imetungwa kwa ustadi wa hali ya juu na wanaleksikografia wenye utaalamu na uzoefu wa uundaji wa kamusi. Ni kamusi inayojivunia upekee unaodhihirisha jinsi lugha ya Kiswahili inavyokwenda na wakati kwa kupanuka katika matumizi yake katika pembe zote za dunia. Toleo hili limeongezwa vidahizovipya zaidi ya 2500 ambavyo vinaashiria maendeleo mapya katika lugha ya Kiswahili. Kamusi hii inaonyesha ukuaji wa Kiswahili na matumizi yake katika nyanja zote za Siasa, Sayansi, Teknolojia ya kidijitali, mitandao ya kijamii, ubadilishanaji wa fedha na bidhaa kupitia kwa mifumo ya kimtandao miongoni mwa mengine.
ISBN: 9789987020973
-
Rated 0 out of 5
Moran Our World CBC Atlas Grade 4,5,6 (Approved) by Moran
KSh1,355.00Original price was: KSh1,355.00.KSh1,220.00Current price is: KSh1,220.00.Add to cartMoran Our World Atlas:
is designed to address the Competency-Based Curriculum for Grades 4 to 6.
-covers all the relevant Social Studies concepts in the curriculum design.
-contains a wide range of stimulating maps drawn to scale to develop the skills of map reading and interpretation.
-has used the latest population census data and addresses other pertinent issues in the learners environment.
-has used clear photographs that cover various areas under study in Social Studies.
-provides relevant information for each county and area under study to enable the learner to learn using relatable experiences.
-provides detailed maps and information for the 47 counties, Kenya and Eastern Africa.
-provides varied activities to enhance the development of Social Studies and atlas skills.
ISBN: 9789966634283
-
Rated 0 out of 5
Moran Secondary School Atlas Updated edition by Oyaya
KSh1,316.00Original price was: KSh1,316.00.KSh1,185.00Current price is: KSh1,185.00.Add to cart- Updated maps
- Recommended for both Geography and History syllabi.
- Provides updated and relevant statistical information and notes to enrich the learner’s understanding.
- Includes 25 case studies to match specific topics covered by the Geography syllabus
- Rebranded to Moran Secondary School Atlas, previously known as Macmillan Secondary School Atlas
-
Rated 0 out of 5
Cambridge Advanced Learners Dictionary 4th Edition by IDM
KSh2,500.00Original price was: KSh2,500.00.KSh2,250.00Current price is: KSh2,250.00.Add to cartWith clear definitions and over 140,000 words, phrases, meanings, and examples, plus hundreds of pictures and illustrations, this dictionary is perfect as a reference tool and as a study companion.
Informed by the Cambridge International Corpus and correlated to English Vocabulary profile.
: Focus on writing sections deals with all the essential aspects of academic, formal, and informal writing
: Up-to -date vocabulary includes words from the areas of technology, media, language , society, and lifestyle, plus important words for academic study.
: Learner error information shows the most common errors made by learners of English, so that you can avoid making the same mistakes
: English vocabulary profile correlation shows which words and meanings are known by learners at what level, so you can prioritize your vocabulary learning.
ISBN:9781316509777
Reviews
There are no reviews yet.