Intensive CBC Encyclopedia Grade 3
KSh1,550.00 Original price was: KSh1,550.00.KSh1,395.00Current price is: KSh1,395.00.
Intensive Encyclopaedia Grade Three is a book developed in line with the New Competency Based Curriculum. It aims at equipping learners with hands-on skills as opposed to the knowledge based curriculum. The book is a one-stop source of learning activities for all the subjects taught in Grade Three.
ISBN: 9789966135582
Related products
-
Rated 0 out of 5
Mentor English Activities GD3 (Appr) by Oulo, Otieno, Ayieko
KSh533.00Original price was: KSh533.00.KSh480.00Current price is: KSh480.00.Add to cartMentor English Activities Grade 3 workbook is fully in line with the new Competency Based Curriculum. The book is easy to use and contains a variety of learning activities. It makes learning fun for the learner.
This book has been authored by teachers with wide experience in Early Years Education in leading schools across Kenya.
ISBN: 9789966059741
-
Rated 0 out of 5
Mentor Art and Craft Activities Grade 3 by Mentor
KSh488.00Original price was: KSh488.00.KSh440.00Current price is: KSh440.00.Add to cartMENTOR Art and Craft Activities Grade 3 workbook is fully in line with the Competency Based Curriculum (CBC).The book is easy to use and contains a variety of learning activities. It makes learning fun for a Lower Primary Learner. This book has been authored by teachers with a wide experience in Early Years Education in leading schools across Kenya.
ISBN: 978996601202
-
Rated 0 out of 5
KLB Visionary Mazoezi ya Kiswahili Grade 3 (Approved)
KSh285.00Original price was: KSh285.00.KSh255.00Current price is: KSh255.00.Add to cartKLB Mazoezi ya Kiswahill Gredi ya 3 (Kitabu cha Mwanafunzi) ni kitabu mojawapo kati ya vitabu vinavyochapishwa na Kenya Literature Bureau vya msururu wa KLB Visionary. Msururu huu wa vitabu umezingatia Mtalaa wa kiumilisi wa mwaka wa 2017 wa masomo ya shule za Msingi.
Kitabu hiki kimekusudiwa kumwezesha mwanafunzi kukuza uwezo wa kutumia stadi zote nne za lugha ya Kiswahili: Kusikiliza, Kuzungumza, Kusoma na Kuandika. Kupitia stadi hizi, mwanafunzi anakuza uwezo wake wa lugha.
Toleo hili limejumuisha mambo muhimu ambayo yanachangia ujifunzaji wa sasa ambayo ni masuala mtambuko, maswali dadisi, masuala ya linsia. utendaji wa mwanafunzi, picha murua za kuchangamsha na kuibua hamu ya kudadisi kwa mwanafunzi na mbinu tofauti za kumwezesha mwanafunzi kukuza uwezo wake wa kujifunza. Mazingira halisi ya mwanafunzi yamezingatiwa katika kukuza kazi hii. Hili linamwezesha mwanafunzi kujifunza katika hali halisi. Lugha sahili imetumika ili kurahisisha kuelewa kwa mada zote katika kitabu.
ISBN: 9789966652515
-
Rated 0 out of 5
Stadi za Kiswahili Shughuli za Lugha Kitabu cha Mwanafunzi Gredi 3 by Mwalimu Kipande
KSh428.00Original price was: KSh428.00.KSh385.00Current price is: KSh385.00.Add to cartStadi za Kiswahlli ni Kitabu cha Mwanafunzi, Gredi ya 3 ni kitabu cha ziada kilichoandakwa kwa mujibu wa mtaala mpya uegemeao umilisi uliozinduliwa na Taasisi ya Ukuzaji Mitaala ya Kenya (KICD) mnamo Septemba 2017. Kitabu hiki kimejumuisha mada zote kuu na ndogo zilizomo katika ruwaza ya mtalaa ya Kiswahili Gredi ya 3. Isitoshe, mada kuu na ndogo zimepangwa kulingana na jinsi zilivyopongwa katika ruwaza hiyo. Fauka ya haya, yaliyomo yamewasitishwa kwa ubunifu wa hali ya juu kuyaoanisha na umilisi wa kimsingi, masuala mtambuko, maadili miongoni mwa masuala mengine yanayofumbatwa na mtaala mpya uegemeao umilisi. Kitabu hiki kimejumuisha shughuli za aina nyingi za kufanywa na mwanafunzi binafsi, wanafunzi wawili wawili na makundi ya wanafunzi. Kazi na shughuli za wanafunzi wawiliwawili na wanafunzi katika makundi zinadhamiriwa kuimarisha stadi za kusikitiza na kuzungumza na vilevile umilisi wa ushirikiano na mawasiliano. Aidha, kitabu hiki kimesheheni vifungu vya kusoma na vya kuchangamsha vitakavyomsaidia mwanafunzi kuimarisha stadi ya kusoma. Stadi ya kuandika haijaachwa nyuma. Kitabu kinazo shughuli za kutosha za mwanafunzi iii kustawisha stadi ya kuandika.
ISBN: 9789966630421
-
Rated 0 out of 5
Everyday Hygiene and Nutrition Activities grade 3 by Oxford
KSh477.00Original price was: KSh477.00.KSh430.00Current price is: KSh430.00.Add to cartEveryday Hygiene and Nutrition Activities is a new series for the new competency based curriculum, specially written to provide practical experiences that equip learners with the basic knowledge, skills and attitudes that promote a happy and healthy lifestyle. Books in the series provide a range of activities that learners will find exciting and motivating. The activities are aimed at acquisition of the core competences, values and pertinent and contemporary issues (PCIs)
ISBN: 978 019 574666 2
Reviews
There are no reviews yet.