Sale
Je-huu-in-Uungwana.jpg

Je huu in Uungwana? by Mambo Mbotela

Je, huu ni uungwana? 8b  ni kitabu kinacholenga wanafunzi wa Darasa la Nane katika shule za msingi ili kuendeleza na kukuza uwezo wao wa kusoma.  Miongoni mwa sifa za kipekee za kitabu hiki ni:

masimulizi rahisi ya hadithi kwa njia ya shajara, tawasifu, barua, utambaji wa hadithi, mbinu rejeshi, hotuba    kuingiza ucheshi katika maandishi kupitia masimulizi, dagolojia, misemo, methali. taharuki, tashihisi. tanakati za sauti, kejeli, vichekesho na     picha za rangi zenye kusisimua.   kuwapitisha na kuwatea wanafunzi katika mazingira ya afya, madawa ya kulevya, siasa. unyumba. ujirani mwema. uvumilivu, uadilifu. haki za watoto, kazi,uwajibikaji, utu, adabu, teknolojia, habari na mawasiliano.  Mradi wa Kusoma ni mfutulizo wa vitabu vya ziada unaoambatana na kozi ya Kiswahili Sanifu.

 

ISBN: 9780195733051

0 customer reviews

Original price was: KSh 400.00.Current price is: KSh 360.00.

Compare
Category:
Je huu in Uungwana? by Mambo Mbotela
Original price was: KSh 400.00.Current price is: KSh 360.00.

Reviews

0
0 customer reviews
5
0
4
0
3
0
2
0
1
0

There are no reviews yet.

Be the first to review “Je huu in Uungwana? by Mambo Mbotela”

Your email address will not be published. Required fields are marked *

Let's chat

Your Cart

1
KSh 290.00

Select at least 2 products
to compare

Your Cart

1